Hahaaaa. Si ndio raha ya kuchonga mzinga sasa..Tatizo ukimpa Mara moja tu, basi ndo anahamishia majeshi jumla inakuwa frequently wiki haijaisha ashakutandika mizinga hata minne
Kiukwel nawashaur watafute hata pa kujishikiza sehem ambayo watakuwa wanapata pata pesa ili wasiwe totally dependant kwa waume zao mana ni kero. Kuna simu zingine zikiita tu mtu unajua kabisa kinachotaka kuongelewa hapo ni mzinga kabla hata hujapokeaHahaaaa. Si ndio raha ya kuchonga mzinga sasa..
Hivyo wewe kama wewe unatushaurije Wanawake hasa wale mnaowaita Ombaomba wafanye nini ili wasiwe hivyo msivyotaka?
Hahahaaaa. Haya bana Mkuu.Kiukwel nawashaur watafute hata pa kujishikiza sehem ambayo watakuwa wanapata pata pesa ili wasiwe totally dependant kwa waume zao mana ni kero. Kuna simu zingine zikiita tu mtu unajua kabisa kinachotaka kuongelewa hapo ni mzinga kabla hata hujapokea
Mmmmh mwanaume yupi Huyo anayeona kupigwa mizinga ni sawa[emoji1] [emoji1] ,wengine wanatoaga kishingo upande ila mi huwaga natoa jibu straightlyHahahaaaa. Haya bana Mkuu.
Nadhani na elimu inahitajika sana na sio upande wa wanawake tu na hata kwenu nyie wanaume. Sababu nyie kama nyie mnatofautiana mitazamo yenu yaani wapo ambao wanaona ni sawa na wengine wanaona sio sawa.
Hajar inaonekana ni mpigaji mizinga mashuhur et?Hahahaaaa. Haya bana Mkuu.
Nadhani na elimu inahitajika sana na sio upande wa wanawake tu na hata kwenu nyie wanaume. Sababu nyie kama nyie mnatofautiana mitazamo yenu yaani wapo ambao wanaona ni sawa na wengine wanaona sio sawa.
Hahahaaaa. Hivyo unataka kusema wote wanaoombwa na kutoa hakuna anayetoa kwa roho moja?Mmmmh mwanaume yupi Huyo anayeona kupigwa mizinga ni sawa[emoji1] [emoji1] ,wengine wanatoaga kishingo upande ila mi huwaga natoa jibu straightly
Kwa karne hii unaweza ukampata mmoja ktk watu 1000Hahahaaaa. Hivyo unataka kusema wote wanaoombwa na kutoa hakuna anayetoa kwa roho moja?
uongo!!Hahahaaaaaaaa. Lol
Hahahaaa. Kweli hali ni mbaya.Kwa karne hii unaweza ukampata mmoja ktk watu 1000
Acha kabisa,mi hali ikiendelea kuwa tete narud zangu kijijini kulimaHahahaaa. Kweli hali ni mbaya.
Hahahaa. Ndio. [emoji85] [emoji85]uongo!!
Hahahaa. Haitasaidia aiseee. Zidi kupambana tu bana.Acha kabisa,mi hali ikiendelea kuwa tete narud zangu kijijini kulima
Madanga ya JF hayana hela.Atakuja kukupost JF
Mpambano ni mkali na unazid kuwa kuwa mgumu as days go onHahahaa. Haitasaidia aiseee. Zidi kupambana tu bana.
Hahaaaa. Hakuna jinsi.Mpambano ni mkali na unazid kuwa kuwa mgumu as days go on