Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,543
Nchi ya mioyoniLowasa ni rais wa nchi gani mkuu?
Nchi ya mioyoniLowasa ni rais wa nchi gani mkuu?
Na macho je?Hiyo picha ukiicheki mabegani kama imephotoshopiwa au kuna kioo hapo?,
ila labda angle waliyopiga picha ndo imemtoa hivyo,hebu tupia picha zingine mbili tatu za hivi karibuni,maana mnashupalia picha moja tu
Aisee Lumumba-One umenichekesha sana ? Lowasa huyu mliyesema Ikulu sio Wodi ya wagonjwa kauli za kijana wenu Nape ,leo mnasema Lowasa hazeeki kwa sababu hajastaafu ??Number one killer for old people is retirement....
Lowassa bado yuko poa sababu hajastaafu.
Magogoni patamuuuAisee inastusha!! Kuna siku nimekutana nae live huwezi amini!! Inakuwaje MTU anayetoka kwenye stress adhoofu kuliko alivyokuwa huko?
Ndo wapi huko mkuuNchi ya miyoni
Kikwete ni rais bora kabisa,mzee wa watu aachwe apumzike.ila haikuwa vizuri kipindi cha kampeni kumdhihaki lowassa kwa hali ya kiafya aliyokuwa nayo..c vizuri kudhihaki afya ya mtu...akitaka aishi kwa amani na furaha vizuri kama binadamu amtafute tu lowassa amuombe msamaha..lowassa ni mtu mwenye hekima sana naamini watasameheana tu coz wale walikuwa marafiki wa mda mrefuWana ukumbi salaam.
Kwa muda sasa tangu aondoke madarakani JK aliyesema sasa anakwenda lala usingizi mtamu anaonekana kudhoofu kuliko kawaida.
Nimemuona kikwete Mara nyingi sasa akiwa anaendelea kudhoofu kadiri siku zinavyosonga....
Mungu ampe afya njema Kikwete wetu maana anatia huruma sana!!!
View attachment 381431
Mkuu unajua tofauti ya ugonjwa na uzee? Nani kasema mkwere ni mgonjwa?Aisee Lumumba-One umenichekesha sana ? Lowasa huyu mliyesema Ikulu sio Wodi ya wagonjwa kauli za kijana wenu Nape ,leo mnasema Lowasa hazeeki kwa sababu hajastaafu ??
Atakuongoza peke yako na familia yako!!Jamii inaelewa wewe ni nani aliyechakachua nani!! wale waoga wanaogopa hata jamii isikutane kureflect!! shameeeeeeeee!! wezi wachakachuaji!! Siye tunamjua Rais tuliyemchagua hamuwezi kumtoa mioyoni mwetu.
Sasa Mkwere ana uzee gani kumshinda Mwinyi ama Mkapa ama Lowasa ??Mkuu unajua tofauti ya ugonjwa na uzee? Nani kasema mkwere ni mgonjwa?
Nilisikiaga hayo maneno sikuamin niliprove kwa mshua wangu kweli"Ukitaka kujua uzee wa mtu subiri astaafu!!
Utajiuliza hivi yule mtu ndo huyu??
Safar za nje c zimepungua. Yeye alikuwa kazoea kuisha angani.Wana ukumbi salaam.
Kwa muda sasa tangu aondoke madarakani JK aliyesema sasa anakwenda lala usingizi mtamu anaonekana kudhoofu kuliko kawaida.
Nimemuona kikwete Mara nyingi sasa akiwa anaendelea kudhoofu kadiri siku zinavyosonga....
Mungu ampe afya njema Kikwete wetu maana anatia huruma sana!!!
View attachment 381431
Kweli kabisa, yaani amesheki Sana. Tunamuombea Afya njema.Wana ukumbi salaam.
Kwa muda sasa tangu aondoke madarakani JK aliyesema sasa anakwenda lala usingizi mtamu anaonekana kudhoofu kuliko kawaida.
Nimemuona kikwete Mara nyingi sasa akiwa anaendelea kudhoofu kadiri siku zinavyosonga....
Mungu ampe afya njema Kikwete wetu maana anatia huruma sana!!!
View attachment 381431