yukoje mzee pinda?Kuheshimika raha sana. Hata pinda kwa aliemwona hivi karibuni huwezi kuamini kama ndo yule
Ndio!Unanifahamu binafsi?
vipi?na hayo makunyanzi ya usoni unayaongeleaje?Kama umepima afya yake kwa sura, shingo na nywele hapo mimi sijui; lakini kama umepima afya yake kwa mwonekano wa alivyovaa mimi naona kama umechanganywa na kile kikoti cha sare ya waangalizi wa uchaguzi ndio kanaonesha kama mabega yamepanda juu kwa sababu kimepita juu ya koti la suti na inawezekana hicho kizibao cha sare ya uangalizi kina size ndogo kuliko hilo koti la suti yake. Halafu ukumbuke labda amepunguza vazi la ndani la 'bullet proof vest' baada ya kustaafu. Picha focus ya camera inaweza kuwa inachangia muonekano huo ambao yawezana sio halisia.
Huwezi kuwa na picha moja ya mtu tena kwa camera mbovu namna hiyo uka make conclusion!Wana ukumbi salaam.
Kwa muda sasa tangu aondoke madarakani JK aliyesema sasa anakwenda lala usingizi mtamu anaonekana kudhoofu kuliko kawaida.
Nimemuona kikwete Mara nyingi sasa akiwa anaendelea kudhoofu kadiri siku zinavyosonga....
Mungu ampe afya njema Kikwete wetu maana anatia huruma sana!!!
View attachment 381431
Uliitazama video ya ufunguzi wa mkutano wa CCM Dodoma?Huwezi kuwa na picha moja ya mtu tena kwa camera mbovu namna hiyo uka make conclusion!
Hata wewe I am sure una picha umekongoroka kuliko ulivyo ktk uhalisia!
Weka series za picha zake hata kwa siku hiyo unaweza kuwa na JK wenye health status tofauti!
Ningetarajia wewe mwenye mashaka ndiyo ungetupia picha ili ku prove wrong...Hiyo picha ukiicheki mabegani kama imephotoshopiwa au kuna kioo hapo?,
ila labda angle waliyopiga picha ndo imemtoa hivyo,hebu tupia picha zingine mbili tatu za hivi karibuni,maana mnashupalia picha moja tu
does it mean hujaicheki picha aloweka mdau mmoja hapo juu?.Ningetarajia wewe mwenye mashaka ndiyo ungetupia picha ili ku prove wrong...
magufuli mbona mzee tayari?,hata yeye sikuile amekili wakisimama na jk,yeye jpm ndo anaonekana kaka yake wakati jk ndo mkubwa sana tuHaya Tumpe pole kama anaumwa, au ikiwa ndio hali za wastaafu, then tumuhabarishe tu Magufuli ajiandae kuzeeka kwa mwendokasi!
tusubiri alimuita lowassa mgonjwa kunbe yeye ni mzima.zile mambo ya kushafisha damu tu.
swissme
Hata hivyo ashakuwa mtu mzima lazma abadilike
Mnaitazama hiyo picha vibaya. Huyo ndiye JK halisi. Picha mlizozoea alikuwa akivaa bullet proof ndomana kifua kilijaa. Siku hizi havai tena.