R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,138
Mtandao : TIGO
Bando / Kifurushi – Tigo Post-Paid 80 GB / Elf 60 Kila mwezi. (mawasiliano natumia mtandao mwengine kwasababu naitumia namba hio tangu 2006, naunga bando la elf 10 mitandao yote )
Kifaa nachotumia ni Router ya Tigo
Nipo Dsm, Mbezi Louis
Nimeanza kuhesabu from scratch (0 KB) kuanzia tarehe 1 saa sita kamili usiku kifurushi kipya kinapoingia hadi leo mwisho wa mwezi kilipofikia kikomo
Kiasi Nilichotumia kufikia kikomo = GB 77.3, salio linaonyesha kifurushi kimebaki MB 1
Kiasi chenye utata ni GB 2.7 (80 – 77.3) sawa na asilimia 3.4 %
Possibilities nazoziona
My personal view
Wala si mbaya, sijaumia maana kuna mitandao nishawahi tumia, asilimia 20 hadi 50 inapotea kimiujiza, Nishawahi kutumia mtandao flani sio poa, hata sijaanza kutumia natumiwa meseji nimetumia asilimia 75%, sijakaa sawa nikapokea meseji inakuambia kifurushi kimekwisha.
Kwa hizo Gb 77 kwa siku 30 bado ninaweza kutumia GB 2 na nusu Daily, Possibilities zinaweza kuwa nyingi kwa matokeo niliyoyapata, siwezi kufanya conclusion haraka, kwa Research zaidi nitabadili router nitumie tofauti nione itakuwaje.
Sina dalili yoyote ya kuwahama Tigo, wanaupiga mwingi sana tu.
Research yangu ya kwanza hii >> hapa <<
Hii ni data Usage ya kwenye kioo cha Router
Hii ni data Usage kwenye menu ya router
Hii ni meseji ya salio lililobaki
Bando / Kifurushi – Tigo Post-Paid 80 GB / Elf 60 Kila mwezi. (mawasiliano natumia mtandao mwengine kwasababu naitumia namba hio tangu 2006, naunga bando la elf 10 mitandao yote )
Kifaa nachotumia ni Router ya Tigo
Nipo Dsm, Mbezi Louis
Nimeanza kuhesabu from scratch (0 KB) kuanzia tarehe 1 saa sita kamili usiku kifurushi kipya kinapoingia hadi leo mwisho wa mwezi kilipofikia kikomo
Kiasi Nilichotumia kufikia kikomo = GB 77.3, salio linaonyesha kifurushi kimebaki MB 1
Kiasi chenye utata ni GB 2.7 (80 – 77.3) sawa na asilimia 3.4 %
Possibilities nazoziona
- Huenda ni within margin of Error
- Labda naongezewa matumizi (Napigwa) kwa asilimia 3.4%, kwa kila GB 1 kiuhalisia zinapunguzwa asilimia 3.4% sawa na MB 34 (GB 0.034), ama tuseme ya kwamba ni sadaka 😂
- Labda tatizo lipo counter ya router inayohesabu matumizi,
My personal view
Wala si mbaya, sijaumia maana kuna mitandao nishawahi tumia, asilimia 20 hadi 50 inapotea kimiujiza, Nishawahi kutumia mtandao flani sio poa, hata sijaanza kutumia natumiwa meseji nimetumia asilimia 75%, sijakaa sawa nikapokea meseji inakuambia kifurushi kimekwisha.
Kwa hizo Gb 77 kwa siku 30 bado ninaweza kutumia GB 2 na nusu Daily, Possibilities zinaweza kuwa nyingi kwa matokeo niliyoyapata, siwezi kufanya conclusion haraka, kwa Research zaidi nitabadili router nitumie tofauti nione itakuwaje.
Sina dalili yoyote ya kuwahama Tigo, wanaupiga mwingi sana tu.
Research yangu ya kwanza hii >> hapa <<
Hii ni data Usage ya kwenye kioo cha Router
Hii ni data Usage kwenye menu ya router
Hii ni meseji ya salio lililobaki