Ndio, wewe ni ombaomba

Ndio, wewe ni ombaomba

Hahahaa. Ndio. [emoji85] [emoji85]

Ila haka katabia nyie wenyewe ndio mlikapa mizizi sababu si ndio ilikuwa mkiombwa lazima mtoe na lait mngekuwa mnawanyima wala hiki kilio kisingekuwepo.

Yaani wangeshajizowelea maisha ya kujitegemea pasi kutegemea mtu.
usijiweke pembeni bibie.......vaa tuu uhalisia....tazizo huwa mnaanza mapema sana.....halafu ukinyimwa eti unakauka.....mnawafukuza hata wenye nia dhabiti....muwe na huruma jamani .... kweli mnapaswa kuhongwa lakini isiwe ndo kigezo cha kupima utu wangu.....pesa ngumu mjue....!!
 
usijiweke pembeni bibie.......vaa tuu uhalisia....tazizo huwa mnaanza mapema sana.....halafu ukinyimwa eti unakauka.....mnawafukuza hata wenye nia dhabiti....muwe na huruma jamani .... kweli mnapaswa kuhongwa lakini isiwe ndo kigezo cha kupima utu wangu.....pesa ngumu mjue....!!
Nivae uhalisia tena duuh. Sijawahi kuwa na tabia hiyo mie na sidhani kwa umri nilio nao kama inaweza tokea ikawa tabia yangu hiyo.

Hahahaaa. Sasa ukiona amekukaukia si unatafuta mwingine au haiwezekani?
 
Nivae uhalisia tena duuh. Sijawahi kuwa na tabia hiyo mie na sidhani kwa umri nilio nao kama inaweza tokea ikawa tabia yangu hiyo.

Hahahaaa. Sasa ukiona amekukaukia si unatafuta mwingine au haiwezekani?
kutafuta kwingi nako shidaaa.....
 
Nivae uhalisia tena duuh. Sijawahi kuwa na tabia hiyo mie na sidhani kwa umri nilio nao kama inaweza tokea ikawa tabia yangu hiyo.

Hahahaaa. Sasa ukiona amekukaukia si unatafuta mwingine au haiwezekani?
[emoji122] [emoji122] [emoji122] vzr,hawa wapiga mizinga wanaturudisha nyuma kimaendeleo
 
Nivae uhalisia tena duuh. Sijawahi kuwa na tabia hiyo mie na sidhani kwa umri nilio nao kama inaweza tokea ikawa tabia yangu hiyo.

Hahahaaa. Sasa ukiona amekukaukia si unatafuta mwingine au haiwezekani?
Juzi friday nilikuwa na chart na msichana mmoja kujuana hali tu ilikuwa majira ya mchana,mazungumzo yakaisha naamka jumamosi asubuhi nakuta msg anajilaumu jana yake usiku kapoteza elfu 20,nikamjibu pole sana,akarudia kunitumia msg tena,nikamjibu pole sana,baada ya hapo kapiga kimya kabisa,sasa sijui alitegemea ningemchangia,wanawake wasikuihizi wanatanguliza sana njaa,ujaona hata crack inapoanzia unabebeshwa majukumu kama wewe ndiyo umemleta mjini,bora nibaki na mwezangau!!!
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] vzr,hawa wapiga mizinga wanaturudisha nyuma kimaendeleo
Ahsante sana. Nadhani kwa kuwa najua kuitafuta ndio sababu nakuwa na huruma sana aisee.

Na kiuhalisia wanaume huwa mnapata shida sana kuisaka hiyo pesa na ukimuona mtu ana pesa jua kaitolea jasho kweli kweli.
 
Ahsante sana. Nadhani kwa kuwa najua kuitafuta ndio sababu nakuwa na huruma sana aisee.

Na kiuhalisia wanaume huwa mnapata shida sana kuisaka hiyo pesa na ukimuona mtu ana pesa jua kaitolea jasho kweli kweli.
Mwanamke wa nguvu[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Juzi friday nilikuwa na chart na msichana mmoja kujuana hali tu ilikuwa majira ya mchana,mazungumzo yakaisha naamka jumamosi asubuhi nakuta msg anajilaumu jana yake usiku kapoteza elfu 20,nikamjibu pole sana,akarudia kunitumia msg tena,nikamjibu pole sana,baada ya hapo kapiga kimya kabisa,sasa sijui alitegemea ningemchangia,wanawake wasikuihizi wanatanguliza sana njaa,ujaona hata crack inapoanzia unabebeshwa majukumu kama wewe ndiyo umemleta mjini,bora nibaki na mwezangau!!!
Hahahaaaa. Hapo alikuwa anataka ujiongeze. Lol.

Yaani kumekuwa na njia nyingi sana aiseee. Pia najiwazia huenda ikawa mtu mwenye tabia hiyo huwa anategemea visingizio kwamba vinaweza mkapata huruma ya kutoa.

Ila we mbaya sana. Yaani msg mara mbili mbili unaishia kutoa pole. Hahahaaaa.
 
Ukichati na mwanamke halafu ukaona amekutumia text "Nikwambie kitu" basi jua wazi hicho kitu ni mzinga so mpotezee au badilisha mada jifanye kama hujaiona hyo txt[emoji1] [emoji1] [emoji41]
 
Ukichati na mwanamke halafu ukaona amekutumia text "Nikwambie kitu" basi jua wazi hicho kitu ni mzinga so mpotezee au badilisha mada jifanye kama hujaiona hyo txt[emoji1] [emoji1] [emoji41]
 
Back
Top Bottom