Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 54
Mojawapo ya kazi ya Rais ni kuteua wasaidizi wake watakaomsaidia
kuongoza wizara kadhaa alizoziunda. Kama ambavyo Kasheshe
ametangulia kusema kwamba mawaziri ni wasimamiaji wa utekelezaji
wa sera za chama kilicho madarakani, mimi napenda kuongezea kwa
kurudia kuwakumbusha wana-JF kuwa uendeshaji wa shughuli za
wizara hufanywa na technical people wakiongozwa au kusimamiwa na
katibu mkuu wa wizara husika. Kwahiyo uteuzi wa mawaziri wa
kumsaidia Rais sidhani kama nina haja ya kuhoji ilhali mwenye
kuwateua wamsaidie hana tatizo nao. Ni vema tukakumbuka kuwa
Rais wa Tanzania ni mmoja tu.
I have no objection kwa wote walioteuliwa.
kuongoza wizara kadhaa alizoziunda. Kama ambavyo Kasheshe
ametangulia kusema kwamba mawaziri ni wasimamiaji wa utekelezaji
wa sera za chama kilicho madarakani, mimi napenda kuongezea kwa
kurudia kuwakumbusha wana-JF kuwa uendeshaji wa shughuli za
wizara hufanywa na technical people wakiongozwa au kusimamiwa na
katibu mkuu wa wizara husika. Kwahiyo uteuzi wa mawaziri wa
kumsaidia Rais sidhani kama nina haja ya kuhoji ilhali mwenye
kuwateua wamsaidie hana tatizo nao. Ni vema tukakumbuka kuwa
Rais wa Tanzania ni mmoja tu.
I have no objection kwa wote walioteuliwa.