Ni kitu gani kimemsibu Kikwete?

Ni kitu gani kimemsibu Kikwete?

Mnaitazama hiyo picha vibaya. Huyo ndiye JK halisi. Picha mlizozoea alikuwa akivaa bullet proof ndomana kifua kilijaa. Siku hizi havai tena.
 
Mbona Mkapa hajachakaa?
Hii mada yako ukiangalia kwa jicho lingine inataka kumkashifu jk tu, hakuna lingine. JK is getting old, 66yrs sio mtoto tena na hatokuwa kijana tena. Hata BWM amechakuwa mtu mzima, 78yrs+ hawezi kuwa na sura ya kitoto.

Hata wewe, ulivyokuwa 10+, 20+, 30+ etc sura inazidi kubadilika.

Lakini pia kumbuka, miili ya binadamu inatofautiana sana, mwingine yupo 50yrs anaonekana yupo fresh tu wakati mwingine na hiyo 50yrs anaonekana mzee sana. Pia kuna maradhi, vyakula, jinsi alivyotumia ujana wake...

Think man...think!!
 
Hii mada yako ukiangalia kwa jicho lingine inataka kumkashifu jk tu, hakuna lingine. JK is getting old, 66yrs sio mtoto tena na hatokuwa kijana tena. Hata BWM amechakuwa mtu mzima, 78yrs+ hawezi kuwa na sura ya kitoto.

Hata wewe, ulivyokuwa 10+, 20+, 30+ etc sura inazidi kubadilika.

Lakini pia kumbuka, miili ya binadamu inatofautiana sana, mwingine yupo 50yrs anaonekana yupo fresh tu wakati mwingine na hiyo 50yrs anaonekana mzee sana. Pia kuna maradhi, vyakula, jinsi alivyotumia ujana wake...

Think man...think!!
Huyo ni mgonjwa acheni kumpamba
 
Huyo ni mgonjwa acheni kumpamba
Nani asiye mgonjwa hapa duniani? Nenda muhimbili leo kufanya check up uweke majibu hapa. Tukashifu yote ila sio afya za watu, huna control na afya yako unakashifu za wenzako?
 
Vipi kinakuuma nini? Mbona kwa Lowassa mlikashifu sana? Tulia mpini uingie.
"Mlikashifu", unamzungumzia nani? Nimesema huna control na afya yako, acha kuikashifu afya ya jirani yako.
 
Kumbe kizibao ndo kilichanganya mambo,bavicha wanaombea kweli jk aharibikiwe.
 
Upo lile kundi la 61%. Sio kosa lako, Ndalichako azidi kujitahidi tusizalishe viazi tena.
Waambie fisiemu wenzako mwenzenu mmoja afya imemtupa mkono.
 
Hivi JK amezoofu wp? Mbona ana afya njema kwa 99% hivi wazaramo wanazeek? Jk atabaki kijana milele!! Ni kipenzi cha roho yangu!!
 
Lowassa-na-Kikwete-620x310.jpg
 
Back
Top Bottom