Ndio, wewe ni ombaomba

Ndio, wewe ni ombaomba

Wewe njaa [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ,mm kila nikimpigia simu anasema amefulia.
Kaka acha. Mwanamke hakupigii , ukimpigia anasema hana vocha,anasema ana njaa. Mm kuna kipindi niligive up kabisa.. napatagwa na hasira maana inakera, yaan mtu hajiongezi daily ni wimbo huo huo
 
Kaka acha. Mwanamke hakupigii , ukimpigia anasema hana vocha,anasema ana njaa. Mm kuna kipindi niligive up kabisa.. napatagwa na hasira maana inakera, yaan mtu hajiongezi daily ni wimbo huo huo
Nashukuru Mungu tushapigana chini, kila mtu anafanya mambo take....
 
Slave

Sisi Wazee haya mambo hatuyawezi..... Majukumu tulionayo yanatutosha..
 
Back
Top Bottom