Ndio, wewe ni ombaomba

Ndio, wewe ni ombaomba

Yepi hayo mengine.niambie ili nifuatilie niache kutoa invoice
Hahaha
Hivi unajua hata maongezi tuu unaweza mwelewa mtu yukoje?!
Wewe mwenyewe uamue unadeal na watu wa aina gani!! Ben ten, umri wa kati au wazee!! Uelewa wao kupitia mazungumzo, busara na umakini wa kujibu maswali!
 
Baada ya mazoea ya wiki kadhaa tu nikamsikia akiniambia "Babe sina salio, naomba nitumie Tsh 25000 nijiunge na kifurushi cha mwezi". Nikamwambia poa.

Siku chache baadae nikamsikia, "Nimepanga kwenda saloon kwa chichi nikasuke, naomba Tshs 60,000 nikanunue nywele.

Nikamwambia cool "Anything for you my dear.

Baadae kidogo kama wiki hivi nikamsikia "Babe nataka weekend ijayo twende tukale pizza, lakini nakuomba nitumie Tshs 35,000 naenda na marafiki zangu Dinner.

Nikasema poa, Hata hivyo nimepanga kukutumia kamzigo ka zawadi nzuri, nitazituma hizo fedha na huo mzigo."

Nikamtumia, alivyopata tu akanitext na kuniuliza; "Mzigo gani huu umenitumia wa nguo zilizotumika, au sio wangu?"

MIMI: Ni mzigo wako, nimekutumia nguo na viatu vilivyotumika tulivikusanya kwa ajili ya kuwapa omba omba.

YEYE: Kwanini umenitumia mimi? Kwahiyo mimi ni omba omba

MIMI: Wewe ni ombaomba my dear. Omba omba pekee ndio hua wanaomba pesa wanapokutana na mtu kwa mara ya kwanza !!!

Hatufanyi ujinga, tuta-win vipi economic freedom katika uchumi huu mgumu kwa aina hii ya wanawake? hana ushauri, hakutii moyo kutafuta, anawaza kukugeuza kuwa sponsor wake tu...No way!

My brothers we never taught how to be diplomatic when it comes to our hard earning money
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Hahaha
Hivi unajua hata maongezi tuu unaweza mwelewa mtu yukoje?!
Wewe mwenyewe uamue unadeal na watu wa aina gani!! Ben ten, umri wa kati au wazee!! Uelewa wao kupitia mazungumzo, busara na umakini wa kujibu maswali!
Watu wengine wana vipaji vya uongo bna.
Bill ndo kipimo cha kiume bna
Walipe bill
 
Ndugu yangu nakuopongeza sana.yaani ungekua karibu ningekununulia angalau kill barid.yaani hawa wanawake wa siku hizi sijui wakoje,unaweza ukawa na lengo na mtu,kumbe ombaomba.basi kwa mara ya kwanza unaweza ukasema ngoja nimpe,kumbe akilini kwake anasema nimepata atm.shenzi kabisa,ila hongera tena ndugu
 
Juzi nilimpa mwanamke elfu kumi, iliniuma sana, sikupata hata usingizi!
Hapo na wewe unakosea bro,ten sio ishu sana.mbaya ni ile anakuombaomba mara kwa mara kama unaziokota vile.[emoji23][emoji23]
 
omba Omba Mpo ? Kilema Aombe Nawewe Mzima Uombe ? Mie Ndo Maana Siwataki Wanawawake Waliosoma Sana Wengi Wao Wanawaza Kutumia Tu Na Maisha Ya Anasa
We ndio hujui kaka,ogopa sana videmu vya uswazi,wanaomba hao! Unakuta demu hafanyi kazi kazi ni kuomba buku 2 buku3. Ikifika jioni kajaa
 
Ulipo feri mkuu ni kumtumia hata pesa za mwanzo kama yeye ni omba-omba then wewe ni danga.
 
Baada ya mazoea ya wiki kadhaa tu nikamsikia akiniambia "Babe sina salio, naomba nitumie Tsh 25000 nijiunge na kifurushi cha mwezi". Nikamwambia poa.

Siku chache baadae nikamsikia, "Nimepanga kwenda saloon kwa chichi nikasuke, naomba Tshs 60,000 nikanunue nywele.

Nikamwambia cool "Anything for you my dear.

Baadae kidogo kama wiki hivi nikamsikia "Babe nataka weekend ijayo twende tukale pizza, lakini nakuomba nitumie Tshs 35,000 naenda na marafiki zangu Dinner.

Nikasema poa, Hata hivyo nimepanga kukutumia kamzigo ka zawadi nzuri, nitazituma hizo fedha na huo mzigo."

Nikamtumia, alivyopata tu akanitext na kuniuliza; "Mzigo gani huu umenitumia wa nguo zilizotumika, au sio wangu?"

MIMI: Ni mzigo wako, nimekutumia nguo na viatu vilivyotumika tulivikusanya kwa ajili ya kuwapa omba omba.

YEYE: Kwanini umenitumia mimi? Kwahiyo mimi ni omba omba

MIMI: Wewe ni ombaomba my dear. Omba omba pekee ndio hua wanaomba pesa wanapokutana na mtu kwa mara ya kwanza !!!

Hatufanyi ujinga, tuta-win vipi economic freedom katika uchumi huu mgumu kwa aina hii ya wanawake? hana ushauri, hakutii moyo kutafuta, anawaza kukugeuza kuwa sponsor wake tu...No way!

My brothers we never taught how to be diplomatic when it comes to our hard earning money
Duh kwahiyo hapo ishakutoka kama laki moja hivi fasta fasta !!! Duh watu na mipesa yao,mi sitoagi pesa hovyo hovyo namna hii bora nimtumie hata bimdashi sio kumtumia dem ambaye sina malengo nae badae
 
[Samahani lakini!!!Hii ina ukweli etiii wanaume? ATTACH=full]719816[/ATTACH]♀️‍♀️‍♀️[emoji144]‍♀️
 

Attachments

  • 249bc84a-7303-4952-8cc9-27b58220f61f.jpg
    249bc84a-7303-4952-8cc9-27b58220f61f.jpg
    49.7 KB · Views: 55
Back
Top Bottom