GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,676
- 17,998
Pole aisee,Ndo maana siombagi hela ya mwanaume, aki hata kama una shida wanawaza kuchunwa tuu..
Pole aisee,Ndo maana siombagi hela ya mwanaume, aki hata kama una shida wanawaza kuchunwa tuu..
Hii ni kweli.ha Ha Ha Ha hata Mie Siku Hizi Kumpa Hela Mwanamke Huwa Najickia Vibaya Sana Kutokana Na Kwamba Huwa Hawana Fadhila Hata Uwape Bahari Bado Atakuona Mwehu
mkuu Hawa Viumbe We Acha Tu Katika 100% mwanamke mpe 2% tu pindi unapokuwa nayeHii ni kweli.
Kuna wengine hata shukrani hakuna, kama alikuazima vile.
that's why you are my heroSiombagi pesa kutoka kwa mwanaume, kama nimemzoea nitamueleza issues ninazopitia katika maisha. Anaweza kunipa ushauri hilo si haba wengine wanatoa pesa hili pia si dogo.
Huwezi kujua kama bahari imejaa kada au samaki ni lazima uvue mara nyingi ndipo uje Na conclusion kuwa sehemu hii ya bahari Haina samaki Ina kasaUlipo feri mkuu ni kumtumia hata pesa za mwanzo kama yeye ni omba-omba then wewe ni danga.
Juzi nilimpa mwanamke elfu kumi, iliniuma sana, sikupata hata usingizi!
[Samahani lakini!!!Hii ina ukweli etiii wanaume? ATTACH=full]719816[/ATTACH]♀️♀️♀️[emoji144]♀️
Juzi nilimpa mwanamke elfu kumi, iliniuma sana, sikupata hata usingizi!
Na wewe unadanga?Madanga bhana!
Tia neno basi...Aiseee
Jamaa acha zako.... elfu 10 tu...Juzi nilimpa mwanamke elfu kumi, iliniuma sana, sikupata hata usingizi!
Unamaanisha sisi FEST YIIA huna mpango nasi?Yapo mengi zaidi ya hela!! Kwanza nkishajua umri tuu nakupotezea!!
Hii interview ni F2F ama telephone interview?Hahaha
Hivi unajua hata maongezi tuu unaweza mwelewa mtu yukoje?!
Wewe mwenyewe uamue unadeal na watu wa aina gani!! Ben ten, umri wa kati au wazee!! Uelewa wao kupitia mazungumzo, busara na umakini wa kujibu maswali!
Well saidHuwezi kujua kama bahari imejaa kada au samaki ni lazima uvue mara nyingi ndipo uje Na conclusion kuwa sehemu hii ya bahari Haina samaki Ina kasa
Akipatikana wa kumdanga sijivungi, atadangwa!Na wewe unadanga?