Ni kitu gani kimemsibu Kikwete?

Ni kitu gani kimemsibu Kikwete?

walisema lowassa ni mgonjwa sasa ngoja tuone mwisho wa hii sinema kwenda nje ya nchi kila siku tutajua tu nani ni mgonjwa.


swissme

Sasa kwanini msianzishe thread yenu manake JK hapa Kama mmemtumia kusafisha midude yenu.
 
UVCCM VIONGOZI WA CCM NA VITUKO WAMEKWAPUA WAMEIBA PESA MILLION 200


SWISSME
Halafu ndio walikua front line kuimba Lowassa ni fisadi!!! Bado yule msemaji mwenyewe mtumbo Mkubwa kama nyumbu mwenye mimba!!!
 
Tusifanye utani na M/Mungu, Mungu si Mzungu. Ngozi za shingo zinaninginia, hii ni hatari sana, zile safari ilikua kuna kitu zinakwenda kufanywa kila mwezi nje ya nchi.

Na huyu akitaka kutubu atubu kama Mzee yussuf hadharani sio kisiri kwakua aliyoyafanya yako hadharani kila mtu mpaka kuku wanajua. Arudi kwa Muumba haraka sana. Time will tell
 
Halafu ndio walikua front line kuimba Lowassa ni fisadi!!! Bado yule msemaji mwenyewe mtumbo Mkubwa kama nyumbu mwenye mimba!!!

Teh teh teh,yule nae itakula kwake mazima Kama Bulembo maana wote hawana shule kichwani.
 
Wana ukumbi salaam.

Kwa muda sasa tangu aondoke madarakani JK aliyesema sasa anakwenda lala usingizi mtamu anaonekana kudhoofu kuliko kawaida.

Nimemuona kikwete Mara nyingi sasa akiwa anaendelea kudhoofu kadiri siku zinavyosonga....

Mungu ampe afya njema Kikwete wetu maana anatia huruma sana!!!
View attachment 381431
mwache Mungu kwa jambo alilotuachia na kutuletea dikteta uchwara mr haambiliki
 
Tafadhali huu Uzi si wa Lowassa!! Unaweza anzisha wake, hapa tunajadili kudhoofu kunakostusha kwa mpendwa wetu JK!!
kamanda mbona yule aliyeuliza swali hilo hujamwambia umenirukia mimi niliyekuwa namjibu. its nat fair. umekuwa biased. kwa sababu nilikuwa namjibu aliyeuliza swali hilo
 
Back
Top Bottom