Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 77,972
- 165,420
Baada ya mazoea ya wiki kadhaa tu nikamsikia akiniambia "Babe sina salio, naomba nitumie Tsh 25000 nijiunge na kifurushi cha mwezi". Nikamwambia poa.
Siku chache baadae nikamsikia, "Nimepanga kwenda saloon kwa chichi nikasuke, naomba Tshs 60,000 nikanunue nywele.
Nikamwambia cool "Anything for you my dear.
Baadae kidogo kama wiki hivi nikamsikia "Babe nataka weekend ijayo twende tukale pizza, lakini nakuomba nitumie Tshs 35,000 naenda na marafiki zangu Dinner.
Nikasema poa, Hata hivyo nimepanga kukutumia kamzigo ka zawadi nzuri, nitazituma hizo fedha na huo mzigo."
Nikamtumia, alivyopata tu akanitext na kuniuliza; "Mzigo gani huu umenitumia wa nguo zilizotumika, au sio wangu?"
MIMI: Ni mzigo wako, nimekutumia nguo na viatu vilivyotumika tulivikusanya kwa ajili ya kuwapa omba omba.
YEYE: Kwanini umenitumia mimi? Kwahiyo mimi ni omba omba
MIMI: Wewe ni ombaomba my dear. Omba omba pekee ndio hua wanaomba pesa wanapokutana na mtu kwa mara ya kwanza !!!
Hatufanyi ujinga, tuta-win vipi economic freedom katika uchumi huu mgumu kwa aina hii ya wanawake? hana ushauri, hakutii moyo kutafuta, anawaza kukugeuza kuwa sponsor wake tu...No way!
My brothers we never taught how to be diplomatic when it comes to our hard earning money
Siku chache baadae nikamsikia, "Nimepanga kwenda saloon kwa chichi nikasuke, naomba Tshs 60,000 nikanunue nywele.
Nikamwambia cool "Anything for you my dear.
Baadae kidogo kama wiki hivi nikamsikia "Babe nataka weekend ijayo twende tukale pizza, lakini nakuomba nitumie Tshs 35,000 naenda na marafiki zangu Dinner.
Nikasema poa, Hata hivyo nimepanga kukutumia kamzigo ka zawadi nzuri, nitazituma hizo fedha na huo mzigo."
Nikamtumia, alivyopata tu akanitext na kuniuliza; "Mzigo gani huu umenitumia wa nguo zilizotumika, au sio wangu?"
MIMI: Ni mzigo wako, nimekutumia nguo na viatu vilivyotumika tulivikusanya kwa ajili ya kuwapa omba omba.
YEYE: Kwanini umenitumia mimi? Kwahiyo mimi ni omba omba
MIMI: Wewe ni ombaomba my dear. Omba omba pekee ndio hua wanaomba pesa wanapokutana na mtu kwa mara ya kwanza !!!
Hatufanyi ujinga, tuta-win vipi economic freedom katika uchumi huu mgumu kwa aina hii ya wanawake? hana ushauri, hakutii moyo kutafuta, anawaza kukugeuza kuwa sponsor wake tu...No way!
My brothers we never taught how to be diplomatic when it comes to our hard earning money