Ni kwanini kwenye ukuaji wa tasnia ya mziki wa kizazi kipya mchango wa shule za sekondari miaka ya 90 haupewi uzito wake?

GANJIBHAAI

Senior Member
Mar 22, 2018
124
403
Mimi ni mkereketwa mkubwa wa mziki wa kizazi kipya hasa Hip Hop, Soul and R&B toka miaka ya tisini, nimeshuhudia mabadiliko makubwa ya mziki huu kuanzia matumizi ya vinyl, tapes, disc, mp3, mp4 mpaka leo hii.

From turntables, radio cassette, walkman cassette, disc player to all blessed revolution leo tuna simu janja kutoka MTV Yo Raps, MCM (TRACE) to Black Entertainment Television (BET) kuanzia Radio Tanzania (Maua yake mzee Nyaisanga kipindi kifupi sana saa tatu usiku Alhamis kama sikosei), Radio One (Mhagama, Abubakar Sadik) to Mawingu (ML Chris, Kabwe, wanyama wote bila kumsahau my homie Terrence Mwakaliku), Kiss FM (Steve Kabuye, DJ Jeff Jerry).

Mambo ni mengi itoshe tu kusema, tukirudi kwenye point yangu, shule za sekondari zilikuwa kama incubutors kwenye kuzalisha vipaji vilivyopelekea kuzalisha kwa wingi vipaji vingi sana vilivyopelekea kukuza mziki wa kizazi kipya pande zote za Tanzania hii pamoja na Afrika Mashariki kwa ujumla wake.

Mimi ni shuhuda mkubwa, na ninashudia hili nikiwa mmoja wa walioshuhudia process hii nzima. Kinachonisikitisha ni kuona leo hii hakuna anayetambua mchango shule za sekondari Tanzania katika mziki huu wa kizazi kipya.

Mimi nimesoma boarding schools za Nyanda ya Juu Kusini, Cypher to Cypher all the way from IR to MBY, but today, I dedcate this to Aza Boys na Tambaza.

GANJI.
 
Vijana wa zamani hopeless kabisa. Hamjawahi kuwa msaada kuntu na chanya kwenye maendelro ya taifa letu.

Mnawaza hip hop tuu
Hatuhangaikagi na washamba kama nyie!Huna tofauti na machoko wengine hapa mjini Hip Hop is Knowledge if you know you know kama hujui hujui tu!Hip hop inachagua waamini wake kwa bahati mbaya wewe si mmoja wao. Kwa taarifa yako tu nina nafasi nzuri tu kwenye hii serikali na wanaimani kubwa na mimi kwa kile ninacho-deliver! Sidhani kama wewe umekulia mjini na umestaarabika kwa kuwa judgemental! Pole sana
 
Asikudanganye mtu Shule za Muziki wa kizazi kipya ilikuwa Mbowe Hotel, YMCA na Maggot

Watu walijifunza practically 😂😂

Baadae Mzee Mengi wa ITV alisaidia sana kupitia Djs wake

Lakini Bonny Love, Master J na Majani wamo kwenye historia

Ila Baba Lao ni Freeman Mbowe hadi bush star mmoja akaivunja ile Mbowe hotel iliyoboreshwa na Kuwa Billicanas 😂😂
 
Hatuhangaikagi na washamba kama nyie!Huna tofauti na machoko wengine hapa mjini Hip Hop is Knowledge if you know you know kama hujui hujui tu!Hip hop inachagua waamini wake kwa bahati mbaya wewe si mmoja wao. Kwa taarifa yako tu nina nafasi nzuri tu kwenye hii serikali na wanaimani kubwa na mimi kwa kile ninacho-deliver! Sidhani kama wewe umekulia mjini na umestaarabika kwa kuwa judgemental! Pole sana
Tayari nimeshakuwin kisaikolojia
 
Dah! Umemtaja Aboubakari Sadiki, ukanikumbusha miaka ya 2000-2003, nikiwa boarding moja seminary hapo makao makuu mapya ya nchi. Ijumaa na Jumamosi, saa 3 hadi 5 usiku, huyu jamaa wa Kwa-Fujo DJs alikuwaga anatandika bongo flavor non-stop. Nakumbuka tulikuwa hatulali kabisa weekend, mpaka weekend fever iishe. Jumatano na Jumamosi mchana kulikuwa na DJ Ommy, yeye ilikuwa ni mabuzuk na masebene ya hapo DRC. Nostalgic
 
Asikudanganye mtu Shule za Muziki wa kizazi kipya ilikuwa Mbowe Hotel, YMCA na Maggot

Watu walijifunza practically 😂😂

Baadae Mzee Mengi wa ITV alisaidia sana kupitia Djs wake

Lakini Bonny Love, Master J na Majani wamo kwenye historia

Ila Baba Lao ni Freeman Mbowe hadi bush star mmoja akaivunja ile Mbowe hotel iliyoboreshwa na Kuwa Billicanas 😂😂
Ni kweli I think 80s na earlier 90s Mbowe ndo alikuwa maarufu sana I was a little boy so siwezi kuwa na maoni sana, YMCA I agree! FM club aka lang’ata pia miaka ya 90s kulikuwa na house party sana na waliokuwa wana enfluence ni watoto wa Tambaza, Aza na International School of Tanganyika (IST) RIP my brother Mpoki Mwambenja. Magroup ya kwanza ya hip hop yalizaliwa kwny mashule sina uhakika sana na Kwanza Unit ila Diplomaticz naamini asilimia 100 limezaliwa shuleni. Na hip hop ndio chimbuko la huu mziki wa kizazi kipya!.Itoshe tu kusema. Majani nilikuwa namuona sana pale nje ya IST ukivuka barabara kulikuwa na kontena wakiti huo nilikuwa naishi haile sellasie street nikiwa nasoma oysterbay primary school dogo janja😂. Master Jay nimekuja kumfahamu baadae sana kuna kipindi tulikuwa tunaingia pale kwa mzee kimario karibu na Morogoro Stores kucheza kikapu walikuwa wanaturuhusu madogo janja mara moja moja kucheza kikapu kwenye ule mmansion. Wale ni washua kitambo. Bonny Luv alikuwa na maringo sana 😂
 
Ni kweli I think 80s na earlier 90s Mbowe ndo alikuwa maarufu sana I was a little boy so siwezi kuwa na maoni sana, YMCA I agree! FM club aka lang’ata pia miaka ya 90s kulikuwa na house party sana na waliokuwa wana enfluence ni watoto wa Tambaza, Aza na International School of Tanganyika (IST) RIP my brother Mpoki Mwambenja. Magroup ya kwanza ya hip hop yalizaliwa kwny mashule sina uhakika sana na Kwanza Unit ila Diplomaticz naamini asilimia 100 limezaliwa shuleni. Na hip hop ndio chimbuko la huu mziki wa kizazi kipya!.Itoshe tu kusema.
FM Club alikuwepo muhaya Mmoja akitokea Iringa alijiita Mabingwa Recording Center 😂 pale Karibu na CCM mkoa
 
Mimi ni mkereketwa mkubwa wa mziki wa kizazi kipya hasa Hip Hop, Soul and R&B toka miaka ya tisini, nimeshuhudia mabadiliko makubwa ya mziki huu kuanzia matumizi ya vinyl, tapes, disc, mp3, mp4 mpaka leo hii.

From turntables, radio cassette, walkman cassette, disc player to all blessed revolution leo tuna simu janja kutoka MTV Yo Raps, MCM (TRACE) to Black Entertainment Television (BET) kuanzia Radio Tanzania (Maua yake mzee Nyaisanga kipindi kifupi sana saa tatu usiku Alhamis kama sikosei), Radio One (Mhagama, Abubakar Sadik) to Mawingu (ML Chris, Kabwe, wanyama wote bila kumsahau my homie Terrence Mwakaliku), Kiss FM (Steve Kabuye, DJ Jeff Jerry).

Mambo ni mengi itoshe tu kusema, tukirudi kwenye point yangu, shule za sekondari zilikuwa kama incubutors kwenye kuzalisha vipaji vilivyopelekea kuzalisha kwa wingi vipaji vingi sana vilivyopelekea kukuza mziki wa kizazi kipya pande zote za Tanzania hii pamoja na Afrika Mashariki kwa ujumla wake.

Mimi ni shuhuda mkubwa, na ninashudia hili nikiwa mmoja wa walioshuhudia process hii nzima. Kinachonisikitisha ni kuona leo hii hakuna anayetambua mchango shule za sekondari Tanzania katika mziki huu wa kizazi kipya.

Mimi nimesoma boarding schools za Nyanda ya Juu Kusini, Cypher to Cypher all the way from IR to MBY, but today, I dedcate this to Aza Boys na Tambaza.

GANJI.
KUNA UZI WETU TULIOSOMA TAMBAZA NA AZANIA MID 80,S NA EARLY 90,S UNAENDELEA KARIBU.
 
KUNA UZI WETU TULIOSOMA TAMBAZA NA AZANIA MID 80,S NA EARLY 90,S UNAENDELEA KARIBU.
Asante sana kaka! Safi sana ntajiunga kupata mambo ya zamani kuna raha yake kwa sasa tumekuwa washua. Kuna post yako nimeipenda ile ya mabroo! RIP Langa alikuwa mwanangu sana, Da Hustler pia tumehang out pamoja mara nyingi sana ila miaka imepita hatujaonana sina uhakika yupo Kenya au TZ.
 
Asikudanganye mtu Shule za Muziki wa kizazi kipya ilikuwa Mbowe Hotel, YMCA na Maggot

Watu walijifunza practically 😂😂

Baadae Mzee Mengi wa ITV alisaidia sana kupitia Djs wake

Lakini Bonny Love, Master J na Majani wamo kwenye historia

Ila Baba Lao ni Freeman Mbowe hadi bush star mmoja akaivunja ile Mbowe hotel iliyoboreshwa na Kuwa Billicanas 😂😂
Rudini nyuma mid 80,s.......au someni uzi wa mabraza wa zamani dsm
 
Asante sana kaka! Safi sana ntajiunga kupata mambo ya zamani kuna raha yake kwa sasa tumekuwa washua. Kuna post yako nimeipenda ile ya mabroo! RIP Langa alikuwa mwanangu sana, Da Hustler pia tumehang out pamoja mara nyingi sana ila miaka imepita hatujaonana sina uhakika yupo Kenya au TZ.
Yupo Arusha nadhani ibra....
Langa he was lil bro kitambo kule mikocheni A......
 
Back
Top Bottom