JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,966
Wewe unajuaje mtu hajafa kafichwa?
sijui ndo maana nasali kubahatisha ili kama kafichwa basi aachiliwe aliko, kwani kuna hasara gani kubahatisha?
Wewe unajuaje mtu hajafa kafichwa?
Mkuu wewe Gwajima itakuwa kakuvuruga akili na imani zake za kizushi na uongo.Eti kafichwa?
ina maana wewe huamini kama uchawi upo? mbona Bible imeyasema? ndo maana tunasali kuvunja uchawi, una ubishi wa ajabu sana, mwalimu wako alikuwa na kazi ya kukuelewesha.
unacho kiongelea hakitafsiriki unaposema kuabudu maiti ni kumaanisha unaiomba upo nayo hapo hapo kitu ambaccho hakipo kwa sasa labda ungesema kuabudu mizimu hapo ungeniconvice yani
Kwa mfano kumwabudu kwamba akuombee kwa Mungu au wewe umwombee kwa Mungu au yeye akusaidie ufanikiwe kimaisha.
Ukiskia shirki ndo hii Mungu hana mshirika hivo bas unapochukua jukumu la kuomba marehem akuombee hiyo ni dhambi nachojua mim kinachofanyika kwa marehem nkumuombea tu
nduki Zamiluni Zamiluni
Ukiskia shirki ndo hii Mungu hana mshirika hivo bas unapochukua jukumu la kuomba marehem akuombee hiyo ni dhambi nachojua mim kinachofanyika kwa marehem nkumuombea tu
nduki Zamiluni Zamiluni
Sasa unamwombea marehemu ili iweje?
Sasa marehemu akuombee wewe ili iweje?.
Kiongozi, umelenga penyewe haswaa. Jamaa akina Adiosamigo wa Nonda na Elungata nduguye Ally Kombo kaka ya dada FaizaFoxy hawata sogea hapa.
Inna lillah wainna ilayh raajuun
Huna unalojua wewe bora ukae kimya
Obviously, you can't prove your muhammadic diabolical belief. You can't even provide arguments or evidence to justify your oafish jibrilic belief.
You made my point for me.
Come back when you can be honest about your mindless bogus faith.
Kimsingi si sahihi na hata kibiblia pia c sahihi na nikosa kubwa Hakuna ibada ya wafu pia na MTU akifa ni hukumu nyinyi hata mkiomba Mara mia kwa cku haisaidia ushauri ACHENI KUTENDA MABAYA JIFUNZENI KUTENDA MENA
Siku utayoziba hii pumzi inayokupa kiburi, ndio utakutana na Paulo wako huko huko.He is just reminding you that the god you worship is breathless.
YEsu akasema... yohana 5: 39 Ninyi huyachunguza Maandiko Matakatifu mkidhani kwamba ndani yake mtapata uzima wa milele; na kumbe maandiko hayohayo yananishuhudia!:40 Hata hivyo, ninyi hamtaki kuja kwangu ili mpate uzima.......