muulize copenhagen ndie aliharibu mada. kaingiza khabari za mzee kwa mshawasha basi nasi tukamchomekeaMbona
Hoja ni Afya ya JK toka amalize kuongoza Taifa letu,sasa mambo ya Lowassa yanakuja vipi?Hivi bila kumtaja Lowassa tena kwa ubaya huwezi kupata dhawabu kwa Muumba?Au bila Lowassa Jamii forum itafutika?Au toka aachie uwaziri mkuu zaidi ya miaka 9 tena kazi ya waziri mkuu,nchi livyobolonga na inazidi kubolonga ni Lowassa?