Barua ya wazi kwa Waziri wa Maji na Mkurugenzi wa DAWASA

Gamba la Nyoka

JF-Expert Member
May 1, 2007
7,022
9,285
Wananchi wa Dar es salaam tumechoka na migao ya maji

Ndugu Waziri na Ndugu Mkurugenzi wa DAWASA

Mimi ni mkazi wa Dar es salaam, maeneo ya Mlalakuwa.

Napenda nikutaarifu kuwa, sasa katika maeneo yetu na mengine ya Jiji la Dar es salaam kumekuwepo na hali mbaya sana ya upatikanaji wa maji ya bomba. Hali hii imekuwa ni kero kubwa sana kwetu wananchi hasa ukizingatia hili suala limeanza kuwa kama "norm" au kawaida hivi wakati halikubaliki hata kidogo.

Maji yamekuwa yakija kwa vipindi vifupivifupi na wakati mwingine yasiwepo kabisa.

Ndugu Waziri na Mkurugenzi wa DAWASA
Haiwezekani haya mambo yanatokea, huku wizara ikiwa kimya na DAWASA nao wakiwa kimya bila kutoa taarifa kwa wananchi kuhusu nini kimejiri na ni lini hili suala litaisha. Wananchi hatukubaliani kabisa na aina hii ya kuendesha mambo.

Ukosekanaji wa maji unatuathiri sana kiafya na hata kiuchumi kwa sababu tunakosa maji safi ya kunywa, Tunashindwa kuoga ipasavyo, tunashindwa kufua ipasavyo lakini kibaya zaidi ukosefu huu wa maji unatufanya tutumie pesa nyingi kununua maji ya madumu ambayo hatujui yanapatikana wapi na usalama wake ni upi!.

Ndugu Waziri wa Maji na Mkurugenzi wa DAWASA
Wananchi wa Dar es salaam tunataka maji, tena ya uhakika, hatutaki Ukimya au kauli za kisiasa.

Haiwezekani Taifa linalofikiria kuweka Bima ya Afya kwa wote halafu maji katika jiji kubwa kama Dar bado ni ya kuungaunga.

Ndugu Waziri wa Maji na Mkurugenzi wa DAWASA
Kama mkishindwa kuleta maji tutawasagia kungunu kwelikweli mbele ya mheshimiwa rais maana haiwezekani miezi yote hii Dar es salaam maji yanakuwa ya manati na nyie mpo, hamseni chochote, ni kama kwamba mmeridhika hivi na status quo wakati sisi wananchi tunaumia. Hili halikubaliki.

Mheshimiwa Waziri na Mkurugenzi wa DAWASA
Wakati sisi tukiumia kwa kukosa maji lakini DAWASA bado inaleta bili za kila mwezi za matumizi ya maji na bili zenyewe kwa kiasi kikubwa huoni zikiwa ndogo kwa sababu ya ukosefu wa maji katika miezi husika. Sasa tunajiuliza, inamaana hata bomba lisipotoa maji bili iko palepale?, Haya ni maajabu ya DAWASA.

Ndugu Waziri,

Wananchi tunataka maji tena tunayataka Sasa

CC:
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

CC
Wabunge wote wa Mkoa wa Dar es salaam
 
Naunga mkono hoja ni aibu kwa miaka zaidi ya 60 bado kuwe na uncertain ya maji safi kwa wananchi haswa mji kama dsm.

Waliopo dawasa viatu haviwatoshi wavivue. Angekuwepo JPM ungesikia mtu katumbuliwa ili kutuma meseji kwa mainjinia wa maji wanaosubiri posho na vikao ila hawabuni miradi endelevu ya upatikanaji maji
 
Wananchi wa Dar es salaam tumechoka na migao ya maji

Ndugu Waziri na Ndugu Mkurugenzi wa DAWASA

Mimi ni mkazi wa Dar es salaam, maeneo ya Mlalakuwa.

Napenda nikutaarifu kuwa, sasa katika maeneo yetu na mengine ya Jiji la Dar es salaam kumekuwepo na hali mbaya sana ya upatikanaji wa maji ya bomba. Hali hii imekuwa ni kero kubwa sana kwetu wananchi hasa ukizingatia hili suala limeanza kuwa kama "norm" au kawaida hivi wakati halikubaliki hata kidogo.

Maji yamekuwa yakija kwa vipindi vifupivifupi na wakati mwingine yasiwepo kabisa.

Ndugu Waziri na Mkurugenzi wa DAWASA
Haiwezekani haya mambo yanatokea, huku wizara ikiwa kimya na DAWASA nao wakiwa kimya bila kutoa taarifa kwa wananchi kuhusu nini kimejiri na ni lini hili suala litaisha. Wananchi hatukubaliani kabisa na aina hii ya kuendesha mambo.

Ukosekanaji wa maji unatuathiri sana kiafya na hata kiuchumi kwa sababu tunakosa maji safi ya kunywa, Tunashindwa kuoga ipasavyo, tunashindwa kufua ipasavyo lakini kibaya zaidi ukosefu huu wa maji unatufanya tutumie pesa nyingi kununua maji ya madumu ambayo hatujui yanapatikana wapi na usalama wake ni upi!.

Ndugu Waziri wa Maji na Mkurugenzi wa DAWASA
Wananchi wa Dar es salaam tunataka maji, tena ya uhakika, hatutaki Ukimya au kauli za kisiasa.

Haiwezekani Taifa linalofikiria kuweka Bima ya Afya kwa wote halafu maji katika jiji kubwa kama Dar bado ni ya kuungaunga.

Ndugu Waziri wa Maji na Mkurugenzi wa DAWASA
Kama mkishindwa kuleta maji tutawasagia kungunu kwelikweli mbele ya mheshimiwa rais maana haiwezekani miezi yote hii Dar es salaam maji yanakuwa ya manati na nyie mpo, hamseni chochote, ni kama kwamba mmeridhika hivi na status quo wakati sisi wananchi tunaumia. Hili halikubaliki.

Mheshimiwa Waziri na Mkurugenzi wa DAWASA
Wakati sisi tukiumia kwa kukosa maji lakini DAWASA bado inaleta bili za kila mwezi za matumizi ya maji na bili zenyewe kwa kiasi kikubwa huoni zikiwa ndogo kwa sababu ya ukosefu wa maji katika miezi husika. Sasa tunajiuliza, inamaana hata bomba lisipotoa maji bili iko palepale?, Haya ni maajabu ya DAWASA.

Ndugu Waziri,

Wananchi tunataka maji tena tunayataka Sasa

CC:
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

CC
Wabunge wote wa Mkoa wa Dar es salaam
Maji hakuna umeme hakuna huku waziri na mkurugenzi wa dawasa wako busy na biashara zao.
Huku rais kawaambia vigogo kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
Kinachoonekana ni uzembe mtupu pengine na ufisadi kibao.
Baya zaidi wala wananchi hatuna taarifa nini kinaendelea.
Nyie wahuni na mama yenu mungu anawaona.
 
Kama mkishindwa kuleta maji tutawasagia kungunu
qRI8Gs7.gif
 
Wananchi wa Dar es salaam tumechoka na migao ya maji

Ndugu Waziri na Ndugu Mkurugenzi wa DAWASA

Mimi ni mkazi wa Dar es salaam, maeneo ya Mlalakuwa.

Napenda nikutaarifu kuwa, sasa katika maeneo yetu na mengine ya Jiji la Dar es salaam kumekuwepo na hali mbaya sana ya upatikanaji wa maji ya bomba. Hali hii imekuwa ni kero kubwa sana kwetu wananchi hasa ukizingatia hili suala limeanza kuwa kama "norm" au kawaida hivi wakati halikubaliki hata kidogo.

Maji yamekuwa yakija kwa vipindi vifupivifupi na wakati mwingine yasiwepo kabisa.

Ndugu Waziri na Mkurugenzi wa DAWASA
Haiwezekani haya mambo yanatokea, huku wizara ikiwa kimya na DAWASA nao wakiwa kimya bila kutoa taarifa kwa wananchi kuhusu nini kimejiri na ni lini hili suala litaisha. Wananchi hatukubaliani kabisa na aina hii ya kuendesha mambo.

Ukosekanaji wa maji unatuathiri sana kiafya na hata kiuchumi kwa sababu tunakosa maji safi ya kunywa, Tunashindwa kuoga ipasavyo, tunashindwa kufua ipasavyo lakini kibaya zaidi ukosefu huu wa maji unatufanya tutumie pesa nyingi kununua maji ya madumu ambayo hatujui yanapatikana wapi na usalama wake ni upi!.

Ndugu Waziri wa Maji na Mkurugenzi wa DAWASA
Wananchi wa Dar es salaam tunataka maji, tena ya uhakika, hatutaki Ukimya au kauli za kisiasa.

Haiwezekani Taifa linalofikiria kuweka Bima ya Afya kwa wote halafu maji katika jiji kubwa kama Dar bado ni ya kuungaunga.

Ndugu Waziri wa Maji na Mkurugenzi wa DAWASA
Kama mkishindwa kuleta maji tutawasagia kungunu kwelikweli mbele ya mheshimiwa rais maana haiwezekani miezi yote hii Dar es salaam maji yanakuwa ya manati na nyie mpo, hamseni chochote, ni kama kwamba mmeridhika hivi na status quo wakati sisi wananchi tunaumia. Hili halikubaliki.

Mheshimiwa Waziri na Mkurugenzi wa DAWASA
Wakati sisi tukiumia kwa kukosa maji lakini DAWASA bado inaleta bili za kila mwezi za matumizi ya maji na bili zenyewe kwa kiasi kikubwa huoni zikiwa ndogo kwa sababu ya ukosefu wa maji katika miezi husika. Sasa tunajiuliza, inamaana hata bomba lisipotoa maji bili iko palepale?, Haya ni maajabu ya DAWASA.

Ndugu Waziri,

Wananchi tunataka maji tena tunayataka Sasa

CC:
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

CC
Wabunge wote wa Mkoa wa Dar es salaam
Leo ni ijumaa na hata tone la maji hamna wiki ya pili...
 
Wananchi wa Dar es salaam tumechoka na migao ya maji

Ndugu Waziri na Ndugu Mkurugenzi wa DAWASA

Mimi ni mkazi wa Dar es salaam, maeneo ya Mlalakuwa.

Napenda nikutaarifu kuwa, sasa katika maeneo yetu na mengine ya Jiji la Dar es salaam kumekuwepo na hali mbaya sana ya upatikanaji wa maji ya bomba. Hali hii imekuwa ni kero kubwa sana kwetu wananchi hasa ukizingatia hili suala limeanza kuwa kama "norm" au kawaida hivi wakati halikubaliki hata kidogo.

Maji yamekuwa yakija kwa vipindi vifupivifupi na wakati mwingine yasiwepo kabisa.

Ndugu Waziri na Mkurugenzi wa DAWASA
Haiwezekani haya mambo yanatokea, huku wizara ikiwa kimya na DAWASA nao wakiwa kimya bila kutoa taarifa kwa wananchi kuhusu nini kimejiri na ni lini hili suala litaisha. Wananchi hatukubaliani kabisa na aina hii ya kuendesha mambo.

Ukosekanaji wa maji unatuathiri sana kiafya na hata kiuchumi kwa sababu tunakosa maji safi ya kunywa, Tunashindwa kuoga ipasavyo, tunashindwa kufua ipasavyo lakini kibaya zaidi ukosefu huu wa maji unatufanya tutumie pesa nyingi kununua maji ya madumu ambayo hatujui yanapatikana wapi na usalama wake ni upi!.

Ndugu Waziri wa Maji na Mkurugenzi wa DAWASA
Wananchi wa Dar es salaam tunataka maji, tena ya uhakika, hatutaki Ukimya au kauli za kisiasa.

Haiwezekani Taifa linalofikiria kuweka Bima ya Afya kwa wote halafu maji katika jiji kubwa kama Dar bado ni ya kuungaunga.

Ndugu Waziri wa Maji na Mkurugenzi wa DAWASA
Kama mkishindwa kuleta maji tutawasagia kungunu kwelikweli mbele ya mheshimiwa rais maana haiwezekani miezi yote hii Dar es salaam maji yanakuwa ya manati na nyie mpo, hamseni chochote, ni kama kwamba mmeridhika hivi na status quo wakati sisi wananchi tunaumia. Hili halikubaliki.

Mheshimiwa Waziri na Mkurugenzi wa DAWASA
Wakati sisi tukiumia kwa kukosa maji lakini DAWASA bado inaleta bili za kila mwezi za matumizi ya maji na bili zenyewe kwa kiasi kikubwa huoni zikiwa ndogo kwa sababu ya ukosefu wa maji katika miezi husika. Sasa tunajiuliza, inamaana hata bomba lisipotoa maji bili iko palepale?, Haya ni maajabu ya DAWASA.

Ndugu Waziri,

Wananchi tunataka maji tena tunayataka Sasa

CC:
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

CC
Wabunge wote wa Mkoa wa Dar es salaam
Wakati Jiji likiwa Chini ya Chadema mambo yalikuwa 100% hizi dana dana ni upigaji tu
 
Tuache siasa za kusambaza mabomba ya maji yanayo toa maji siku za kuzindua na siku zinzafuata yanabaki kuwa mapambo. Dawasa na Waziri please come out and explain what is happening and what should we expect. Kama maji hamna semeni ilitujipange.
Wani Ilani ya ccm inasemaje?
 
Juma Aweso mzee wa kusifu na kuabudu
Hana anachojua zaidi ya kulisha watu takwimu feki, kujisifia na kumsifu mama kwamba anaupiga sana

Kichekesho ni kwamba kuna siku Dawasa waliandaa hafla ya kupongezana kwa kusambaza maji dar es Salam kwa 92%
Ajabu ni kwamba hata Mwanza kuna shida sana ya maji. Dar tunasingizia ukame mwanza je?

Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
 
Ajabu ni kwamba hata Mwanza kuna shida sana ya maji. Dar tunasingizia ukame mwanza je?

Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Haa! haa! haha...!!

Hebu acha bwana..!!

Yaani pamoja na Jiji la Mwanza kuzungukwa na Ziwa Victoria likiwa na maji fresh kabisa bado watu wa Mwanza na maeneo jirani wanahangaika na tatizo la maji...??

Hivi tatizo la nchi hii nzuri ya Tanganyika ni nini hasa...???? Tunafeli wapi hasa...???

Bila shaka tatizo ni uongozi wa serikali za CCM tangu 1960 mpaka sasa. Hawa wameshafikia ukomo wa kutumia akili zao vyema kutatua matatizo ya watu na nchi kwa jumla...

Yaani haiwezekani MAJI na UMEME nchi hii yawe ni matatizo yaliyokosa ufumbuzi kwa miaka zaidi 60 huku wakiwa na kila kitu wanachohitaji kama vitendea kazi, yaani raslimali fedha na watu + vyanzo vya maji kila kona ya nchi...

Na inashangaza sana kwamba, nchi iko kwenye UKAME wa MAJI na GIZA la kukosa UMEME, lakini Rais Samia yuko kimya huku washauri wake wakimpangia safari kwenda China badala ya kukaa na kutulia ili kuongoza harakati za kutatua changamoto za nchi yake...!!

Huyu anatakiwa akienda popote nje ya nchi kwa sasa, akirudi akute kiti cha urais si chake tena na badala yake apitiliziwe under escort kwenda Kizimkazi Zanzibar kwao akapumzike huko...!

Yes, tumeshachoka sasa...!!

Hatuwezi kuwa na Rais pambo wakati amepewa full mamlaka ya utendaji ili kubadili mambo kutoka kuwa mabaya kama ilivyo sasa kuwa bora..!!

Cha kushangaza, yeye anafanya kinyume chake...!!

Who is she eaxctly? Is she a person or something else that looks like an example of human being while is not...????
 
Juma Aweso mzee wa kusifu na kuabudu
Hana anachojua zaidi ya kulisha watu takwimu feki, kujisifia na kumsifu mama kwamba anaupiga sana

Kichekesho ni kwamba kuna siku Dawasa waliandaa hafla ya kupongezana kwa kusambaza maji dar es Salam kwa 92%
Mzee wa Wali wa kushiba utaujulia kwenye sahani! Safi sana
 
Back
Top Bottom