Dkt Hamis Kigwangala amesema anatamani uteuzi mpaka anakosa Usingizi

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,270
9,716
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Dkt Hamis Kigwangala Aliyewahi kuwa waziri wa utalii na maliasili pamoja na kuwa naibu waziri wa Afya chini ya Mheshimiwa Ummy Mwalimu kama waziri wake,kupitia mtandao wa Twitter amesema kuwa anatamani sana Kupata uteuzi mpaka anakosa usingizi na hivyo kuomba hata maombi ili apate.japo amezungumza katika hali ya utani katika majibizano ya kawaida na ya utani lakini bila shaka kimtokacho mtu ndicho kilichoujaza Moyo wake pamoja na kifua chake.

Japo ametaniwa kuwa ni bora asipate uteuzi huo maana atawasumbua sana watu mitaani akipata uteuzi ,kwa sababu alipokuwa waziri wa maliasili na utalii alikuwa anamuona kila mtu anayemkalibia ni jangili .lakini kwa sasa walau anafikika na kupiga stori.

Nini maoni yako mwana jamii forum kuhusu kiu ya Mheshimiwa Mbunge kuutamani uteuzi wa nafasi ya Uwaziri.Je ingekuwa wewe ni Rais na unataka kufanya mabadiliko ya baraza la Mawaziri,je ungemteua kuwa waziri wako.

Unakumbuka nini katika uwaziri wake wa maliasili na utalii. Unakumbuka nini katika unaibu wake wa afya.Ipi alama aliyoiacha na ya kukumbukwa katika nafsi hizo za uteuzi alizozitumikia. Je anastahili kupewa au kufikiriwa kupewa tena uteuzi au aendelee kubaki na ubunge wake.

je anautaka uteuzi wa uwaziri kwa ajili ya kuwatumikia watu au Uwaziri kumtumikia yeye.je anataka uwaziri kwa ajili ya kuleta fikira mpya au kwa ajili ya sifa na hadhi ya uwaziri.je unafikiri anatamani kupata uteuzi kwa kuwa kuna mahali anaona anaweza kutoa mchango wake chanya nawemye kuleta matokeo chanya kwa Nchi ndani ya baraza la mawaziri au kwa kuwa tu anaona ni muda na yeye akumbukwe kurudishwa kundini baada ya kuwa nje.

Kama ungepata nafasi ya kumpa neno ana kwa ana ungemshauri nini Mheshimiwa Mbunge Dkt Hamis kingwangala. Mimi ningemshauri akasome kitabu cha Mhubiri kinachosema kuwa kwa kila jambo na majira yake na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu. lakini pia ningemwambia akasome pia Mhubiri 9:11. Kinazungumzia juu ya wakati na bahati. Kwamba kuna bahati na wakati kwa kila jambo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
 
IMG-20240323-WA0225.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Dkt Hamis Kigwangala Aliyewahi kuwa waziri wa utalii na maliasili pamoja na kuwa naibu waziri wa Afya chini ya Mheshimiwa Ummy Mwalimu kama waziri wake,kupitia mtandao wa Twitter amesema kuwa anatamani sana Kupata uteuzi mpaka anakosa usingizi na hivyo kuomba hata maombi ili apate.japo amezungumza katika hali ya utani katika majibizano ya kawaida na ya utani lakini bila shaka kimtokacho mtu ndicho kilichoujaza Moyo wake pamoja na kifua chake.

Japo ametaniwa kuwa ni bora asipate uteuzi huo maana atawasumbua sana watu mitaani akipata uteuzi ,kwa sababu alipokuwa waziri wa maliasili na utalii alikuwa anamuona kila mtu anayemkalibia ni jangili .lakini kwa sasa walau anafikika na kupiga stori.

Nini maoni yako mwana jamii forum kuhusu kiu ya Mheshimiwa Mbunge kuutamani uteuzi wa nafasi ya Uwaziri.Je ingekuwa wewe ni Rais na unataka kufanya mabadiliko ya baraza la Mawaziri,je ungemteua kuwa waziri wako.

Unakumbuka nini katika uwaziri wake wa maliasili na utalii. Unakumbuka nini katika unaibu wake wa afya.Ipi alama aliyoiacha na ya kukumbukwa katika nafsi hizo za uteuzi alizozitumikia. Je anastahili kupewa au kufikiriwa kupewa tena uteuzi au aendelee kubaki na ubunge wake.

je anautaka uteuzi wa uwaziri kwa ajili ya kuwatumikia watu au Uwaziri kumtumikia yeye.je anataka uwaziri kwa ajili ya kuleta fikira mpya au kwa ajili ya sifa na hadhi ya uwaziri.je unafikiri anatamani kupata uteuzi kwa kuwa kuna mahali anaona anaweza kutoa mchango wake chanya nawemye kuleta matokeo chanya kwa Nchi ndani ya baraza la mawaziri au kwa kuwa tu anaona ni muda na yeye akumbukwe kurudishwa kundini baada ya kuwa nje.

Kama ungepata nafasi ya kumpa neno ana kwa ana ungemshauri nini Mheshimiwa Mbunge Dkt Hamis kingwangala. Mimi ningemshauri akasome kitabu cha Mhubiri kinachosema kuwa kwa kila jambo na majira yake na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu. lakini pia ningemwambia akasome pia Mhubiri 9:11. Kinazungumzia juu ya wakati na bahati. Kwamba kuna bahati na wakati kwa kila jambo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Mama zao ndio wanaojua kuzaa wateule tu, akina mama wengine huzaa wa kujiajiri.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Dkt Hamis Kigwangala Aliyewahi kuwa waziri wa utalii na maliasili pamoja na kuwa naibu waziri wa Afya chini ya Mheshimiwa Ummy Mwalimu kama waziri wake,kupitia mtandao wa Twitter amesema kuwa anatamani sana Kupata uteuzi mpaka anakosa usingizi na hivyo kuomba hata maombi ili apate.japo amezungumza katika hali ya utani katika majibizano ya kawaida na ya utani lakini bila shaka kimtokacho mtu ndicho kilichoujaza Moyo wake pamoja na kifua chake.

Japo ametaniwa kuwa ni bora asipate uteuzi huo maana atawasumbua sana watu mitaani akipata uteuzi ,kwa sababu alipokuwa waziri wa maliasili na utalii alikuwa anamuona kila mtu anayemkalibia ni jangili .lakini kwa sasa walau anafikika na kupiga stori.

Nini maoni yako mwana jamii forum kuhusu kiu ya Mheshimiwa Mbunge kuutamani uteuzi wa nafasi ya Uwaziri.Je ingekuwa wewe ni Rais na unataka kufanya mabadiliko ya baraza la Mawaziri,je ungemteua kuwa waziri wako.

Unakumbuka nini katika uwaziri wake wa maliasili na utalii. Unakumbuka nini katika unaibu wake wa afya.Ipi alama aliyoiacha na ya kukumbukwa katika nafsi hizo za uteuzi alizozitumikia. Je anastahili kupewa au kufikiriwa kupewa tena uteuzi au aendelee kubaki na ubunge wake.

je anautaka uteuzi wa uwaziri kwa ajili ya kuwatumikia watu au Uwaziri kumtumikia yeye.je anataka uwaziri kwa ajili ya kuleta fikira mpya au kwa ajili ya sifa na hadhi ya uwaziri.je unafikiri anatamani kupata uteuzi kwa kuwa kuna mahali anaona anaweza kutoa mchango wake chanya nawemye kuleta matokeo chanya kwa Nchi ndani ya baraza la mawaziri au kwa kuwa tu anaona ni muda na yeye akumbukwe kurudishwa kundini baada ya kuwa nje.

Kama ungepata nafasi ya kumpa neno ana kwa ana ungemshauri nini Mheshimiwa Mbunge Dkt Hamis kingwangala. Mimi ningemshauri akasome kitabu cha Mhubiri kinachosema kuwa kwa kila jambo na majira yake na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu. lakini pia ningemwambia akasome pia Mhubiri 9:11. Kinazungumzia juu ya wakati na bahati. Kwamba kuna bahati na wakati kwa kila jambo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Hata wewe Chawa Mkuu Hulali ni vile tu hutaki kusema wazi wazi.
 
Back
Top Bottom