Kwa hili la red sea nchi zote za afrika tunatakiwa kuungana na uk,usa,kuichakaza Yemen. Afrika ndio muathirika mkuu wa ushenzi huu!

Mganguzi

JF-Expert Member
Aug 3, 2022
1,032
2,769
Naipongeza sana uk,na usa ,kwa uamuzi sahihi wa kuidhibu Yemen kwa sababu ya upuuzi wanaoufanya red sea ! Yemen inaweza kuwa imejificha nyuma ya hili kundi la houth! Yemen ndio imetoa baraka zote kwa hili kundi la kigaidi kuzuia misafara ya meli zenye bidhaa mbalimbali kutoka ulaya kuja afrika na kutoka afrika kwenda ulaya! Hawa Yemen walichokusudia ni kuisababishia hasara kubwa afrika hasa kwa wafanyabiashara wanaoagiza bidhaa zao nje ya nchi ,bidhaa nyingi sana zitapanda Bei na uchumi wa nchi zetu unaweza kutetereka ,na hofu kubwa kwa wafanyabiashara kupoteza shehena zao pamoja na wamiliki wa meli zenyewe ! Afrika ni wakati sasa kuungana na uk,usa,kuichakaza Yemen ..kwa sababu Yemen imepakana na baadhi ya nchi za kiafrika ,majeshi yetu yaingie kupitia milango hiyo ndani ya dakika 30 ,Yemen haitakuwepo katika ramani ya dunia ,over!
 
Unavyosema afrika ndio mwathirika mkuu wa fujo za Houth pale Yemen una maana Afrika ipi boss...au unazungumzia somalia, kenya ,Tanzania na msumbiji Kidogo labda na malawi?(nchi kama 5-10) kati ya nchi 54 za Africa?

Maana asilimia kubwa ya sea route za meli kutoka ulaya hupitia route ya atlantic..ambayo coastline yake ndio inayo cover nchi nyingi zaidi. Na hazija athirika kwa namna yoyote na mgogoro usio wahusu.

Hata kwa nchi za east africa, bado hazijapata athari yoyote kwa vile Houth hawa attack meli zisizo na uhusiano na Israel.

Pia utuambie, bidhaa zetu tunazipata toka wapi? Maana kwa kiwango kikubwa nchi yetu ina trade na Asian countries hasa China, India, indonesia thailand, na UAE etc. ..ambayo route za meli toka nchi hizo zote hazipiti Red sea.

Please justify kwanini tuingilie ugomvi usio tuhusu.
 
Hata kwa nchi za east africa, bado hazijapata athari yoyote kwa vile Houth hawa attack meli zisizo na uhusiano na Israel.
Unasema East Africa haiathiriki na Haothi... Nani kakuambia East Africa ina Meli zake za Usafirishaji ambazo haziwezi kushambuliwa... Meli zetu nyingi zinazoleta bidhaa East Africa zinazotoka Ulaya ni zile zinazopita Bahari ya Sham. Meli zinazotoka Ulaya kuja East Africa zote upita Bahari ya Sham, na Nchi za Houthi imekuwa ikishambulia Meli za uingereza ambazo usafiri bidhaa zake kuja East Africa na maeneo mengi ya Asia. Meli nyingi zinasafirisha bidhaa kuja ukanda huu ni za kutoka Ulaya, China, India, Singapore, Japan, Middle East na Sehemu nyingine za Dunia. Ambazo nyingi ni nchi marafiki wa Uingereza na Marekani. Na makampuni hayo yanayosafirisha bidhaa huku ni Maersk, Evergreen, MSC, na CMA CGM.

Nchi nyingi za Ulaya utegemea Bahari ya Sham kusafirisha bidhaa kwenda masoko ya Asia. Kijeografia hawawezi kuzunguka kutoka Ulaya kupitia bahari ya Atlantic kwenda Asia kwa sababu Bahari ya Atlantic ni ndefu kuizunguka... Hivyo Meli nyingi za Ulaya zinazoenda Asia zinapita bahari ya Mediterranean kisha zinaingia Bahari ya Sham na kisha kwenda Asia.

Wewe ukiona Muingereza kaingia ujue kuna biashara yake imekwamishwa. Uingereza na Marekani meli zake zimepigwa sana mabomu ukanda huo. Na hizo meli nyingi zao ndio uleta bidhaa huku East Africa
 
Unasema East Africa haiathiriki na Haothi... Nani kakuambia East Africa ina Meli zake za Usafirishaji ambazo haziwezi kushambuliwa... Meli zetu nyingi zinazoleta bidhaa East Africa zinazotoka Ulaya ni zile zinazopita Bahari ya Sham. Meli zinazotoka Ulaya kuja East Africa zote upita Bahari ya Sham, na Nchi za Houthi imekuwa ikishambulia Meli za uingereza ambazo usafiri bidhaa zake kuja East Africa na maeneo mengi ya Asia. Meli nyingi zinasafirisha bidhaa kuja ukanda huu ni za kutoka Ulaya, China, India, Singapore, Japan, Middle East na Sehemu nyingine za Dunia. Ambazo nyingi ni nchi marafiki wa Uingereza na Marekani. Na makampuni hayo yanayosafirisha bidhaa huku ni Maersk, Evergreen, MSC, na CMA CGM.

Nchi nyingi za Ulaya utegemea Bahari ya Sham kusafirisha bidhaa kwenda masoko ya Asia. Kijeografia hawawezi kuzunguka kutoka Ulaya kupitia bahari ya Atlantic kwenda Asia kwa sababu Bahari ya Atlantic ni ndefu kuizunguka... Hivyo Meli nyingi za Ulaya zinazoenda Asia zinapita bahari ya Mediterranean kisha zinaingia Bahari ya Sham na kisha kwenda Asia.

Wewe ukiona Muingereza kaingia ujue kuna biashara yake imekwamishwa. Uingereza na Marekani meli zake zimepigwa sana mabomu ukanda huo. Na hizo meli nyingi zao ndio uleta bidhaa huku East Africa
Mkuu umeisoma vizuri hoja yangu na kuielewa?
 
Naipongeza sana uk,na usa ,kwa uamuzi sahihi wa kuidhibu Yemen kwa sababu ya upuuzi wanaoufanya red sea ! Yemen inaweza kuwa imejificha nyuma ya hili kundi la houth! Yemen ndio imetoa baraka zote kwa hili kundi la kigaidi kuzuia misafara ya meli zenye bidhaa mbalimbali kutoka ulaya kuja afrika na kutoka afrika kwenda ulaya! Hawa Yemen walichokusudia ni kuisababishia hasara kubwa afrika hasa kwa wafanyabiashara wanaoagiza bidhaa zao nje ya nchi ,bidhaa nyingi sana zitapanda Bei na uchumi wa nchi zetu unaweza kutetereka ,na hofu kubwa kwa wafanyabiashara kupoteza shehena zao pamoja na wamiliki wa meli zenyewe ! Afrika ni wakati sasa kuungana na uk,usa,kuichakaza Yemen ..kwa sababu Yemen imepakana na baadhi ya nchi za kiafrika ,majeshi yetu yaingie kupitia milango hiyo ndani ya dakika 30 ,Yemen haitakuwepo katika ramani ya dunia ,over!
Shule zimeshafunguliwa wewe bado unashinda JF.
 
Bidhaa lazima itapanda Bei maana gharama ya usafirishaji itapanda na bima ya usafirishaji nayo itapanda athari itakuwa kubwa kwenye uchumi wa nchi zinazotegemea bidhaa zao kupita Suez canal
 
Unavyosema afrika ndio mwathirika mkuu wa fujo za Houth pale Yemen una maana Afrika ipi boss...au unazungumzia somalia, kenya ,Tanzania na msumbiji Kidogo labda na malawi?(nchi kama 5-10) kati ya nchi 54 za Africa?

Maana asilimia kubwa ya sea route za meli kutoka ulaya hupitia route ya atlantic..ambayo coastline yake ndio inayo cover nchi nyingi zaidi. Na hazija athirika kwa namna yoyote na mgogoro usio wahusu.

Hata kwa nchi za east africa, bado hazijapata athari yoyote kwa vile Houth hawa attack meli zisizo na uhusiano na Israel.

Pia utuambie, bidhaa zetu tunazipata toka wapi? Maana kwa kiwango kikubwa nchi yetu ina trade na Asian countries hasa China, India, indonesia thailand, na UAE etc. ..ambayo route za meli toka nchi hizo zote hazipiti Red sea.

Please justify kwanini tuingilie ugomvi usio tuhusu.
Hilo ni bogus linalokurupukia vitu bila uelewa
 
Naipongeza sana uk,na usa ,kwa uamuzi sahihi wa kuidhibu Yemen kwa sababu ya upuuzi wanaoufanya red sea ! Yemen inaweza kuwa imejificha nyuma ya hili kundi la houth! Yemen ndio imetoa baraka zote kwa hili kundi la kigaidi kuzuia misafara ya meli zenye bidhaa mbalimbali kutoka ulaya kuja afrika na kutoka afrika kwenda ulaya! Hawa Yemen walichokusudia ni kuisababishia hasara kubwa afrika hasa kwa wafanyabiashara wanaoagiza bidhaa zao nje ya nchi ,bidhaa nyingi sana zitapanda Bei na uchumi wa nchi zetu unaweza kutetereka ,na hofu kubwa kwa wafanyabiashara kupoteza shehena zao pamoja na wamiliki wa meli zenyewe ! Afrika ni wakati sasa kuungana na uk,usa,kuichakaza Yemen ..kwa sababu Yemen imepakana na baadhi ya nchi za kiafrika ,majeshi yetu yaingie kupitia milango hiyo ndani ya dakika 30 ,Yemen haitakuwepo katika ramani ya dunia ,over!
Wewe chawa Yemen siyo Chadema, kaa kwa kutulia. Labda mtumeni yule Balozi wenu wa Cuba asiyejua diplosia akawafokee Wayemen. Otherwise you are horrible as your thread.
 
Hiyo ni main route ya trade kati ya Asia na Europe. Kwa siku moja hapo kwa wastan zinakatiza meli 240.

Kutokana na tishio la usalama kwa sasa 80% ya meli za EU zinazungukia SA, gharama ya mafuta imeongezeka, insurance imepanda, kuna delay ya mizigo na gharama halisi zinaenda kwa mlaji wa mwisho EU.

EU kama bara bado wanapambana na inflation kwenye chumi zao, halafu wewe tena unaenda kuwaongezea matatizo, lilikuwa ni swala la muda kabla awajapeleka kichapo Yemen.
 
Back
Top Bottom