Hamissi Hamza Jr
JF-Expert Member
- Apr 16, 2020
- 546
- 1,082
Duniani kuna mitazamo Ya Mtu Mmoja mmoja,Na Kuna Mawazo Jumuishi ya Kikundi Fulani cha Watu au Tabaka Fulani la Watu.
Haya ni Mawazo ya Maskini Vs Mawazo ya Matajiri
MASKINI
1.Matajiri Ni Mafisadi
2.Matajiri Ni Waenda kwa Waganga
3.Matajiri Ni Freemason
4.Matajiri Wameachiwa Urithi
5.Matajiri Walidhulumu mali za Watu.
MATAJIRI
1.Maskini Ni Wavivu
2.Maskini Wanalalamika Sana
3.Maskini Wameridhika
4.Maskini Wanapuuza Fursa
5.Maskini Wanasubiri Kusaidiwa
6.Maskini Ni Wajinga.
Mtizamo Hii ya Matabaka Haya mawili ni ya kila Kundi Kuhalalisha lilipo.
Haya ni Mawazo ya Maskini Vs Mawazo ya Matajiri
MASKINI
1.Matajiri Ni Mafisadi
2.Matajiri Ni Waenda kwa Waganga
3.Matajiri Ni Freemason
4.Matajiri Wameachiwa Urithi
5.Matajiri Walidhulumu mali za Watu.
MATAJIRI
1.Maskini Ni Wavivu
2.Maskini Wanalalamika Sana
3.Maskini Wameridhika
4.Maskini Wanapuuza Fursa
5.Maskini Wanasubiri Kusaidiwa
6.Maskini Ni Wajinga.
Mtizamo Hii ya Matabaka Haya mawili ni ya kila Kundi Kuhalalisha lilipo.