William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
sina uhakika kama ni mjomba wake labda ni kutoka tu sehemu moja(Kijijini)
Nimekusikia mkuu, tuendelee kukata ishus taifa liko njia panda hili!
sina uhakika kama ni mjomba wake labda ni kutoka tu sehemu moja(Kijijini)
Nimekusikia mkuu, tuendelee kukata ishus taifa liko njia panda hili!
Nimekusikia mkuu, tuendelee kukata ishus taifa liko njia panda hili!
Duh wazee mtanisamehe nimechelewa na mimi listi niliyonayo so far ni hii
DR SHUKURU KAWAMBWA -MIUNDOMBIU
DR STEPHEN WASIRA- KILIMO
DR MSOLA-MAWASILIANO
KOMBANE TAMISEMI
CHIBULUNJE NAIBU WAZIRI MAWASILIANO
MAHANGA -NAIBU WAZIRI WIZARA YA KAZI
Mie nilishasema haya mabadiliko ya baraza la mawaziri kila miezi miwili hayataleta mabadiliko yoyote ya kweli bali uchaguzi tu ndio labda utaleta mabadiliko ya kweli. Huyu Msolla alivurunda sana pale elimu na hatimaye kutupwa nje ya cabinet, sijui amefanya lipi la kustahili kupewa uwaziri kwa mara nyingine tena!
Jakaya Mrisho Kikwete wewe ni matatizo matupu, na ni bure kabisa wewe
Huna lolote wewe, nalazimika kusema hivi kwa sababu nadhani upeo wako wa kufikilia haulingani na madaraka uliyoyata(Upresident) sasa unatufanyia majaribio kila kukicha.
Wewe kweli ulikuwa hufai kuwa President sijui ni hizo chekacheka zako ndio zilikufanya upate Upresident?? Fanya urudi Jimboni kwako ukagombee Ubunge nchi imekushinda hii
Alikuwa waziri wa wizara gani katika mabadiliko yaliyofanywa february, 2008? Naona hili lilinipita kushoto mimi nilidhani aliachwa kama akina Meghji, Mramba na wengineo.
Hapa kwa Kikwete tumeumbuka kwa kweli. Watu wanahamishwa wizara mara kwa mara, hata mwishoni waliulizwa walifanya nini hawawezi kusema, mfano Kawambwa, Wasira, Msola tangu 2006 hadi leo (miaka 2 tu) wameshahama wizara 3, hivi kuna ufanisi hapo? Reshuffle ya sasa hivi ndio wehu kabisa, watu kawateua February tu juzi (miezi 3) keshawabadili!
Kithuku, Kitila; Ikulu kuna watu (aliowaweka JK) ambao hawana kazi, wanadhani kazi pekee ni kumshauri jinsi ya kupangua mawaziri!!Kitila said:Hivi huko ikulu hakuna kazi ingine ya kufanya zaidi ya kuwapanga na kuwapangua mawiziri kila kukicha? Wataanza lini hasa kutekeleza ahadi zao walizotoa 2005?
Judge Joseph Sinde Warioba, Mbunge Aloyce Kimaro, Daniel Mwakyembe, Joseph Butiku, Dk Slaa na wengineo walio ukemea ufisadi hadharani...Coalition ya kuikomboa Tanzania 2010?
Ahsante!wengine opportunists tu, hawana jipya kukemea hata lowassa amekemea ufisadi