kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 4,764
- 6,862
Ukitaka kuinyoosha nchi unaweka ajira pembeni kwa mda.
Mungu fundiHata kama ni goli la mkono, Nia ni kuinyoosha nchi iliyokuwa imepindishwa na mafisadi.
Baba JescaRIP Mwamba🙏
Ndiyo Ukweli WenyeweUkitaka kuinyoosha nchi unaweka ajira pembeni kwa mda.
Hata wakikosea namna gani, lakini kuwstukana ama kuwadhalilisha maaskofu au masheikh ni kujipelekea moto mwenyewe.
Waache watahukumiwa na kuumbuliwa na Mungu.
we kweli uhoro, we unajua sheria? Nyau lisilo na hayaSikiliza, maaskofu waliupenda sana utawala wa JPM na ni chaguo la wengi. Waliokuwa wanamchafua ni hawa wanaodai pesa nyingi, na Musiba aliwapinga. Kosa la Musiba ni kupinga na sio kumchafua mtu. Hukumu ni ya kisiasa haiendani na taaluma ya kisheria.
sasa mbona amenyooshwa yeye. Hii nchi si ya mtu moja ongoza kwa nidhamu na kufuata sheria ulizozikuta. Zingatia mila na desturi ulizozikuta hakuna alichokinyoosha zaidi ya kugawa nchi na kufanya ufisadi mkubwaHata kama ni goli la mkono, Nia ni kuinyoosha nchi iliyokuwa imepindishwa na mafisadi.
Nakama kweli alikosea mbona waliofuwatia wasifunge uchumi kama wao wanaume kweli? Mambo mengine Mnamuonea zama huyu Mzee. Mtanikumbuka sio kwa mabaya ila kwa mema. RIP MagufuliLaiti ungejuwa usinge post huu ujinga wako hapa. Ungeweza fungia zaidi ya 50milion citizens kwa uchumi wako wakati leo tukawa hivi tulivyo? Mungu akusamehe bure.
Jiwe alikuambukiza ujinga. Bado onamsujudia. Nlkumbuka enzi zako ulikuwa mwamba hapa JF. Kamfuate umbusu bladifakenLaiti ungejuwa usinge post huu ujinga wako hapa. Ungeweza fungia zaidi ya 50milion citizens kwa uchumi wako wakati leo tukawa hivi tulivyo? Mungu akusamehe bure.
Umalaya amemdhuru nani? Huyu aliua watuHata Jesus alisema Malaya Magdalena asamehwe usisahau hilo! Kutoka Bible book!!
Ukisoma post yangu na kuoanisha na ulichoandika ni wazi tuna wazee wa hovyo sana na wahuni nchi hii🤣Hivi wewe kijana huna kosa kabisa hapa Duniani?
Kama huna basi una haki ya ku judge watu na nakutakia heri katika maisha!
Ana bilioni 9.9?kawa mpole kama pilitoni cku Hz. Simuoni akimuunga mkono mama na press zake zA kijinga.au haoni mama anachokifanya ampongeze?eti mzalendo.njaa bana.Acha kuweweseka mwambie musiba alipe pesa za membe mwehu wewe hukumu ya kisiasa ipo wapii pale
Hata wakikosea namna gani, lakini kuwstukana ama kuwadhalilisha maaskofu au masheikh ni kujipelekea moto mwenyewe.
Waache watahukumiwa na kuumbuliwa na Mungu.