Ni haki kumwabudu marehemu?

Ni haki kumwabudu marehemu?

Kuna tofauti kati ya kumuomba na kumuombea, kumuomba marehemu haifai na anaepaswa kuombwa ni Mungu peke yake,ila marehem waweza kumuombea, na hata mimi kwa kuwa bado nina mapenzi na Marehem Babangu basi huwa nikimuombea kila siku,

kwani huenda kupitia maombi yangu akapata nafuu ya adhabu kama yupo ktk hali hiyo,kwani Mungu hupenda kuwaona waja wake wakimuomba
 
Kimsingi si sahihi na hata kibiblia pia c sahihi na nikosa kubwa Hakuna ibada ya wafu pia na MTU akifa ni hukumu nyinyi hata mkiomba Mara mia kwa cku haisaidia ushauri ACHENI KUTENDA MABAYA JIFUNZENI KUTENDA MENA

Biblia yangu inaniambia ni sawa kuwaombea wafu...yako itakuwa imechakachuliwa...
 
Pumzi ya mungu + udongo = MTU. Na MTU toa pumzi inabaki UDONGO.
Sasa unapoabudu udongo maanake akili yako sio timamu. Abudu aliefinyanga huo udongo na kupulizia pumzi yake akatokea adam

Sijaona watu wanaabudu wafu...ila nimeaona wafu wakiombewa Mungu awarehemu...
 
Hayo maisha ya mtu baada ya kifo unaweza kunipa uthibitisho kwamba kweli huwa wanaishi au ni uvumi tu mkuu?

Ewaaa nilikuwa nazisubiria ngonjera za Hellena White zije...

Soma Muhubiri 12:7

Nayo mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa...

Upo mjukuu wa Hellena.....
 
Ninachoamini mimi ni kuwa Binadamu akiwepo duniani ndipo unapoweza kumuomba chochote na hata Kumuombea.

-Pia binadamu anapokuwa duniani ndipo anapokuwa na fursa ya kuamua na kukata shauri aishije na Atakapokufa tu ndipo atakapohukumiwa kulingana na aliyoyatenda duniani. "Duniani ndipo penye bonde la kukata maneno"

-Akishakufa ndugu yangu huwezi kumwombea akabadilishiwa hukumu na Muumba wake,au akifa na maovu yake eti awekwe peponi.tunajifariji tuu kwa kuonesha kumjali. Kata shauri ukiwa bado una pumzi ya bure.

-

Wacha uongo wa mchana....Daaah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom