Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 77,972
- 165,434
- Thread starter
- #81
Atakuja kukupost JFAkipatikana wa kumdanga sijivungi, atadangwa!
Atakuja kukupost JFAkipatikana wa kumdanga sijivungi, atadangwa!
No... si kweli. Na hata kama yupo ni yule mwanamke mwenye kujitambua si hawa masista duu wengi wao empty kichwani.Bujibuji katika ubora wako, hahahahaaaa
sasa mkuu wewe hizo za mwanzo ulikuwa unatuma za nini?
anyways, kwa kila mwanaume mwenye mafanikio kuna mwanamke nyuma yake!!!!
Huwa wabatabia yao ya kupanda dau. Wana kutest na hela ndogo alaf wanaanza kupanda dau kidogo kidogo.We ndio hujui kaka,ogopa sana videmu vya uswazi,wanaomba hao! Unakuta demu hafanyi kazi kazi ni kuomba buku 2 buku3. Ikifika jioni kajaa
Mh sicolate . Unenijumbusha. Kuna dem nilikuwa nae kila nikimpigia simu anasema njaa. Akiwa nyumbani njaa, kazin njaa. Mpaka kuna siku nikamwambia mimi si baba ako, kila siku njaa njaa njaa, unaishi nyumban na wazazi wako wote, mnapika mchana na ucku hii njaa kila siku ni ya aina gani.[Samahani lakini!!!Hii ina ukweli etiii wanaume? ATTACH=full]719816[/ATTACH]♀️♀️♀️[emoji144]♀️
Vitu vyote hivyo umempa na mzigo hujala?kweli amekufaidiBaada ya mazoea ya wiki kadhaa tu nikamsikia akiniambia "Babe sina salio, naomba nitumie Tsh 25000 nijiunge na kifurushi cha mwezi". Nikamwambia poa.
Siku chache baadae nikamsikia, "Nimepanga kwenda saloon kwa chichi nikasuke, naomba Tshs 60,000 nikanunue nywele.
Nikamwambia cool "Anything for you my dear.
Baadae kidogo kama wiki hivi nikamsikia "Babe nataka weekend ijayo twende tukale pizza, lakini nakuomba nitumie Tshs 35,000 naenda na marafiki zangu Dinner.
Nikasema poa, Hata hivyo nimepanga kukutumia kamzigo ka zawadi nzuri, nitazituma hizo fedha na huo mzigo."
Nikamtumia, alivyopata tu akanitext na kuniuliza; "Mzigo gani huu umenitumia wa nguo zilizotumika, au sio wangu?"
MIMI: Ni mzigo wako, nimekutumia nguo na viatu vilivyotumika tulivikusanya kwa ajili ya kuwapa omba omba.
YEYE: Kwanini umenitumia mimi? Kwahiyo mimi ni omba omba
MIMI: Wewe ni ombaomba my dear. Omba omba pekee ndio hua wanaomba pesa wanapokutana na mtu kwa mara ya kwanza !!!
Hatufanyi ujinga, tuta-win vipi economic freedom katika uchumi huu mgumu kwa aina hii ya wanawake? hana ushauri, hakutii moyo kutafuta, anawaza kukugeuza kuwa sponsor wake tu...No way!
My brothers we never taught how to be diplomatic when it comes to our hard earning money
Akili za kihenga safi sana, wa design hii hata milioni nakupa ikiwa mfuko unasoma vizuriSiombagi pesa kutoka kwa mwanaume, kama nimemzoea nitamueleza issues ninazopitia katika maisha. Anaweza kunipa ushauri hilo si haba wengine wanatoa pesa hili pia si dogo.
wenye bayati zenu mhhhWengine wanangoja birthday yako ndiyo anakununlia zawadi, wengine wanakuambia babe jiandae tunakwenda Easter Mombasa kwa wiki mbili, hili si dogo.
Wengine anatoka kazini tu umeletewa kikuku na mkufu.
We kwanini huna?Hel a zenyewe elf 20 tu siombi nyingi
Papuchi huwa haiombwi, bali inatakwa.Pambaneni na hali zenu, mbona nyie mnaomba papuchi kila leo hatusemi, kama huwezi kutoa hela baki na mkeo, bai ze wei acheni uzinzi
[emoji23][emoji23][emoji23] tafuta wasioomba mbona wanawake wapo wengi.
Hahahaaa. Duuh. Usiwe mchungu kiasi hicho bana.Duh kwahiyo hapo ishakutoka kama laki moja hivi fasta fasta !!! Duh watu na mipesa yao,mi sitoagi pesa hovyo hovyo namna hii bora nimtumie hata bimdashi sio kumtumia dem ambaye sina malengo nae badae
Hahahaaaaaaaa. Lolunafikiri wanajielewa......akiahamia kwa mwingine ni hivyo hivyo......sijui wamefundishwa wapi hako katabia.......
[emoji1] [emoji1] [emoji1] lazima mtu uwe economically budgeted, mana hali ni ngumu. Nitatoa pesa kwa sababu maalumHahahaaa. Duuh. Usiwe mchungu kiasi hicho bana.
Hahahaaa. Hivyo kipindi ambacho hali haikuwa ngumu hili lilikuwa jambo la kawaida ama?[emoji1] [emoji1] [emoji1] lazima mtu uwe economically budgeted, mana hali ni ngumu. Nitatoa pesa kwa sababu maalum
Tatizo ukimpa Mara moja tu, basi ndo anahamishia majeshi jumla inakuwa frequently wiki haijaisha ashakutandika mizinga hata minneHahahaaa. Hivyo kipindi ambacho hali haikuwa ngumu hili lilikuwa jambo la kawaida ama?
Ila twende mbele na nyuma kusaidia kidogo ipo. [emoji85]