mwarubaini wa tatizo lako ni hii njia......sasa kujiamini kama awali
![]()
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.
dada sikushauri hata uyabane!!
yaache tu yajiachie kwa raha zake!
halafu mi hapo ndo ugonjwa wangu ulipo!!
Nenda pale gerezani wakupime wakuchongee kitu kama helmet ya pikipiki uwe unavaa huko nyuma
Ooohh giLESi yaache tu bhana...kwani yanakuumiza ukitembea? 。Cha kufanya tafuta gari tu bana usitembee kwa mguu mammie.. yaani kashindwa hata kukununulia ka vitz!! Vitu kama hivi ni vya kuwekwa ndani ya gari bhana...
Mtu anaishi kipawa huko unamwambia mambo ya casandra mara sijui woolworth si matusi hayo
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.