toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,628
Hivi jamani hawa Dawasa wataendelea kuishi kwa kutegemea maji ya mvua hadi lini?Nasema hivi kwasababu ni nusura ya mungu tu mvua imenyesha mikoani haswa morogoro na Iringa ndo maji yakafurika kwenye mito ndo na huku tukaanza kuyaona mabombani.
Haya mambo ni hadi lini?Jee kila mwaka November na kiangazi tutakua tunapata shida za maji tu?
Mwaka jana November sinema ilikua ni hii hii tu walidai kuwa maji yanachepushwa, mwaka huu wamesingizia ukame na mwaka ujao sijui watasingizia nini.
Kwanini serikali isije na mkakati wa kuchimba kisima kikubwa kabisa chenye uwezo wa kuhudumia mkoa nzima wa Dar es Sallam badala ya kulia lia na mto Ruvu tu?
Sio hayo tu sote tunafahamu kuna mito kibao kama Rufiji ambayo huishia kumwaga maji baharini kwanini tusielekeze nguvu humo?
Hivi serikali ikiamua kuchimba kisima kikubwa cha maji safi yasiyokua ya Chumvi mbona inawezeka mbona?
Maana Mkuranga na Sehemu nyingi tu za Dar ya kusini hakuna shida za maji maana watu wamechimba visima na wanayasambaza kama Dawasa.
Mbona ishu ya maji ni very Easy tu wakisema hawana fedha kwanini wasiyape makampuni binafsi kandarasi za kuhangaikia ishu za maji serikali ijitoe huko?
Yaani kusingizia ukame ni ulimbukeni wa karne ya 21 mnasingizia ukame?Hapa ni Africa tu mnasingizia ukame na huko Israel na uarabuni pakame na jangwa wasemeje wao?
Hii nchi sijui kailoga nani yaani sijui tunakosa viongozi wenye maono?Haya mambo ni very easy ni suala la kuwaza na kuamua tu.
Haya mambo ni hadi lini?Jee kila mwaka November na kiangazi tutakua tunapata shida za maji tu?
Mwaka jana November sinema ilikua ni hii hii tu walidai kuwa maji yanachepushwa, mwaka huu wamesingizia ukame na mwaka ujao sijui watasingizia nini.
Kwanini serikali isije na mkakati wa kuchimba kisima kikubwa kabisa chenye uwezo wa kuhudumia mkoa nzima wa Dar es Sallam badala ya kulia lia na mto Ruvu tu?
Sio hayo tu sote tunafahamu kuna mito kibao kama Rufiji ambayo huishia kumwaga maji baharini kwanini tusielekeze nguvu humo?
Hivi serikali ikiamua kuchimba kisima kikubwa cha maji safi yasiyokua ya Chumvi mbona inawezeka mbona?
Maana Mkuranga na Sehemu nyingi tu za Dar ya kusini hakuna shida za maji maana watu wamechimba visima na wanayasambaza kama Dawasa.
Mbona ishu ya maji ni very Easy tu wakisema hawana fedha kwanini wasiyape makampuni binafsi kandarasi za kuhangaikia ishu za maji serikali ijitoe huko?
Yaani kusingizia ukame ni ulimbukeni wa karne ya 21 mnasingizia ukame?Hapa ni Africa tu mnasingizia ukame na huko Israel na uarabuni pakame na jangwa wasemeje wao?
Hii nchi sijui kailoga nani yaani sijui tunakosa viongozi wenye maono?Haya mambo ni very easy ni suala la kuwaza na kuamua tu.