Ni muhimu Kuheshimu mawazo ya wengine bila chuki!

Ni muhimu Kuheshimu mawazo ya wengine bila chuki!

Yote sawa, ila kuvumilia mashoga wakati Kuna watoto wa kiume nalea Hapana aisee

Wavulana hawafai kuwa karibu na mashoga kabisa kabisa

Kuna mstari mdogo sana kufanya mvulana kuwa demu kama mama yake
Kama usingekuwa na watoto wa kiume unaolea ungewavumulia?
 
Yote sawa, ila kuvumilia mashoga wakati Kuna watoto wa kiume nalea Hapana aisee

Wavulana hawafai kuwa karibu na mashoga kabisa kabisa

Kuna mstari mdogo sana kufanya mvulana kuwa demu kama mama yake
Naunga mkono aisee hii issue ya mashoga hapana kwanza inatia kinyaa sana wanisamehe kama wapo humu
 
Ilikutana na nini mpka kubadili mtazamo?
kwanza kabisa kila mtu Ana interest zake
Na nilikua na idea kwamba kama mimi Nikita sahihi nikiongoza vizuli kwa kuweka mtazamo chanya nitaeleweka na itakua shwari guess what 🤣
Kipindi ambacho mimi nawaza tunatoka vipi chini kupanda juu mwenzangu yeye anawaza ntaondoka mida gani ili apoe na mlizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom