Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Hatari sana, kiukweli rais anapewa safari nyingi sana.... Sana.... Anasafiri sana . Nchi si keshafungua? Si ukifungua inatakiwa watu waingie?
Sasa kufungua huku kumekuwa ni kwa kutoka. Tupo Ethiopia. Sometime yananijia mawazo ya Kizalendo, sometimes nasema nijilie vyangu nitulie. Msafara ni mkubwa. Tupo wengi ila kwa hii nchi acha kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Magufuli alitubana sana yule Mzee.
Nikirudi namalizia nyumba yangu ya.... Huko Mapinga. Hii ndo nawaza nikistaafu nikaishi huko mbali na makelele yenu na fujo. Nikiendesha miradi yangu Bubu ya Kizalendo.
Sasa kufungua huku kumekuwa ni kwa kutoka. Tupo Ethiopia. Sometime yananijia mawazo ya Kizalendo, sometimes nasema nijilie vyangu nitulie. Msafara ni mkubwa. Tupo wengi ila kwa hii nchi acha kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Magufuli alitubana sana yule Mzee.
Nikirudi namalizia nyumba yangu ya.... Huko Mapinga. Hii ndo nawaza nikistaafu nikaishi huko mbali na makelele yenu na fujo. Nikiendesha miradi yangu Bubu ya Kizalendo.