Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,341
maswala ya msingi na nyuzi za maana mods wanafuta,halafu uzi kama huu unaachwa,kuna mods wanaopenda umbea humulakini watu wameshamquote kwenye post nyingi tu kwahiyo bao uzi unapaswa kufutwa, hamjiulizi mbona kuna thread za maana zinafutwa?