Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,862
Yepi hayo mengine.niambie ili nifuatilie niache kutoa invoiceYapo mengi zaidi ya hela!! Kwanza nkishajua umri tuu nakupotezea!!
Yepi hayo mengine.niambie ili nifuatilie niache kutoa invoiceYapo mengi zaidi ya hela!! Kwanza nkishajua umri tuu nakupotezea!!
Basi babuu hesabu sadaka tuu,.Sio hivyo mkuu! Yaani kuna wakati natamani niwapigie Mpesa niwaambie nilikosea namba ili wanirudishie elfu 10 yangu!
Hel a zenyewe elf 20 tu siombi nyingiMimi ukiomba hela Mara mbili umefeli interview!
Hii inaitwa mbwa kala mbwa!
HahahaYepi hayo mengine.niambie ili nifuatilie niache kutoa invoice
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Baada ya mazoea ya wiki kadhaa tu nikamsikia akiniambia "Babe sina salio, naomba nitumie Tsh 25000 nijiunge na kifurushi cha mwezi". Nikamwambia poa.
Siku chache baadae nikamsikia, "Nimepanga kwenda saloon kwa chichi nikasuke, naomba Tshs 60,000 nikanunue nywele.
Nikamwambia cool "Anything for you my dear.
Baadae kidogo kama wiki hivi nikamsikia "Babe nataka weekend ijayo twende tukale pizza, lakini nakuomba nitumie Tshs 35,000 naenda na marafiki zangu Dinner.
Nikasema poa, Hata hivyo nimepanga kukutumia kamzigo ka zawadi nzuri, nitazituma hizo fedha na huo mzigo."
Nikamtumia, alivyopata tu akanitext na kuniuliza; "Mzigo gani huu umenitumia wa nguo zilizotumika, au sio wangu?"
MIMI: Ni mzigo wako, nimekutumia nguo na viatu vilivyotumika tulivikusanya kwa ajili ya kuwapa omba omba.
YEYE: Kwanini umenitumia mimi? Kwahiyo mimi ni omba omba
MIMI: Wewe ni ombaomba my dear. Omba omba pekee ndio hua wanaomba pesa wanapokutana na mtu kwa mara ya kwanza !!!
Hatufanyi ujinga, tuta-win vipi economic freedom katika uchumi huu mgumu kwa aina hii ya wanawake? hana ushauri, hakutii moyo kutafuta, anawaza kukugeuza kuwa sponsor wake tu...No way!
My brothers we never taught how to be diplomatic when it comes to our hard earning money
Sio kweliBujibuji katika ubora wako, hahahahaaaa
sasa mkuu wewe hizo za mwanzo ulikuwa unatuma za nini?
anyways, kwa kila mwanaume mwenye mafanikio kuna mwanamke nyuma yake!!!!
Watu wengine wana vipaji vya uongo bna.Hahaha
Hivi unajua hata maongezi tuu unaweza mwelewa mtu yukoje?!
Wewe mwenyewe uamue unadeal na watu wa aina gani!! Ben ten, umri wa kati au wazee!! Uelewa wao kupitia mazungumzo, busara na umakini wa kujibu maswali!
Ninatoa hela kirahisi bila kuombwa kuliko ninapoombwa!Hel a zenyewe elf 20 tu siombi nyingi
Mnasemaga tu hvoNinatoa hela kirahisi bila kuombwa kuliko ninapoombwa!
Hapo na wewe unakosea bro,ten sio ishu sana.mbaya ni ile anakuombaomba mara kwa mara kama unaziokota vile.[emoji23][emoji23]Juzi nilimpa mwanamke elfu kumi, iliniuma sana, sikupata hata usingizi!
We ndio hujui kaka,ogopa sana videmu vya uswazi,wanaomba hao! Unakuta demu hafanyi kazi kazi ni kuomba buku 2 buku3. Ikifika jioni kajaaomba Omba Mpo ? Kilema Aombe Nawewe Mzima Uombe ? Mie Ndo Maana Siwataki Wanawawake Waliosoma Sana Wengi Wao Wanawaza Kutumia Tu Na Maisha Ya Anasa
[emoji23][emoji23][emoji106]Mimi ukiomba hela Mara mbili umefeli interview!
Hii inaitwa mbwa kala mbwa!
20,000 kwa watu 10 inapendezaHel a zenyewe elf 20 tu siombi nyingi
Duh kwahiyo hapo ishakutoka kama laki moja hivi fasta fasta !!! Duh watu na mipesa yao,mi sitoagi pesa hovyo hovyo namna hii bora nimtumie hata bimdashi sio kumtumia dem ambaye sina malengo nae badaeBaada ya mazoea ya wiki kadhaa tu nikamsikia akiniambia "Babe sina salio, naomba nitumie Tsh 25000 nijiunge na kifurushi cha mwezi". Nikamwambia poa.
Siku chache baadae nikamsikia, "Nimepanga kwenda saloon kwa chichi nikasuke, naomba Tshs 60,000 nikanunue nywele.
Nikamwambia cool "Anything for you my dear.
Baadae kidogo kama wiki hivi nikamsikia "Babe nataka weekend ijayo twende tukale pizza, lakini nakuomba nitumie Tshs 35,000 naenda na marafiki zangu Dinner.
Nikasema poa, Hata hivyo nimepanga kukutumia kamzigo ka zawadi nzuri, nitazituma hizo fedha na huo mzigo."
Nikamtumia, alivyopata tu akanitext na kuniuliza; "Mzigo gani huu umenitumia wa nguo zilizotumika, au sio wangu?"
MIMI: Ni mzigo wako, nimekutumia nguo na viatu vilivyotumika tulivikusanya kwa ajili ya kuwapa omba omba.
YEYE: Kwanini umenitumia mimi? Kwahiyo mimi ni omba omba
MIMI: Wewe ni ombaomba my dear. Omba omba pekee ndio hua wanaomba pesa wanapokutana na mtu kwa mara ya kwanza !!!
Hatufanyi ujinga, tuta-win vipi economic freedom katika uchumi huu mgumu kwa aina hii ya wanawake? hana ushauri, hakutii moyo kutafuta, anawaza kukugeuza kuwa sponsor wake tu...No way!
My brothers we never taught how to be diplomatic when it comes to our hard earning money