NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
TIGO POST PAID:
Gharama ya usajili utalipia kiasi kinacholingana na bei ya bando unalotaka kuungwa
Bando utalochagua utakuwa unaungwa kila tarehe 1 ya mwezi
Kila mwezi inabidi ulipie bando unaloungwa, usipolipa lain inafungwa na unadaiwa deni.
AIRTEL SME:
A. Vifurushi vya sme bila kununua router ya airtel
huna wajibu wa kulipia kila mwezi, mambo yakitaiti unaweza nunua kifurushi cha chini au kusubiri mfuko ukae sawa
unachagua kifurushi cha kununua, mwezi huu unaweza nunua cha elf 20 mwezi ujao cha elf 50
CONCLUSION
Mimi tigo post paid nilijiunga mwaka jana kabla hawajabadili vifurushi, huwa naungwa gb 80 kwa elf 60 kila mwezi. hapa nilipo napima mzani kwasababu kifurushi changu nacho kipo fresh si haba lakini kama ningekuwa nalipia vifurushi hivi vya sasa ningehamia airtel fasta tu.
- 15 GB kwa 15,000
- 35 GB kwa 35,000
- 48 GB kwa 40,000
- 72 GB kwa 60,000
- 120 GB kwa 100,000
Gharama ya usajili utalipia kiasi kinacholingana na bei ya bando unalotaka kuungwa
Bando utalochagua utakuwa unaungwa kila tarehe 1 ya mwezi
Kila mwezi inabidi ulipie bando unaloungwa, usipolipa lain inafungwa na unadaiwa deni.
AIRTEL SME:
A. Vifurushi vya sme bila kununua router ya airtel
- 22 GB kwa 20,000
- 35 GB kwa 30,000
- 60 GB kwa 50,000
- 22 GB kwa 20,000
- 35 GB kwa 30,000
- 65 GB kwa 50,000
- 100 GB kwa 75,000
- 200 GB kwa 100,000/=
huna wajibu wa kulipia kila mwezi, mambo yakitaiti unaweza nunua kifurushi cha chini au kusubiri mfuko ukae sawa
unachagua kifurushi cha kununua, mwezi huu unaweza nunua cha elf 20 mwezi ujao cha elf 50
CONCLUSION
Mimi tigo post paid nilijiunga mwaka jana kabla hawajabadili vifurushi, huwa naungwa gb 80 kwa elf 60 kila mwezi. hapa nilipo napima mzani kwasababu kifurushi changu nacho kipo fresh si haba lakini kama ningekuwa nalipia vifurushi hivi vya sasa ningehamia airtel fasta tu.