Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Status
Not open for further replies.
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.



" MZIGO MZITO MPE MNYAMWEZI" Njoo unikabidhi huo mzigo mtoto mzuri mimi nitajua la kufanya.
 
...pamoja na ushaurwote ukipewa huko juu, pia labda uwe unavaa nguo zilizo loose kwani km umevaa skin tite ilivyokubana vzr, halafu ukavaa nguo ambayo ni loose, naona utasitirika tu...
 
we vaa mavazi yakukustir vzr hata utapata usumbufu acha kuvaa mavaz yakubana
 
Ivi ungepata mzigo km huu nadhani ungeenda TBC,ITV,STAR TV kuomba msaada kuna wanadamu wenzio wanavuta makontena ww yaache tu kwn kesi?
View attachment 128290

Aya jilinganishe na uyu pia km umewazidi hawa magoma moto wawili bac unahitaji msaada
View attachment 128293

Duh, mizigo ni mizito sana hii.
huyo wa kwanza ni mlemavu mtarajiwa, ila yeye hajajishtukia bado
 
wala usihangaike na nguo za kubana maana zina madhara yake, ukibana misuli ya mwili unaweza jiletea madhara, dawa yake ni kuvaa nguo kubwa kubwa tu kama madira, hapo utakuwa ushapata suruhu. Napenda sana mwanamke aina yako kusema ukweli.
 
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.
Mpendwa ; hiyo kazi ndogo tafuta "Abaya" vazi la stara na hutojutia!!
 
Embu tuwekee picha mkuu...hata video kama utaweza kuchukua wakati yakitikisika!
 
Dah pole kwa usumbufu ni maumbile tu, ila kama vp we tingisha tuu wengine tunainjoy hiyo mizigo yenu hahahaaa
 
Dah pole kwa usumbufu ni maumbile tu, ila kama vp we tingisha tuu wengine tunainjoy hiyo mizigo yenu hahahaaa
 
Mtihani huo,ila shukuru kwa yote,Kama Ni kweli huyafanyishi,Ni kheri ila Kama Ni yenyewe nadhani Ni kawaida.Kwa kawaida ynapaswa kureflect mwili wako.hapo hayana tatizo ila yakiwa XXXL Na mwili ukiwa L hapo ndo issue.
 
u were born that way!!!nini shidaaa tingisha mama uwezavyo! u cant avoid the naturee!!!tingisha tingishika watingishie GILESI........!hata mimi ninalo nalitingishaga mpaka baaaasi afu naona kawaida tu
Dah afu na wewe upunguze bhana, unalitingishaga sana atii.
 
Asante Sana kwa ushauri,
nitaenda soon. ILA nimesikitishwa na baadhi ya wachangiaji, engine
wamediriki kuweka hadi picha za ngono. Very poor thinking
capacity

Kabla sijakupa ushauri nikuulize swali hili na unipe jibu: kwa nini ulitumiga vidonge vya mchina ili kuyakuza ?
 
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.
Hapo hauhitaji dawa wala mavazi ya kukubana ili huepukana na hiyo hali, jambo kubwa na la msingi kwako ni moja tu ambalo litakuwa msaada kwako.
Unachotakiwa kukifanya ni kujikubali wewe na hiyo hali yako haupaswi kuona kama ni tatizo hilo yakubali maumbile yako, kwa hili litakuwa msaada mkubwa sana kwako.

Watu wengi wenye mwonekano wa tofauti kidogo na wengine hukabiliwa na changamoto nyingi sana kutokana na kuto kujua nini wanapaswa kufanya wanapo kuwa katika hali kama hizo.

Kwa kulitazama hilo jambo la mtikisiko wa hayo mata***o yako unaweza kudhani ni jambo dogo sana lakini kiukweli linaweza ku kusababishia tatizo la kisaikolojia (mfadhaiko) hii ni hali ya kutojiamini, Itakukosesha raha haswa usipo jikubali kila utakapo kuwa unapita mbele za watu hata kama mtu akipiga kelele au kucheka kwa jambo fulani tu lisilo husiana na hayo mata***o yako lazima utajihisi wewe ndo unachekwa hapo.

Jaribu kufanya hili ni lililo kuambia litakusaidia sasa, kama utakuwa na kumbukumbu nzuri mwanzoni mwa miaka ile ukimwi unaingia hapa kwetu tanzania watu wengi walikuwa wana kufa sana tofauti na sasa hivi hii ilisababishwa na wasi wasi na kuto kujikubali katika ile hali japo dawa za kupunguza makali (ARV) hazikuwepo lakini kilichokuwa kina changia watu kufa sana ni mawazo na kutokukubaliana na hali zao, Sasa hivi watu walishachukulia ukimwi ni kama magonjwa mwengine ndo maana unaona wengine wana jitangaza na wanaishi miaka mingi tu.

TAFAKARI CHUKUA HATUA..!!!!!!!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom