Ni mimi tu au? Maji ya DAWASA ukinywa bila ya kuchemsha yanaumiza tumbo

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,341
51,907
Habari za Majukumu!

Tangu mwaka huu uanze haya maji ya DAWASA nikiyanywa tumbo linaniuma. Zamani nilikuwa nakunywa ya kuchemsha yaani bila kuchemsha maji sinywi labda ninunue.

Mwaka jana nikajaribu kunywa maji ya bomba (DAWASA) bila kuchemsha nikaona hayana shida. Ni mpaka mwaka huu Januari ndio nakutwa na hali kama hii. Yaani nikiyanywa tuu tumbo linauma, ila nikinunua ya dukani au nikiyachemsha tumbo haliumi.

Hii maana yake nini? Ni mimi pekeangu?

Karibuni.
 
Habari za Majukumu!

Tangu mwaka huu uanze haya maji ya DAWASA nikiyanywa tumbo linaniuma. Zamani nilikuwa nakunywa ya kuchemsha yaani bila kuchemsha maji sinywi labda ninunue.

Mwaka jana nikajaribu kunywa maji ya bomba (DAWASA) bila kuchemsha nikaona hayana shida. Ni mpaka mwaka huu Januari ndio nakutwa na hali kama hii. Yaani nikiyanywa tuu tumbo linauma, ila nikinunua ya dukani au nikiyachemsha tumbo haliumi.

Hii maana yake nini? Ni mimi pekeangu?

Karibuni.
Mkuu, kunywa maji ya DAWASA bila kuyachemsha ni sawa na ku-commit suicide. Kuna wengine tuliacha hata hiyo kuchemsha tukifikiria wadudu waliomo ndani ya hayo maji ambao tunawameza hata kama wamekufa! Wazia kumeza hawa jamaa

1710229097730.png
 
Habari za Majukumu!

Tangu mwaka huu uanze haya maji ya DAWASA nikiyanywa tumbo linaniuma. Zamani nilikuwa nakunywa ya kuchemsha yaani bila kuchemsha maji sinywi labda ninunue.

Mwaka jana nikajaribu kunywa maji ya bomba (DAWASA) bila kuchemsha nikaona hayana shida. Ni mpaka mwaka huu Januari ndio nakutwa na hali kama hii. Yaani nikiyanywa tuu tumbo linauma, ila nikinunua ya dukani au nikiyachemsha tumbo haliumi.

Hii maana yake nini? Ni mimi pekeangu?

Karibuni.
Serikali inahimiza na kuelemisha chemsha maji au tia water guard? Unafikiri wanafanya kazi bure? Unataka wakuchemshie?
 
Habari za Majukumu!

Tangu mwaka huu uanze haya maji ya DAWASA nikiyanywa tumbo linaniuma. Zamani nilikuwa nakunywa ya kuchemsha yaani bila kuchemsha maji sinywi labda ninunue.

Mwaka jana nikajaribu kunywa maji ya bomba (DAWASA) bila kuchemsha nikaona hayana shida. Ni mpaka mwaka huu Januari ndio nakutwa na hali kama hii. Yaani nikiyanywa tuu tumbo linauma, ila nikinunua ya dukani au nikiyachemsha tumbo haliumi.

Hii maana yake nini? Ni mimi pekeangu?

Karibuni.
Miaka yote mamlaka za kiserikali na DAWASCO wenyewe wanasisitiza uchemshe maji kabla ya kuyanywa, sasa wewe jitie nunda ukuze typhoid na amoeba tumboni kwako, na hizi heka heka za bima zinazoendelea, ukikanyaga hospitali ndo utakiona cha mtema kuni. Wabongo acheni ubishi wa ki-uwendawazimu. Yaani wao wenyewe wanaoyachakata hayo maji wanawaambia mchemshe kabla ya kuyanywa, ila nyie mnajitia ununda, muishie kuumwa Typhoid sugu halafu muanze kuilaumu serikali tena.
 
Habari za Majukumu!

Tangu mwaka huu uanze haya maji ya DAWASA nikiyanywa tumbo linaniuma. Zamani nilikuwa nakunywa ya kuchemsha yaani bila kuchemsha maji sinywi labda ninunue.

Mwaka jana nikajaribu kunywa maji ya bomba (DAWASA) bila kuchemsha nikaona hayana shida. Ni mpaka mwaka huu Januari ndio nakutwa na hali kama hii. Yaani nikiyanywa tuu tumbo linauma, ila nikinunua ya dukani au nikiyachemsha tumbo haliumi.

Hii maana yake nini? Ni mimi pekeangu?

Karibuni.

Ni mwehu tu anaweza kunywa hayo. Maji bila kuchemsha, ngoja wendawazimu wenzako waje, Angalau ya Arusha, Dar es salaam na muingiliano wote wa sewage?
 
Back
Top Bottom