Ndio, wewe ni ombaomba

Ndio, wewe ni ombaomba

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Bujibuji katika ubora wako, hahahahaaaa
sasa mkuu wewe hizo za mwanzo ulikuwa unatuma za nini?
anyways, kwa kila mwanaume mwenye mafanikio kuna mwanamke nyuma yake!!!!
No... si kweli. Na hata kama yupo ni yule mwanamke mwenye kujitambua si hawa masista duu wengi wao empty kichwani.
 
We ndio hujui kaka,ogopa sana videmu vya uswazi,wanaomba hao! Unakuta demu hafanyi kazi kazi ni kuomba buku 2 buku3. Ikifika jioni kajaa
Huwa wabatabia yao ya kupanda dau. Wana kutest na hela ndogo alaf wanaanza kupanda dau kidogo kidogo.
Misele yao ni vigodoro, sherehe, saluni nyumbani. Jaz hana ,hafikirii kupata. Ukimuuliza business idea nayo hana.
 
[Samahani lakini!!!Hii ina ukweli etiii wanaume? ATTACH=full]719816[/ATTACH]♀️‍♀️‍♀️[emoji144]‍♀️
Mh sicolate . Unenijumbusha. Kuna dem nilikuwa nae kila nikimpigia simu anasema njaa. Akiwa nyumbani njaa, kazin njaa. Mpaka kuna siku nikamwambia mimi si baba ako, kila siku njaa njaa njaa, unaishi nyumban na wazazi wako wote, mnapika mchana na ucku hii njaa kila siku ni ya aina gani.
Tangu kipindi hiko ameacha hiyo tabia.
 
Jmn wadada wa hivyo ni shida kero kero kero. Kila siku anaomba, inafikia mahali demu anakugeuza baba ake,anakuomba hela ya chakula na nauli kila siku, alaf anaishi kwao na wazazi wana uwezo.

Wanakera sana, hata kama mnaomba hela muombe kwa ustaarab jmn, kila siku shida na ww, mateso ww ... kila siku naomba hela.
 
Baada ya mazoea ya wiki kadhaa tu nikamsikia akiniambia "Babe sina salio, naomba nitumie Tsh 25000 nijiunge na kifurushi cha mwezi". Nikamwambia poa.

Siku chache baadae nikamsikia, "Nimepanga kwenda saloon kwa chichi nikasuke, naomba Tshs 60,000 nikanunue nywele.

Nikamwambia cool "Anything for you my dear.

Baadae kidogo kama wiki hivi nikamsikia "Babe nataka weekend ijayo twende tukale pizza, lakini nakuomba nitumie Tshs 35,000 naenda na marafiki zangu Dinner.

Nikasema poa, Hata hivyo nimepanga kukutumia kamzigo ka zawadi nzuri, nitazituma hizo fedha na huo mzigo."

Nikamtumia, alivyopata tu akanitext na kuniuliza; "Mzigo gani huu umenitumia wa nguo zilizotumika, au sio wangu?"

MIMI: Ni mzigo wako, nimekutumia nguo na viatu vilivyotumika tulivikusanya kwa ajili ya kuwapa omba omba.

YEYE: Kwanini umenitumia mimi? Kwahiyo mimi ni omba omba

MIMI: Wewe ni ombaomba my dear. Omba omba pekee ndio hua wanaomba pesa wanapokutana na mtu kwa mara ya kwanza !!!

Hatufanyi ujinga, tuta-win vipi economic freedom katika uchumi huu mgumu kwa aina hii ya wanawake? hana ushauri, hakutii moyo kutafuta, anawaza kukugeuza kuwa sponsor wake tu...No way!

My brothers we never taught how to be diplomatic when it comes to our hard earning money
Vitu vyote hivyo umempa na mzigo hujala?kweli amekufaidi
 
Siombagi pesa kutoka kwa mwanaume, kama nimemzoea nitamueleza issues ninazopitia katika maisha. Anaweza kunipa ushauri hilo si haba wengine wanatoa pesa hili pia si dogo.
Akili za kihenga safi sana, wa design hii hata milioni nakupa ikiwa mfuko unasoma vizuri
 
Wengine wanangoja birthday yako ndiyo anakununlia zawadi, wengine wanakuambia babe jiandae tunakwenda Easter Mombasa kwa wiki mbili, hili si dogo.

Wengine anatoka kazini tu umeletewa kikuku na mkufu.
wenye bayati zenu mhhh
 
Duh kwahiyo hapo ishakutoka kama laki moja hivi fasta fasta !!! Duh watu na mipesa yao,mi sitoagi pesa hovyo hovyo namna hii bora nimtumie hata bimdashi sio kumtumia dem ambaye sina malengo nae badae
Hahahaaa. Duuh. Usiwe mchungu kiasi hicho bana.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] lazima mtu uwe economically budgeted, mana hali ni ngumu. Nitatoa pesa kwa sababu maalum
Hahahaaa. Hivyo kipindi ambacho hali haikuwa ngumu hili lilikuwa jambo la kawaida ama?

Ila twende mbele na nyuma kusaidia kidogo ipo. [emoji85]
 
Hahahaaa. Hivyo kipindi ambacho hali haikuwa ngumu hili lilikuwa jambo la kawaida ama?

Ila twende mbele na nyuma kusaidia kidogo ipo. [emoji85]
Tatizo ukimpa Mara moja tu, basi ndo anahamishia majeshi jumla inakuwa frequently wiki haijaisha ashakutandika mizinga hata minne
 
Back
Top Bottom