Kobe_mzee
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 445
- 153
Wana JF.Hili swala la kumwabudu marehemu au kumwombea wakati yeye kashakufa na hana ufahamu wowote kweli ni jambo jema? Maiti haijui wala haisikii nijuavyo mimi sijui wenzangu mnajuaje? Maiti haina thamani yoyote hata fungu la mchicha la mia mbili inaizidi thamani nijuavyo mimi.Naombeni na nyie mawazo yenu kuhusu hili watu wa jf.
Nadhani uanhitaji kuelewa kuwa kuabudu na kuombea ni tofauti kabisaa.