JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,309
- 5,464
Kuna baadhi ya hospitali binafsi (tetesi zinasema) mkoani Tabora, kwasasa hazipokei waginjwa wanao tumia NHIF. Sababu kubwa ni kwamba hawaja lipwa kwa zaidi ya miezi tisa hadi sasa.Izo hospital zifutiwe vibari haraka sana
Hata NHIF hawakua wakizingua hiviDuh enzi za JPM hakukua na migomo kihivi
Hii ni dalili ya kwamba haukuwahi kuwa na akili na hata ukizipata leo hazina matumizi kwakoIzo hospital zifutiwe vibari haraka sana
Akili za kimasikin hiz. Then unafikiri nan anaeumiaIzo hospital zifutiwe vibari haraka sana
Tumieni mitishambaAkili za kimasikin hiz. Then unafikiri nan anaeumia
Tumieni dawa za asiliHii ni dalili ya kwamba haukuwahi kuwa na akili na hata ukizipata leo hazina matumizi kwako
Izo❌ Hizo✔️, vibari❌ Vibali✔️Izo hospital zifutiwe vibari haraka sana
Huu ni ushahidi mwingine unaoondoa shaka ya kukosekana kwa akili kwenye hilo kasha juu ya shingo yakoTumieni dawa za asili
Ama wakisitisha huduma, NHIF itawafungia biashara zao kwakua imeshikilia mpini (serikali)??
Sawa komwe nimekupataIzo❌ Hizo✔️, vibari❌ Vibali✔️
Mzee tuliza pressure hii Tanzania ili uendane nayo lazima ujifanye mjinga mjinga maana kunamambo Yana umiza ukiishi kwenye uhalisia utaishia kuumia tu na hakuna kitakacho badirika na mimi nimechagua upande huoHuu ni ushahidi mwingine unaoondoa shaka ya kukosekana kwa akili kwenye hilo kasha juu ya shingo yako