ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,749
- 42,229
- Thread starter
- #81
Baada ya kunitisha unaenda wapi?๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ
We GnZ
Baada ya kunitisha unaenda wapi?๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ
Wachaweehakunilaumu mama, alonifunza nidhamu vipi nibebe lawama za nyie wanadamu
๐ฅ๐ฅ๐ฅUzi wa Moto sana ๐ฅ๐ฅ
Nimpe neno gani kaka?Mpe nonino basiii safi haisaidii ๐คฃ
Ngoja tuone ๐Nishakwambia ikizidi 2 yrs, kuna jambo gani .
Halafu mjukuu ndani ya miaka 2, kawa mdoli au ๐
inakuaje tunasikia maneno wanayosema kwa lugha zao wenyewe,Wachawee
๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ hii inakuja inakataainakuaje tunasikia maneno wanayosema kwa lugha zao wenyewe,
mnasikia mambo hayo ya Mungu wanayosema kwa lugha zao wenyewe,
wao ni wagalilaya nasi ni mataifa, ya kutoka nchi mbalimbali
duniani,
ina maana gani,
inashangaza jambo hilo
unasali kanisa gani bibiye?๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ hii inakuja inakataa
Nitakuambia siku nyingine unikumbusheunasali kanisa gani bibiye?
ni nyimbo ya katolikiNitakuambia siku nyingine unikumbushe
Ooh sawa sawa ๐ฅni nyimbo ya katoliki
Akina nani? Wataje niangalie nitawapa adhabu gani.Kuna wale wazee utasikia
STRAIGHT TO THE IGNORE LIST.
sijui wanajikutaga akina nani kisa tu umekataa kuwa na mtazamo sawa na wao.
๐ ๐ ๐ labda unaacha kushambulia hoja/mada zao una mu attack yeye binafsiKuna wale wazee utasikia
STRAIGHT TO THE IGNORE LIST.
sijui wanajikutaga akina nani kisa tu umekataa kuwa na mtazamo sawa na wao.
Tatizo tunaona unatuletea chai (jokes)Nyuzi zangu za nyeto niziletazo humu pia ziheshimiwe ๐.
Wewe kama nani kijana ๐คฃAkina nani? Wataje niangalie nitawapa adhabu gani.
Mimi si mtu wa matani kabisa.Tatizo tunaona unatuletea chai (jokes)
Muulize kilichomkuta Seran leo ule uzi wa LIKUD,๐ ๐ ๐ labda unaacha kushambulia hoja/mada zao una mu attack yeye binafsi