murra wa marwa
Senior Member
- Apr 24, 2008
- 150
- 2
kwa baraza hili sijapata matumaini ya maendeleo.
tusubiri muibuko mwengine wa kashfa za ufisadi
Atayefuata kujiuzulu ni mahanga au msolla?
kwa baraza hili sijapata matumaini ya maendeleo.
tusubiri muibuko mwengine wa kashfa za ufisadi
kwi kwi kwi... Zitto Nyang'anya kadi hii mwanachama yako... haiheshimu yeye kwamba iko kaa na Mwanri kwa miaka miwili... sheee, napandishi mori shikilia mimi!!! hii ndio torono tukulu!!!
Torono -- maana yake "mtukukutu" kwa kimasa
Tukulu ---maana yake "saba" jwa kimasai
Hivi, akijiuzulu Msolla tena itakuwaje? Nadhani kuna haja ya Rais Kikwete kutumia the "Nuclear Option".. haiwezekani kufanya mambo hivi yanavyofanywa sasa.
wewe na msolla ugomvi wenu ni nn? ni wa ukraine au kuna mengine?
vipi kuhusu ukaaji wako kihalali ushaushughulikia?/
Just to clarify - Prof Msolla's qualification are: Bachelor of Veterinary Science Nairobi 1972; MVM & PhD [Veterinary Medicine] Glasgow - Scotland [1980]. Toka hapo amekuwa akifundisha SUA kama Senior Lecturer [1981]; Associate Professor [1984] and full Professor [1987]. Katika mwaka 1988 akateuliwa kuwa Deputy Vice Chancelorr wa SUA nafasi aliyoishika mpaka alipostaafu mwaka 2005 na kwenda kupigania Ubunge huko kwao Iringa. Yeye ni profesa wa veterinary medicine kwa hiyo Kilimo labda asingeweza kiutaalamu - kama hiyo ndiyo criteria ya kuchagua waziri - yeye labda angefaa zaidi huko kwenye Wizara ya Kitoweo aliyopewa Ndugu Pombe Magufuli.
Nafikiri kumrudisha Wassira hapo Kilimo ni decision nzuri. Pia kumweka Dr. Kawambwa kwenye Miundo mbili ingawaje ni mechanical engineer ni decision nzuri - kuna mechanical infrastructure pia kama ATC; ferries etc under wizara hii. La muhimu lakini ni waziri kuwa na wisdom na leadership qualities na sio lazima awe amesomea fani ya wizara anayoongoza - technical inputs zina kuwa provided na civil servants katika ngazi ya Director etc. In fact the best Minister wa kilimo Tanzania alikuwa Marehemu Derek Bryceson [kwenye 1960s] ambaye hakusomea kilimo bali alikuwa airforce officer katika jeshi la uingereza. That is when kilimo cha Tanzania kilikuwa kina grow by 6-9% per annum.
Jasusi
Karibu sana Mzee ulipotea siku nyingi.
Yupo huru kabisa kutoa maoni yake. Sisi hatunyanganyani kadi kwa kupishana maoni. Kwa mwono wangu Mwanri ni mjamaa, kwa maneno na vitendo. Alipokuwa CCM kama Katibu Mwenezi alikuwa lazima atetee chama chake na sisi lazima tumlime kwani ndio siasa na ndio maana ya kuwa vyama tofauti. Mwanri ni mtu mzuri, ni mwadilifu sana na alifanya kazi vizuri sana na Mwenyekiti wetu walipokuwa wabunge wa Wilaya ya Hai na Halmashauri ikiwa chini ya CHADEMA. Tatizo lake ni mwoga sana. Woga wa kimaadili na sio woga wa kifisadi!
Kitu kimoja kizuri katika mabadiliko kadhaa anayofanya JK ni kupandisha manaibu kuwa Mawaziri. Hili ni zuri. Naunga mkono uteuzi wa Kombani TAMISEMI. Hivi hakuteua naibu Waziri TAMISEMI? Maana sijaona hapa au mmesahau?
Mwanri pia ni mzalendo sana, ni chaguo zuri ingawa angefaa kuwa Waziri Kamili. Jamaa ni marxist huyu, acha!
wewe na msolla ugomvi wenu ni nn? ni wa ukraine au kuna mengine?
vipi kuhusu ukaaji wako kihalali ushaushughulikia?/
Anko Kikwete na mimi naomba wizara jamani, mbona Anko Shukuru Kawabwa kwa muda wa miaka miwili na nusu tu ameshazunguka wizara 4???? Je kwani unampango wa kumpa uwaziri mkuu??????? maana hizo mbio si bure lazima unampango nae mkubwa zaid.
Kumbe I was right, Kawambwa ni anko! Ahsante Domo Kaya wewe ninakuamnia sana, vipi kulikoni siku hizi huopnekani mkuu?