Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,341
- 51,907
Habari za Majukumu!
Tangu mwaka huu uanze haya maji ya DAWASA nikiyanywa tumbo linaniuma. Zamani nilikuwa nakunywa ya kuchemsha yaani bila kuchemsha maji sinywi labda ninunue.
Mwaka jana nikajaribu kunywa maji ya bomba (DAWASA) bila kuchemsha nikaona hayana shida. Ni mpaka mwaka huu Januari ndio nakutwa na hali kama hii. Yaani nikiyanywa tuu tumbo linauma, ila nikinunua ya dukani au nikiyachemsha tumbo haliumi.
Hii maana yake nini? Ni mimi pekeangu?
Karibuni.
Tangu mwaka huu uanze haya maji ya DAWASA nikiyanywa tumbo linaniuma. Zamani nilikuwa nakunywa ya kuchemsha yaani bila kuchemsha maji sinywi labda ninunue.
Mwaka jana nikajaribu kunywa maji ya bomba (DAWASA) bila kuchemsha nikaona hayana shida. Ni mpaka mwaka huu Januari ndio nakutwa na hali kama hii. Yaani nikiyanywa tuu tumbo linauma, ila nikinunua ya dukani au nikiyachemsha tumbo haliumi.
Hii maana yake nini? Ni mimi pekeangu?
Karibuni.