RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 52,613
- 110,818
Unazuga.kwamba uwongo?
Unazuga.kwamba uwongo?
aisee! kuna watu sijui hatujaelimika ama hatujali afya zetuUnazuga.
Wewe ndio mwehu,nani anachemsha maji Mbagala,kawe, Manzese,buguruni,Tegeta na maeneo yote ya uswahilini?Ni mwehu tu anaweza kunywa hayo. Maji bila kuchemsha, ngoja wendawazimu wenzako waje, Angalau ya Arusha, Dar es salaam na muingiliano wote wa sewage?
Wewe ndio mwehu,nani anachemsha maji Mbagala,kawe, Manzese,buguruni,Tegeta na maeneo yote ya uswahilini?