Mtu anaishi kipawa huko unamwambia mambo ya casandra mara sijui woolworth si matusi hayo
vaa jinsi ndani ya sketi kunakabtula ngumu sana za jinsi zitakuusaidia.
Njoo kwangu nikigusa 2,yanapotea kwa uwezo wa roho mtakatifu.
Weka picha kwanza ...ushauri kwa vitendo
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.
Tobaaaaaa!!!!
Majaaliwa yake manani hayo,african queen mashallah!!!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums