Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Status
Not open for further replies.
Yaani umebeba hadi ya neighbor!
anyway acha yatingishike Tu ndo mpango mzima.
 
Dada yangu una bahati yanatingishika naturally maana wenzako wengine huwa wanahangaika sana kuyarusha-rusha. Kama hutaki yatikisike baso yafunge kamba kama kuni.
 
vaa jinsi ndani ya sketi kunakabtula ngumu sana za jinsi zitakuusaidia.

Hahahaaa, umenikumbusha primary school days., tulikuwa tunavaa vi jinzi vidogo vidogo kaptura juu kuziuia makali ya viboko... Tulikuwa tunaita shoch absorber
 
Samahani ngoja niku ulize una mume /ume olewa? Kama huna ni pm
 
occasionally i met with a several woman, who have the same problem as yours, just take step to make fairly exercise it is very helpful, if you totally fail to do it yourself, please don't hesitate just PM i will assist you accordingly.
 
Pole pamoja na dayati na mazoezi tafuta mavazi yakuendana na mwili wako.
 
dada yangu hizo zinaitwa neema za Allah kwa.mujibu wa shehe Kipozeo
 
Pole pamoja na dayati na mazoezi tafuta mavazi yakuendana na mwili wako.

Mamndenyi hips dont lie. Huyu mdada unaambiwa ukimpiga kibao cha takoni basi lijitako litatingishika mfululizo kwa dakika kumi nzima. Na likitulia lazima athari za mmomonyoko wa udongo zijitokeze dhahiri.CC mwaJ
 
Last edited by a moderator:
Mhhhhh! Haya banaaaa mie nilidhani siku zote weye ni njemba kumbe ni mdada....Yaache tu yatingishike yakiwa magumu hayatingishiki utarudi hapa tena kulalama, "Matak_ yangu magumu sana hayatingishiki, nifanyeje ili yatingishike?"



Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.

 
Last edited by a moderator:
Njoo nikupake dawa maana ukishapewa hiyo dawa yakiwa magumu usirudi kwangunkutaka niyaregeze!
 
Hongera kwa majaaliwa ya muumba lakin nastaajabu kwa kumkosoa muumba. Kuna wanaolilia ---- licheze wanaishia kuchezesha mgongo.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom