Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,514
Miaka ya nyuma tumesaidia nchi nyingi sana katika harakati za Ukombozi. Kupinga Ubaguzi,Ukandamizaji ba Uonevu.
Nchi nyingi. Tuna maeneo na mitaa mingi kwa Majina ya Wanaharakati na wakombozi wa Africa. Mitaa kama Nkrumah n.k na hata Shuleni nakumbuka kulikuwa na Mabweni kama Nkrumah, Samora, Mandela n.k
Leo hii nchi nyingi zinatudharau kwa kiburi tu. Rais wetu si wa wa kupokelewa na watu wa namna hii. Kuna shida gani? Kwani hakutoa taarifa? Hivi angekuwa ameenda Biden Ghana wangempokea hivi?
Jamaa amevaa vitu vya ajabu kabisa ameenda mpoke Rais wetu. Ba watu wa kuhesabu ambao unawatizama tu unaona huyu dada mmoja ni Afsa Ustawi wa Jamii, yule kule ni Nurse au Mkunga ambaye siku hiyo inaonekana alikuwa zamu.
Huyo jamaa mwenye suruali ya blue Injia alikuwa site na safety booty akaomba koti kwa mchina mmoja akaja mpokea Rais. Halafu yule dada anayeongea na Rais pale ni Bank Teller na amekuja na sandals zake sababu wakikaa pale kaunta huwa chini hatuwaoni ndo kaja hivyo hivyo.
Yaani unaona walio smart ni watu wetu walioongozana na Rais. Hili si jambo zuri kwa nchi zetu kufanyiana. Lazima wamheshimu Rais wetu. Swali je angekuwa anatoka USA au UK wangefanya hivi?
Nchi nyingi. Tuna maeneo na mitaa mingi kwa Majina ya Wanaharakati na wakombozi wa Africa. Mitaa kama Nkrumah n.k na hata Shuleni nakumbuka kulikuwa na Mabweni kama Nkrumah, Samora, Mandela n.k
Leo hii nchi nyingi zinatudharau kwa kiburi tu. Rais wetu si wa wa kupokelewa na watu wa namna hii. Kuna shida gani? Kwani hakutoa taarifa? Hivi angekuwa ameenda Biden Ghana wangempokea hivi?
Jamaa amevaa vitu vya ajabu kabisa ameenda mpoke Rais wetu. Ba watu wa kuhesabu ambao unawatizama tu unaona huyu dada mmoja ni Afsa Ustawi wa Jamii, yule kule ni Nurse au Mkunga ambaye siku hiyo inaonekana alikuwa zamu.
Huyo jamaa mwenye suruali ya blue Injia alikuwa site na safety booty akaomba koti kwa mchina mmoja akaja mpokea Rais. Halafu yule dada anayeongea na Rais pale ni Bank Teller na amekuja na sandals zake sababu wakikaa pale kaunta huwa chini hatuwaoni ndo kaja hivyo hivyo.
Yaani unaona walio smart ni watu wetu walioongozana na Rais. Hili si jambo zuri kwa nchi zetu kufanyiana. Lazima wamheshimu Rais wetu. Swali je angekuwa anatoka USA au UK wangefanya hivi?