Ni haki kumwabudu marehemu?

Ni haki kumwabudu marehemu?

Marehemu hawezi kuombewa akaenda mbinguni mkuu wanaofanya hivyo ni wasanii flani wazushi.

msisitizo ni kwamba rehema ya Mungu inamrudisha duniani kwa nn haiwezi kumpeleka mbinguni.
 
Nikimgusa hashtuki,nikimsemesha hasikii kwa maana hata hanijibu na nambeba namweka kwenye kaburi na kumfukia hapigi kelele wala kulalamika lakini mkuu wewe hapo ulipo nikija kukuchukua nikuweke kaburini utapiga mayowe hadi hadi mashuzi kwa maana unajielewa kwamba hai.

na wewe si uko hai nguvu unazotumia kumdumbukiza mwenzio kaburini angali hai lazima ushuzi ukutoke
 
Kwa mfano kumwabudu kwamba akuombee kwa Mungu au wewe umwombee kwa Mungu au yeye akusaidie ufanikiwe kimaisha.

Kwani Ni marehemu wote wapo Chini tu.... maana Musa alikufa ndio ila Baadae akamtokea Yesu miaka ya baadae. . Si marehemu wote hawasikii...

Na unaposema Kumwabudu marehemu unaonyesha kabisa hujui hata maana ya Kuabudu... kuomba na kuabudu ni vitu viwili tofauti
 
Kwani Ni marehemu wote wapo Chini tu.... maana Musa alikufa ndio ila Baadae akamtokea Yesu miaka ya baadae. . Si marehemu wote hawasikii...

Na unaposema Kumwabudu marehemu unaonyesha kabisa hujui hata maana ya Kuabudu... kuomba na kuabudu ni vitu viwili tofauti

Mkuu hawa wanachagua maandiko yatakayo suit mafundisho yao.Yesu kutokewa na akina Musa kumtia moyo ni ushahidi wa uhai wa kiroho kwa watakatifu.
 
Kwani Ni marehemu wote wapo Chini tu.... maana Musa alikufa ndio ila Baadae akamtokea Yesu miaka ya baadae. . Si marehemu wote hawasikii...

Na unaposema Kumwabudu marehemu unaonyesha kabisa hujui hata maana ya Kuabudu... kuomba na kuabudu ni vitu viwili tofauti

Wewe kweli hujui mkuu.Haya huwa unamwabudu Musa? Musa alivyotaka kufa akaambiwa Musa nenda huku ukafe na hakuna binadamu alieuzika mwili wake wala kujua kaburi lake kwa maana Mungu alijua maamuma kama wewe watamwabudu kwa uzushi wa mwanadamu.
 
Mkuu hawa wanachagua maandiko yatakayo suit mafundisho yao.Yesu kutokewa na akina Musa kumtia moyo ni ushahidi wa uhai wa kiroho kwa watakatifu.

Vipi na wewe ulitokewa na babu yako nini ukakutia nguvu za kuvuna mpunga.
 
Subiri watu wenye akili kama zako waje mjadiliane..

Wewe binadamu mtenda dhambi mkubwa utamwitaje mtu mtakatifu wakati Yesu mwenyewe alikataa asiitwe mtakatifu? Labda mteuwe mtakafujo ila sio mtakatifu.
 
Kumwabudu marehemu si sawa kabisa,maana wa kuabudiwa ni mungu peke yake!,lakini kumwombea marehemu hiyo ni sawa kabisa na upo ushahidi wa kibiblia unaotuthibitishia hilo.kama utahitaji nitoe mada hiyo kuhusiana na umuhimu na uhalali wa kuombea marehemu mimi nipo tayari.
 
Kumwabudu marehemu si sawa kabisa,maana wa kuabudiwa ni mungu peke yake!,lakini kumwombea marehemu hiyo ni sawa kabisa na upo ushahidi wa kibiblia unaotuthibitishia hilo.kama utahitaji nitoe mada hiyo kuhusiana na umuhimu na uhalali wa kuombea marehemu mimi nipo tayari.

Mkuu toa ushahidi japo mmoja tu.
 
Wewe sema tu nije niilete mada ya kuombea marehemu,ktk misingi ya biblia,kutoa ushahidi sawa lakini kwa kuwa lengo ni kueleweshana na kuwekana sawa,basi wewe subiri muda si mrefu nitaileta mada hiyo.usiwe na wasiwasi utanielewa tu!.
 
Wewe sema tu nije niilete mada ya kuombea marehemu,ktk misingi ya biblia,kutoa ushahidi sawa lakini kwa kuwa lengo ni kueleweshana na kuwekana sawa,basi wewe subiri muda si mrefu nitaileta mada hiyo.usiwe na wasiwasi utanielewa tu!.

Ili nikuelewe itabidi unipe na ushahidi kutoka kwa marehemu mwenyewe.Kwa maana mimi najua hasikii na wala haoni na hajui lolote.
 
Ili nikuelewe itabidi unipe na ushahidi kutoka kwa marehemu mwenyewe.Kwa maana mimi najua hasikii na wala haoni na hajui lolote.

Sidhani kama marehemu hawaoni kinachoendelea maana mimi my friend alikufa akaacha watoto wake wangali wadogo after 12 yrs ya kifo chake alinitokea kwa ndoto akaniambia plse my friend nisaidie mtoto wangu aende shule amekwama!

Mimi sikuwa na mawasiliano tena na hiyo familia kwa kuwa mme alioa tena na alikuwa anajiweza kweli nilivyoenda kuulizia nikaambiwa kijana kashindwa kwenda shule! Niliamua kusaidia hao watoto wote mpk ngazi ya chuo kikuu na sijaota tena huyu marehemu.

Lakini swali mpk leo ninalojiuliza alijuaje watoto wake wako na shida na kwa nini alinitokea mimi !
 
Ninavyoelewa sio kumuomba marehemu akuombee kwa Mungu au kumuomba akufanyie kitu fulani.

Ni kumuombea Marehemu asamehewe dhambi zake kwa wakati huo huwa anakuwa yapo toharani akisubiri kusamehewa dhambi zake na Mungu Baba.

Hiyo ni Imani ya baadhi ya Mathehebu, na sio vizuri kubeza imani na mafundisho ya watu, kama unaona sio sawa acha wenzako waendelee kuwaombea Marehemu bila kukoma, kila mmoja atabeba mzigo wake hapo siku ya mwisho.

Huwezi kubadirisha imani za watu za miaka maelfu na maelfu.
 
Kumb 18:9-12.hakuna ibada za wafu,Waebrania 9:27 Baada ya kifo,hukumu na kila mtu atabeba madhambi yake mwenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom