Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 62,752
- 105,460
Kama usingekuwa na watoto wa kiume unaolea ungewavumulia?Yote sawa, ila kuvumilia mashoga wakati Kuna watoto wa kiume nalea Hapana aisee
Wavulana hawafai kuwa karibu na mashoga kabisa kabisa
Kuna mstari mdogo sana kufanya mvulana kuwa demu kama mama yake