Ni kitu gani kimemsibu Kikwete?

Ni kitu gani kimemsibu Kikwete?

Wakuu madaraka ni kitu kizuri sana...unatoka sehemu ambayo ulikuwa hununui shati...suruali...kiatu...wala hata boxer...hujui kutoa pocket money kwa Watoto...wakiugua hutoi senti tano yako mfukoni kuwatibu...hujui pesa ya salon wala ya nguo za mama Watoto....nk nk.

Umeishi hvo kwa miaka kumi...leo unaanza kuombwa pesa ya mboga Sijui mtoto anaumwa...sijui salon mama Watoto...Sijui kile na kile utaacha kukongoroka kweli???
Hivyo ni vitu vidogo sana kwa MTU wa hadhi ya Urais!!
 
Acha ujinga wewe. Lowassa ni Rais wa Taifa gani? Unaweza kukamatwa kwa uhaini wewe! Sisi tulimkataa, tumemkataa na tutamkataa. Urais atausoma kwenye magazeti tu period!
Jamii inaelewa wewe ni nani aliyechakachua nani!! wale waoga wanaogopa hata jamii isikutane kureflect!! shameeeeeeeee!! wezi wachakachuaji!! Siye tunamjua Rais tuliyemchagua hamuwezi kumtoa mioyoni mwetu.
 
Lowasa si aliona awahi kujiuzuru kabla.panga la kufukuzwa halijamfikia. kwa kiswahili cha kisiasa wanasema alijiuzuru kuwajibika. lugha lainiiii
Uliyemnukuu ameandika bila ushabiki wowote..

Sasa wewe umenukuu sijui umeandika uchafu gani huu!
 
Wana ukumbi salaam.

Kwa muda sasa tangu aondoke madarakani JK aliyesema sasa anakwenda lala usingizi mtamu anaonekana kudhoofu kuliko kawaida.

Nimemuona kikwete Mara nyingi sasa akiwa anaendelea kudhoofu kadiri siku zinavyosonga....

Mungu ampe afya njema Kikwete wetu maana anatia huruma sana!!!
View attachment 381431

Kama umepima afya yake kwa sura, shingo na nywele hapo mimi sijui; lakini kama umepima afya yake kwa mwonekano wa alivyovaa mimi naona kama umechanganywa na kile kikoti cha sare ya waangalizi wa uchaguzi ndio kanaonesha kama mabega yamepanda juu kwa sababu kimepita juu ya koti la suti na inawezekana hicho kizibao cha sare ya uangalizi kina size ndogo kuliko hilo koti la suti yake. Halafu ukumbuke labda amepunguza vazi la ndani la 'bullet proof vest' baada ya kustaafu. Picha focus ya camera inaweza kuwa inachangia muonekano huo ambao yawezana sio halisia.
 
Mbona
Lowasa si aliona awahi kujiuzuru kabla.panga la kufukuzwa halijamfikia. kwa kiswahili cha kisiasa wanasema alijiuzuru kuwajibika. lugha lainiiii

Hoja ni Afya ya JK toka amalize kuongoza Taifa letu,sasa mambo ya Lowassa yanakuja vipi?Hivi bila kumtaja Lowassa tena kwa ubaya huwezi kupata dhawabu kwa Muumba?Au bila Lowassa Jamii forum itafutika?Au toka aachie uwaziri mkuu zaidi ya miaka 9 tena kazi ya waziri mkuu,nchi livyobolonga na inazidi kubolonga ni Lowassa?
 
Ukimya wa Lowasa utawaumbua wote. Ila matusi waliyoratibu nakuwatumia akina Nape kumtukana Rais Lowasa yalikuwa too much

Nani alikuambia Lowassa yuko kimya? Hao vijana wa 4UMovement unafikiri wanapata wapi ya kuongea? Ulishasikia mambo ya chui kuvaa ngozi ya kondoo? Anajidai kupita kama mzee wa mkimya wakati huo huo 'anawafungulia vijana' kusema hovyo.
 
Back
Top Bottom