Hammy Js
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 3,053
- 3,271
Wana trick nyingi sana,Mara nyingi huwa wanaona aibu kuomba directly utasikia " Dah,yan hapa njaa inauma hatar,mama hayupo na hajaniachia hela ya chakula" [emoji1] [emoji1] [emoji1]Juzi friday nilikuwa na chart na msichana mmoja kujuana hali tu ilikuwa majira ya mchana,mazungumzo yakaisha naamka jumamosi asubuhi nakuta msg anajilaumu jana yake usiku kapoteza elfu 20,nikamjibu pole sana,akarudia kunitumia msg tena,nikamjibu pole sana,baada ya hapo kapiga kimya kabisa,sasa sijui alitegemea ningemchangia,wanawake wasikuihizi wanatanguliza sana njaa,ujaona hata crack inapoanzia unabebeshwa majukumu kama wewe ndiyo umemleta mjini,bora nibaki na mwezangau!!!