ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,775
Ikiwa Leo ndio siku ya mwisho ya Kuuaga mwaka 2023 ambao umekuwa na mafanikio na Changamoto zake ikiwa ni kawaida kama miaka tuu mingine.
Kiujumla Kisiasa mambo yamemwendea vizuri Rais Samia tofauti na Mwaka 2022.Hata hivyo analysis ya cabinet yake imefanikiwa Kwa Asilimia kati ya 75-80% katika kutekeleza majukumu yake.
Kwa kuangalia Mawaziri mmja mmja ,wafuatao ndio Mawaziri 10 waliofanya vizuri zaidi katika kutekeleza majukumu Yao Kwa mwaka 2023.
1.Hussein Bashe-Kilimo
2.Jumaa Aweso-Maji
3.Mohamed Mchengerwa-Tamisemi
4.Prof.Adolf Mkenda-Elimu
5.Mwigulu Nchemba-Fedha
6.Ummy Mwalimu-Afya
7.Biniface Simbachawene-Utumishi
8.Jenista Mhagama-Ofisi ya Waziri Mkuu
9.Innocent Bashungwa-Ujenzi
10.Dotto Biteko(Alipokuwa Madini).
Kama kawaida kwenye mbio wa mwisho Huwa hawakosekani.
Mawaziri waliofanya vibaya na kuvurunda(Mawaziri Mizigo) Kwa mwaka 2023 ni Wafuatao.
1.Mohamed Jaffo-Mazingira
2.Ashantu Kijaji-Biashara na Viwanda
3.Abdala Ulega-Mifugo
4.Damas Ndumbaro-Waziri wa Michezo
5.Pindi Chana-Waziri wa Katiba na Sheria.
6.Anjela Kairuki-Utalii.
My Take
Haya ni maoni yangu binafsi na Wala sio lazima yafanane na wengine.
Niwatakie Heri ya Mwaka Mpya 2024 na Kazi Iendelee.
Kiujumla Kisiasa mambo yamemwendea vizuri Rais Samia tofauti na Mwaka 2022.Hata hivyo analysis ya cabinet yake imefanikiwa Kwa Asilimia kati ya 75-80% katika kutekeleza majukumu yake.
Kwa kuangalia Mawaziri mmja mmja ,wafuatao ndio Mawaziri 10 waliofanya vizuri zaidi katika kutekeleza majukumu Yao Kwa mwaka 2023.
1.Hussein Bashe-Kilimo
2.Jumaa Aweso-Maji
3.Mohamed Mchengerwa-Tamisemi
4.Prof.Adolf Mkenda-Elimu
5.Mwigulu Nchemba-Fedha
6.Ummy Mwalimu-Afya
7.Biniface Simbachawene-Utumishi
8.Jenista Mhagama-Ofisi ya Waziri Mkuu
9.Innocent Bashungwa-Ujenzi
10.Dotto Biteko(Alipokuwa Madini).
Kama kawaida kwenye mbio wa mwisho Huwa hawakosekani.
Mawaziri waliofanya vibaya na kuvurunda(Mawaziri Mizigo) Kwa mwaka 2023 ni Wafuatao.
1.Mohamed Jaffo-Mazingira
2.Ashantu Kijaji-Biashara na Viwanda
3.Abdala Ulega-Mifugo
4.Damas Ndumbaro-Waziri wa Michezo
5.Pindi Chana-Waziri wa Katiba na Sheria.
6.Anjela Kairuki-Utalii.
My Take
Haya ni maoni yangu binafsi na Wala sio lazima yafanane na wengine.
Niwatakie Heri ya Mwaka Mpya 2024 na Kazi Iendelee.