Viongozi wa Dini wa Sadaka hawawezi kuliokoa Taifa

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Sep 20, 2021
3,214
3,587
Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Imeendelea kuthibitika kwamba viongozi wa dini hususan wa Kikristo wamejaa unafiki, tamaa ya sadaka, madaraka, publicity, ubinafsi na hivyo kuchangia pakubwa kuikwamisha nchi kwa kupigia makofi na kusifia mapito ya nchi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hawana uchungu kwa sababu walishiriki kwa 0% tu kudai uhuru. Huduma za jamii wanazolisaidia taifa ndizo zimefanyika ngome kuu za maficho ya rushwa na ufisadi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanahubiri matendo ya Nabii Musa ilhali wanamuishi kwa 0% hususan kwy agenda nzima ya kuisimamia nchi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hawajijui kwamba wanaweza kubadili mfumo wa uendeshaji nchi, wanajuwa tu hiyo ni kazi ya Media na Bunge wakati wanaomiliki watu wa nchi ni serikali na dini. Media na Bunge hazimiliki watu. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wao wanajuwa matendo mafu ya mihimili yanakemewa mara moja tu katika kalenda ya mwaka yaani siku ya Pasaka na Eid al-Fitr baaas. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Serikali inawaibia wananchi kupitia kodi za dhuluma na mikataba ya kinyonyaji, Mahakama zinawahujumu wananchi kwa kupotosha hukumu kwa uchu mkali wa rushwa, viongozi wa dini nao wanatoka nyuma kupigilia msumari au kukaza nati kwenye jeneza la watwana (siyo tena waumini) na kuwazika jumla kiuchumi; baada ya kuwakamua sadaka na matoleo yasiyokuwa na idadi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hakuna wa kumkemea nani kwy pembe tatu hiyo hapo juu ambalo ni mafiga matatu ya kukamilisha kumzika Mtz mtwana. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Kama CAG angekagua mahesabu ya nyumba za ibada dunia ingesimama na watu wasingeabudu asilani. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Serikali haiwakemei, Mahakama haiwakemei, Bunge haliwakemei wamebaki kwy uhuru mkubwa wa kufanya watakalo pasina hofu kwa mungumtu na MUNGU Baba. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Baadhi ya mafisadi serikalini wanaficha ela zao kwa viongozi wa dini. Ndiyo maana nimesema kwy aya ya pili hapo juu kuwa nyumba za ibada zimefanyika ngome kuu za maficho ya rushwa na ufisadi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanachukuwa kikumi (zaka) 10% ya mapato ya watwana (siyo tena waumini) lakini wanarejesha maendeleo na ustawi kwa 0%. Taasisi zao za kutoa huduma zinatoza watwana waliozijenga kwa jasho lao la mwisho. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanatoza watwana (siyo tena waumini), serikali inawaruzuku, wazungu wanawapa fadhila lakini wanarejesha kwa watwana CSR kwa kiwango cha 0%.

Walianza kuwa wawekezaji tangu uhuru wa nchi 1961 katikati ya makatazo ya sera na sheria (mfumo haukuruhusu uwekezaji binafsi) lakini hadi leo miaka 62 wanatembeza mabakuli hata ya nauli ikiwemo mishahara.

Hayo yanafanyika katikati ya misamaha ya kodi, ushuru na tozo wanazonufaika nazo tangu uhuru hata sasa. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanaifisadisha serikali kupitia watwana wao (siyo tena waumini) wanaoiba serikalini na kuleta kwy nyumba za ibada kama matoleo na hawawezi kuwakemea, kuwakana wala kuwaweka "Chini ya Marudi ya Kanisa" kwa mujibu wa katiba zao za Kanisa.

Kuna mmoja alihonga rushwa kupata cheti cha Uviko 19 ili avuke mpaka kwenda kuhubiri Uganda, kwamba atatubia dhambi hiyo baadaye, kisa aweze kwenda kwy mnuso wa mapato ya sadaka Uganda. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Tukiishawapa wageni kila kitu kutokana na kwamba sisi tumeshindwa kuviendesha licha ya utaalam tulio nao, bajeti tunazotengewa kila mwaka na pia soko la uhakika kuwepo, tutajikuta tumebaki bila kitu tunachoendesha wenyewe. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hii maana yake ni kwamba serikali itakosa uhalali wa kuwepo kutokana na kwamba itakuwa haina tena kazi ya kufanya maana nchi yote itakuwa kwenye ugenishwaji. Ni dhahir shahir kwamba ukoloni mpya huu ndiyo utajipa uhalali wa kuwepo!? Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Tukiwapa wageni kila kitu maana yake tumeuza uhuru wa kiuchumi tumebakisha uhuru wa kisiasa kwa muda tu. Kitakachofuata mbeleni huko hawa wageni ndiyo watakaoamua nani awe kiongozi.
Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Tukifika hapo (na ni jirani sana kufika hapo) tutakuwa pia tumeuza uhuru wa kisiasa na sasa itakuwa ni ukoloni mpya 1000% ambao hautatanguka milele yote. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Nina uhakika serikali hii ikishindwa kuendesha bandari za Tanganyika haitoweza kamwe kuendesha SGR, MGR, CGR, JNHPP na ATCL. Hii ni miradi migumu sana kuendesha, hivyo Waarabu wajipange kuja kupewa.
Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanahudumu lakini kwa mporomoko mkubwa:-

1. Wanafungisha ndoa lakini zinavunjika kuliko Katiba inavyovunjwa. Ndoa siyo takatifu tena. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

2. Wanahudumu lakini familia za watwana (siyo tena waumini) wao zimejaa migogoro iliyotowesha amani ipitayo fahamu zote. Familia zingine kati ya hizo amani zimechukuliwa na ela za ufisadi makazini zinazoletwa nyumbani kwy ndoa takatifu. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

3. Serikali inapambana kutokomeza mimba za wanafunzi lakini kwy Kwaya na vikundi vya vijana ndiko zinapatikana pasina hofu, tena chini ya 30% ni za viongozi wenyewe wa Kiroho. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

4. Wanahubiri juu ya uweza wa MUNGU kuponya wasioweza lakini ndiyo mabingwa wa kujenga zahanati, vituo vya afya na hospitali hadi za rufaa. Wengine wana wodibubu kwy nyumba za ibada na wanazalisha humo humo watoto wa miujiza. Zaidi mapepo ndiyo yanatamalaki na kutesa watwana (siyo tena waumini). Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

5. Wanavizia agenda za nchi kama waaguaji ili watengeneze ukwasi mfano chaguzi, mitihani ya taifa, mabadiliko ya katiba nk. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

6. Maadili yameporomoka kwy jamii, mihimili yote hadi kwenye nyumba za ibada. Taifa linaangamia kidogo kidogo kwa msaada wa utendaji hafifu wa viongozi wa mihimili na wale wa dini. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

7. Tunao viongozi wa dini (wa Kiroho) jela ambao wamefikishwa huko kwa makosa ya ubakaji na ulawiti. Nyumba za ibada kunako ulawiti na ubakaji. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

8. Tunao viongozi wa dini jela ambao wanatumikia vifungo kwa makosa ya kusambaza mihadarati. Nyumba za ibada kunako mihadarati. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

9. Wanashindwa kukataa na kukemea udanganyifu kwy michakato ya chaguzi na kutangaza matokeo ili taifa liondokane na viongozi duni; kwa sababu ndani ya nyumba za ibada pia kuna ufisadi na ulozi kwy mifumo ya chaguzi za viongozi wa kidini kuanzia wa Shule za Jumapili na Madrasa hadi nafasi za ngazi za juu. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

10. Taifa litaponaje kama viongozi wa mihimili wanapatikana kwa ufisadi na ulozi na wale wa dini pia wanapatikana kwa ufisadi na ulozi? Viongozi wa dini wa sadaka (wanaopatikana kwa ufisadi na ulozi) hawawezi kuliokoa taifa.

11. (a) Tutawapataje tena kizazi adhimu na adimu cha viongozi wa dini aina ya Ask. John Henry Okullu wa Anglikana Dayosisi ya Maseno Kusini Jamhuri ya Kenya. Okullu siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

(b) Ask. Alexander Kipsang Muge wa Anglikana Dayosisi ya Eldoret Jamhuri ya Kenya. Muge siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

(a) na (b) walimnyoosha rais Moi kuacha utawala wa imla wa mkono wa chuma na kuruhusu demokrasia ya vyama vingi.

(c) Ask. Desmond Mpilo Tutu wa Anglikana Dayosisi ya Jo'burg Jamhuri ya Afrika Kusini alitumia kola yake kupambana na Pik Botha na Frederik Willem de Klerk hadi Mandela akatoka kisiwani Robben na ukombozi kupatikana. Tutu siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

(d) Ask Mkuu Pius Alick Mvundla Ncube wa RC Bulawayo aliisahihisha njia na mwelekeo wa Zimbabwe katikati ya chuki, matishio na makatazo ya rais jeuri Robert Mugabe na mkewe jahili Grace Mugabe hadi Mugabe akaruhusu vyama vingi na baadaye kuachia ikulu. Ncube siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

Hao Maaskofu walikuwa na ujasiri wa Nabii Musa aliyemkosoa na kumuadabisha yule Farao wa 40 bila kujali kuwa alilelewa (alihifadhiwa) kwa miezi 3 kwy Kasri la Farao huyo huyo. Amram na Jokebed (wazazi wa Musa) walimhifadhi mtoto wao kwa Faraoh.

(e) Rev. Canaan Banana alipambana na Gavana wa kikoloni wa mwisho kutawala Rhodesia ya Kusini (Zimbabwe) The Lord Soames hadi uhuru ukapatikana. Pia yeye na Robert Mugabe walimshikisha adabu Ian Smith wa UDI. Banana hakuwa kiongozi wa dini wa sadaka.

(f) Rev. Frederick Chiluba wa MMD aliking'oa UNIP cha Kenneth Kaunda na kuchukua hatamu za uongozi wa Zambia kwy uchaguzi wa kwanza chini ya demokrasia ya vyama vingi. Chiluba hakuwa kiongozi wa dini wa sadaka.

(g) Ask. Lazarus Chakwera kupitia MCP alimng'oa Arthur Peter Mutharika wa DPP na kutamalaki ikulu ya Malawi. Chakwera hakuwa kiongozi wa dini wa sadaka.

(h) Mlokole wa Kiadventista wa Sabato Hakainde Hichilema wa UPND aliitwaa Zambia baada ya kumshinda Edgar Lungu wa PF.

12. Tunahitaji muafaka wa kitaifa 100% kwenye mihimili yote na majukwaa yote ya kijamii. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Niendelee au mmechoka kusoma?
 
Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Imeendelea kuthibitika kwamba viongozi wa dini hususan wa Kikristo wamejaa unafiki, tamaa ya sadaka, madaraka, publicity, ubinafsi na hivyo kuchangia pakubwa kuikwamisha nchi kwa kupigia makofi na kusifia mapito ya nchi. Viongozi
Wagalatia ni mazuzu,acha wapigwe tu
 
Wote tuimbe haka ka-kiitikio: Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.
Tukiishawapa wageni kila kitu kutokana na kwamba sisi tumeshindwa kuviendesha licha ya utaalam tulio nao, bajeti tunazotengewa kila mwaka na pia soko la uhakika kuwepo, tutajikuta tumebaki bila kitu tunachoendesha wenyewe. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hii maana yake ni kwamba serikali itakosa uhalali wa kuwepo kutokana na kwamba itakuwa haina tena kazi ya kufanya maana nchi yote itakuwa kwenye ugenishwaji. Ni dhahir shahir kwamba ukoloni mpya huu ndiyo utajipa uhalali wa kuwepo!? Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Tukiwapa wageni kila kitu maana yake tumeuza uhuru wa kiuchumi tumebakisha uhuru wa kisiasa kwa muda tu. Kitakachofuata mbeleni huko hawa wageni ndiyo watakaoamua nani awe kiongozi.
Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Tukifika hapo (na ni jirani sana kufika hapo) tutakuwa pia tumeuza uhuru wa kisiasa na sasa itakuwa ni ukoloni mpya 1000% ambao hautatanguka milele yote. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Nina uhakika serikali hii ikishindwa kuendesha bandari za Tanganyika haitoweza kamwe kuendesha SGR, MGR, CGR, JNHPP na ATCL. Hii ni miradi migumu sana kuendesha, hivyo Waarabu wajipange kuja kupewa.Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Imeendelea kuthibitika kwamba viongozi wa dini hususan wa Kikristo wamejaa unafiki, tamaa ya sadaka, madaraka, publicity, ubinafsi na hivyo kuchangia pakubwa kuikwamisha nchi kwa kupigia makofi na kusifia mapito ya nchi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hawana uchungu kwa sababu walishiriki kwa 0% tu kudai uhuru. Huduma za jamii wanazolisaidia taifa ndizo zimefanyika ngome kuu za maficho ya rushwa na ufisadi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanahubiri matendo ya Nabii Musa ilhali wanamuishi kwa 0% hususan kwy agenda nzima ya kuisimamia nchi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hawajijui kwamba wanaweza kubadili mfumo wa uendeshaji nchi, wanajuwa tu hiyo ni kazi ya Media na Bunge wakati wanaomiliki watu wa nchi ni serikali na dini. Media na Bunge hazimiliki watu. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wao wanajuwa matendo mafu ya mihimili yanakemewa mara moja tu katika kalenda ya mwaka yaani siku ya Pasaka na Eid al-Fitr baaas. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Serikali inawaibia wananchi kupitia kodi za dhuluma na mikataba ya kinyonyaji, Mahakama zinawahujumu wananchi kwa kupotosha hukumu kwa uchu mkali wa rushwa, viongozi wa dini nao wanatoka nyuma kupigilia msumari au kukaza nati kwenye jeneza la watwana (siyo tena waumini) na kuwazika jumla kiuchumi; baada ya kuwakamua sadaka na matoleo yasiyokuwa na idadi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hakuna wa kumkemea nani kwy pembe tatu hiyo hapo juu ambalo ni mafiga matatu ya kukamilisha kumzika Mtz mtwana. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Kama CAG angekagua mahesabu ya nyumba za ibada dunia ingesimama na watu wasingeabudu asilani. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Serikali haiwakemei, Mahakama haiwakemei, Bunge haliwakemei wamebaki kwy uhuru mkubwa wa kufanya watakalo pasina hofu kwa mungumtu na MUNGU Baba. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Baadhi ya mafisadi serikalini wanaficha ela zao kwa viongozi wa dini. Ndiyo maana nimesema kwy aya ya pili hapo juu kuwa nyumba za ibada zimefanyika ngome kuu za maficho ya rushwa na ufisadi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanachukuwa kikumi (zaka) 10% ya mapato ya watwana (siyo tena waumini) lakini wanarejesha maendeleo na ustawi kwa 0%. Taasisi zao za kutoa huduma zinatoza watwana waliozijenga kwa jasho lao la mwisho. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanatoza watwana (siyo tena waumini), serikali inawaruzuku, wazungu wanawapa fadhila lakini wanarejesha kwa watwana CSR kwa kiwango cha 0%.

Walianza kuwa wawekezaji tangu uhuru wa nchi 1961 katikati ya makatazo ya sera na sheria (mfumo haukuruhusu uwekezaji binafsi) lakini hadi leo miaka 62 wanatembeza mabakuli hata ya nauli ikiwemo mishahara.

Hayo yanafanyika katikati ya misamaha ya kodi, ushuru na tozo wanazonufaika nazo tangu uhuru hata sasa. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanaifisadisha serikali kupitia watwana wao (siyo tena waumini) wanaoiba serikalini na kuleta kwy nyumba za ibada kama matoleo na hawawezi kuwakemea, kuwakana wala kuwaweka "Chini ya Marudi ya Kanisa" kwa mujibu wa katiba zao za Kanisa.

Kuna mmoja alihonga rushwa kupata cheti cha Uviko 19 ili avuke mpaka kwenda kuhubiri Uganda, kwamba atatubia dhambi hiyo baadaye, kisa aweze kwenda kwy mnuso wa mapato ya sadaka Uganda. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Tukiishawapa wageni kila kitu kutokana na kwamba sisi tumeshindwa kuviendesha licha ya utaalam tulio nao, bajeti tunazotengewa kila mwaka na pia soko la uhakika kuwepo, tutajikuta tumebaki bila kitu tunachoendesha wenyewe. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hii maana yake ni kwamba serikali itakosa uhalali wa kuwepo kutokana na kwamba itakuwa haina tena kazi ya kufanya maana nchi yote itakuwa kwenye ugenishwaji. Ni dhahir shahir kwamba ukoloni mpya huu ndiyo utajipa uhalali wa kuwepo!? Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Tukiwapa wageni kila kitu maana yake tumeuza uhuru wa kiuchumi tumebakisha uhuru wa kisiasa kwa muda tu. Kitakachofuata mbeleni huko hawa wageni ndiyo watakaoamua nani awe kiongozi.
Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Tukifika hapo (na ni jirani sana kufika hapo) tutakuwa pia tumeuza uhuru wa kisiasa na sasa itakuwa ni ukoloni mpya 1000% ambao hautatanguka milele yote. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Nina uhakika serikali hii ikishindwa kuendesha bandari za Tanganyika haitoweza kamwe kuendesha SGR, MGR, CGR, JNHPP na ATCL. Hii ni miradi migumu sana kuendesha, hivyo Waarabu wajipange kuja kupewa.
Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanahudumu lakini kwa mporomoko mkubwa:-

1. Wanafungisha ndoa lakini zinavunjika kuliko Katiba inavyovunjwa. Ndoa siyo takatifu tena. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

2. Wanahudumu lakini familia za watwana (siyo tena waumini) wao zimejaa migogoro iliyotowesha amani ipitayo fahamu zote. Familia zingine kati ya hizo amani zimechukuliwa na ela za ufisadi makazini zinazoletwa nyumbani kwy ndoa takatifu. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

3. Serikali inapambana kutokomeza mimba za wanafunzi lakini kwy Kwaya na vikundi vya vijana ndiko zinapatikana pasina hofu, tena chini ya 30% ni za viongozi wenyewe wa Kiroho. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

4. Wanahubiri juu ya uweza wa MUNGU kuponya wasioweza lakini ndiyo mabingwa wa kujenga zahanati, vituo vya afya na hospitali hadi za rufaa. Wengine wana wodibubu kwy nyumba za ibada na wanazalisha humo humo watoto wa miujiza. Zaidi mapepo ndiyo yanatamalaki na kutesa watwana (siyo tena waumini). Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

5. Wanavizia agenda za nchi kama waaguaji ili watengeneze ukwasi mfano chaguzi, mitihani ya taifa, mabadiliko ya katiba nk. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

6. Maadili yameporomoka kwy jamii, mihimili yote hadi kwenye nyumba za ibada. Taifa linaangamia kidogo kidogo kwa msaada wa utendaji hafifu wa viongozi wa mihimili na wale wa dini. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

7. Tunao viongozi wa dini (wa Kiroho) jela ambao wamefikishwa huko kwa makosa ya ubakaji na ulawiti. Nyumba za ibada kunako ulawiti na ubakaji. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

8. Tunao viongozi wa dini jela ambao wanatumikia vifungo kwa makosa ya kusambaza mihadarati. Nyumba za ibada kunako mihadarati. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

9. Wanashindwa kukataa na kukemea udanganyifu kwy michakato ya chaguzi na kutangaza matokeo ili taifa liondokane na viongozi duni; kwa sababu ndani ya nyumba za ibada pia kuna ufisadi na ulozi kwy mifumo ya chaguzi za viongozi wa kidini kuanzia wa Shule za Jumapili na Madrasa hadi nafasi za ngazi za juu. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

10. Taifa litaponaje kama viongozi wa mihimili wanapatikana kwa ufisadi na ulozi na wale wa dini pia wanapatikana kwa ufisadi na ulozi? Viongozi wa dini wa sadaka (wanaopatikana kwa ufisadi na ulozi) hawawezi kuliokoa taifa.

11. (a) Tutawapataje tena kizazi adhimu na adimu cha viongozi wa dini aina ya Ask. John Henry Okullu wa Anglikana Dayosisi ya Maseno Kusini Jamhuri ya Kenya. Okullu siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

(b) Ask. Alexander Kipsang Muge wa Anglikana Dayosisi ya Eldoret Jamhuri ya Kenya. Muge siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

(a) na (b) walimnyoosha rais Moi kuacha utawala wa imla wa mkono wa chuma na kuruhusu demokrasia ya vyama vingi.

(c) Ask. Desmond Mpilo Tutu wa Anglikana Dayosisi ya Jo'burg Jamhuri ya Afrika Kusini alitumia kola yake kupambana na Pik Botha na Frederik Willem de Klerk hadi Mandela akatoka kisiwani Robben na ukombozi kupatikana. Tutu siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

(d) Ask Mkuu Pius Alick Mvundla Ncube wa RC Bulawayo aliisahihisha njia na mwelekeo wa Zimbabwe katikati ya chuki, matishio na makatazo ya rais jeuri Robert Mugabe na mkewe jahili Grace Mugabe hadi Mugabe akaruhusu vyama vingi na baadaye kuachia ikulu. Ncube siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

Hao Maaskofu walikuwa na ujasiri wa Nabii Musa aliyemkosoa na kumuadabisha yule Farao wa 40 bila kujali kuwa alilelewa (alihifadhiwa) kwa miezi 3 kwy Kasri la Farao huyo huyo. Amram na Jokebed (wazazi wa Musa) walimhifadhi mtoto wao kwa Faraoh.

(e) Rev. Canaan Banana alipambana na Gavana wa kikoloni wa mwisho kutawala Rhodesia ya Kusini (Zimbabwe) The Lord Soames hadi uhuru ukapatikana. Pia yeye na Robert Mugabe walimshikisha adabu Ian Smith wa UDI. Banana hakuwa kiongozi wa dini wa sadaka.

(f) Rev. Frederick Chiluba wa MMD aliking'oa UNIP cha Kenneth Kaunda na kuchukua hatamu za uongozi wa Zambia kwy uchaguzi wa kwanza chini ya demokrasia ya vyama vingi. Chiluba hakuwa kiongozi wa dini wa sadaka.

(g) Ask. Lazarus Chakwera kupitia MCP alimng'oa Arthur Peter Mutharika wa DPP na kutamalaki ikulu ya Malawi. Chakwera hakuwa kiongozi wa dini wa sadaka.

(h) Mlokole wa Kiadventista wa Sabato Hakainde Hichilema wa UPND aliitwaa Zambia baada ya kumshinda Edgar Lungu wa PF.

12. Tunahitaji muafaka wa kitaifa 100% kwenye mihimili yote na majukwaa yote ya kijamii. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Niendelee au mmechoka kusoma?
Umeandika mengi ila unapaswa kujua viongozi wa dini sio malaika..wao wanakupa neno ushike neno uende zako.

Kwanza unatakiwa uwapongeze kwa kuingia kwenye huo wajibu maana sote tunajua hakuna kazi inayodharaulika kama utumishi sababu haina mshahara. Hebu niambie yule mchungaji au padri kule mtambaswala anakula sadaka za kiasi gani.?

Yaani mpaka aanze kushika vihela anakuwa mahali fulani kwa levo fulani..nilimshuhudia mchungaji wangu miaka hiyo pale Mombo alikuwa na maisha magumu mno na familia yake..lakini alifanya kazi kwa moyo sana.
 
Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Imeendelea kuthibitika kwamba viongozi wa dini hususan wa Kikristo wamejaa unafiki, tamaa ya sadaka, madaraka, publicity, ubinafsi na hivyo kuchangia pakubwa kuikwamisha nchi kwa kupigia makofi na kusifia mapito ya nchi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hawana uchungu kwa sababu walishiriki kwa 0% tu kudai uhuru. Huduma za jamii wanazolisaidia taifa ndizo zimefanyika ngome kuu za maficho ya rushwa na ufisadi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanahubiri matendo ya Nabii Musa ilhali wanamuishi kwa 0% hususan kwy agenda nzima ya kuisimamia nchi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hawajijui kwamba wanaweza kubadili mfumo wa uendeshaji nchi, wanajuwa tu hiyo ni kazi ya Media na Bunge wakati wanaomiliki watu wa nchi ni serikali na dini. Media na Bunge hazimiliki watu. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wao wanajuwa matendo mafu ya mihimili yanakemewa mara moja tu katika kalenda ya mwaka yaani siku ya Pasaka na Eid al-Fitr baaas. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Serikali inawaibia wananchi kupitia kodi za dhuluma na mikataba ya kinyonyaji, Mahakama zinawahujumu wananchi kwa kupotosha hukumu kwa uchu mkali wa rushwa, viongozi wa dini nao wanatoka nyuma kupigilia msumari au kukaza nati kwenye jeneza la watwana (siyo tena waumini) na kuwazika jumla kiuchumi; baada ya kuwakamua sadaka na matoleo yasiyokuwa na idadi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hakuna wa kumkemea nani kwy pembe tatu hiyo hapo juu ambalo ni mafiga matatu ya kukamilisha kumzika Mtz mtwana. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Kama CAG angekagua mahesabu ya nyumba za ibada dunia ingesimama na watu wasingeabudu asilani. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Serikali haiwakemei, Mahakama haiwakemei, Bunge haliwakemei wamebaki kwy uhuru mkubwa wa kufanya watakalo pasina hofu kwa mungumtu na MUNGU Baba. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Baadhi ya mafisadi serikalini wanaficha ela zao kwa viongozi wa dini. Ndiyo maana nimesema kwy aya ya pili hapo juu kuwa nyumba za ibada zimefanyika ngome kuu za maficho ya rushwa na ufisadi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanachukuwa kikumi (zaka) 10% ya mapato ya watwana (siyo tena waumini) lakini wanarejesha maendeleo na ustawi kwa 0%. Taasisi zao za kutoa huduma zinatoza watwana waliozijenga kwa jasho lao la mwisho. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanatoza watwana (siyo tena waumini), serikali inawaruzuku, wazungu wanawapa fadhila lakini wanarejesha kwa watwana CSR kwa kiwango cha 0%.

Walianza kuwa wawekezaji tangu uhuru wa nchi 1961 katikati ya makatazo ya sera na sheria (mfumo haukuruhusu uwekezaji binafsi) lakini hadi leo miaka 62 wanatembeza mabakuli hata ya nauli ikiwemo mishahara.

Hayo yanafanyika katikati ya misamaha ya kodi, ushuru na tozo wanazonufaika nazo tangu uhuru hata sasa. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanaifisadisha serikali kupitia watwana wao (siyo tena waumini) wanaoiba serikalini na kuleta kwy nyumba za ibada kama matoleo na hawawezi kuwakemea, kuwakana wala kuwaweka "Chini ya Marudi ya Kanisa" kwa mujibu wa katiba zao za Kanisa.

Kuna mmoja alihonga rushwa kupata cheti cha Uviko 19 ili avuke mpaka kwenda kuhubiri Uganda, kwamba atatubia dhambi hiyo baadaye, kisa aweze kwenda kwy mnuso wa mapato ya sadaka Uganda. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Tukiishawapa wageni kila kitu kutokana na kwamba sisi tumeshindwa kuviendesha licha ya utaalam tulio nao, bajeti tunazotengewa kila mwaka na pia soko la uhakika kuwepo, tutajikuta tumebaki bila kitu tunachoendesha wenyewe. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hii maana yake ni kwamba serikali itakosa uhalali wa kuwepo kutokana na kwamba itakuwa haina tena kazi ya kufanya maana nchi yote itakuwa kwenye ugenishwaji. Ni dhahir shahir kwamba ukoloni mpya huu ndiyo utajipa uhalali wa kuwepo!? Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Tukiwapa wageni kila kitu maana yake tumeuza uhuru wa kiuchumi tumebakisha uhuru wa kisiasa kwa muda tu. Kitakachofuata mbeleni huko hawa wageni ndiyo watakaoamua nani awe kiongozi.
Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Tukifika hapo (na ni jirani sana kufika hapo) tutakuwa pia tumeuza uhuru wa kisiasa na sasa itakuwa ni ukoloni mpya 1000% ambao hautatanguka milele yote. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Nina uhakika serikali hii ikishindwa kuendesha bandari za Tanganyika haitoweza kamwe kuendesha SGR, MGR, CGR, JNHPP na ATCL. Hii ni miradi migumu sana kuendesha, hivyo Waarabu wajipange kuja kupewa.
Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanahudumu lakini kwa mporomoko mkubwa:-

1. Wanafungisha ndoa lakini zinavunjika kuliko Katiba inavyovunjwa. Ndoa siyo takatifu tena. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

2. Wanahudumu lakini familia za watwana (siyo tena waumini) wao zimejaa migogoro iliyotowesha amani ipitayo fahamu zote. Familia zingine kati ya hizo amani zimechukuliwa na ela za ufisadi makazini zinazoletwa nyumbani kwy ndoa takatifu. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

3. Serikali inapambana kutokomeza mimba za wanafunzi lakini kwy Kwaya na vikundi vya vijana ndiko zinapatikana pasina hofu, tena chini ya 30% ni za viongozi wenyewe wa Kiroho. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

4. Wanahubiri juu ya uweza wa MUNGU kuponya wasioweza lakini ndiyo mabingwa wa kujenga zahanati, vituo vya afya na hospitali hadi za rufaa. Wengine wana wodibubu kwy nyumba za ibada na wanazalisha humo humo watoto wa miujiza. Zaidi mapepo ndiyo yanatamalaki na kutesa watwana (siyo tena waumini). Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

5. Wanavizia agenda za nchi kama waaguaji ili watengeneze ukwasi mfano chaguzi, mitihani ya taifa, mabadiliko ya katiba nk. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

6. Maadili yameporomoka kwy jamii, mihimili yote hadi kwenye nyumba za ibada. Taifa linaangamia kidogo kidogo kwa msaada wa utendaji hafifu wa viongozi wa mihimili na wale wa dini. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

7. Tunao viongozi wa dini (wa Kiroho) jela ambao wamefikishwa huko kwa makosa ya ubakaji na ulawiti. Nyumba za ibada kunako ulawiti na ubakaji. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

8. Tunao viongozi wa dini jela ambao wanatumikia vifungo kwa makosa ya kusambaza mihadarati. Nyumba za ibada kunako mihadarati. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

9. Wanashindwa kukataa na kukemea udanganyifu kwy michakato ya chaguzi na kutangaza matokeo ili taifa liondokane na viongozi duni; kwa sababu ndani ya nyumba za ibada pia kuna ufisadi na ulozi kwy mifumo ya chaguzi za viongozi wa kidini kuanzia wa Shule za Jumapili na Madrasa hadi nafasi za ngazi za juu. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

10. Taifa litaponaje kama viongozi wa mihimili wanapatikana kwa ufisadi na ulozi na wale wa dini pia wanapatikana kwa ufisadi na ulozi? Viongozi wa dini wa sadaka (wanaopatikana kwa ufisadi na ulozi) hawawezi kuliokoa taifa.

11. (a) Tutawapataje tena kizazi adhimu na adimu cha viongozi wa dini aina ya Ask. John Henry Okullu wa Anglikana Dayosisi ya Maseno Kusini Jamhuri ya Kenya. Okullu siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

(b) Ask. Alexander Kipsang Muge wa Anglikana Dayosisi ya Eldoret Jamhuri ya Kenya. Muge siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

(a) na (b) walimnyoosha rais Moi kuacha utawala wa imla wa mkono wa chuma na kuruhusu demokrasia ya vyama vingi.

(c) Ask. Desmond Mpilo Tutu wa Anglikana Dayosisi ya Jo'burg Jamhuri ya Afrika Kusini alitumia kola yake kupambana na Pik Botha na Frederik Willem de Klerk hadi Mandela akatoka kisiwani Robben na ukombozi kupatikana. Tutu siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

(d) Ask Mkuu Pius Alick Mvundla Ncube wa RC Bulawayo aliisahihisha njia na mwelekeo wa Zimbabwe katikati ya chuki, matishio na makatazo ya rais jeuri Robert Mugabe na mkewe jahili Grace Mugabe hadi Mugabe akaruhusu vyama vingi na baadaye kuachia ikulu. Ncube siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

Hao Maaskofu walikuwa na ujasiri wa Nabii Musa aliyemkosoa na kumuadabisha yule Farao wa 40 bila kujali kuwa alilelewa (alihifadhiwa) kwa miezi 3 kwy Kasri la Farao huyo huyo. Amram na Jokebed (wazazi wa Musa) walimhifadhi mtoto wao kwa Faraoh.

(e) Rev. Canaan Banana alipambana na Gavana wa kikoloni wa mwisho kutawala Rhodesia ya Kusini (Zimbabwe) The Lord Soames hadi uhuru ukapatikana. Pia yeye na Robert Mugabe walimshikisha adabu Ian Smith wa UDI. Banana hakuwa kiongozi wa dini wa sadaka.

(f) Rev. Frederick Chiluba wa MMD aliking'oa UNIP cha Kenneth Kaunda na kuchukua hatamu za uongozi wa Zambia kwy uchaguzi wa kwanza chini ya demokrasia ya vyama vingi. Chiluba hakuwa kiongozi wa dini wa sadaka.

(g) Ask. Lazarus Chakwera kupitia MCP alimng'oa Arthur Peter Mutharika wa DPP na kutamalaki ikulu ya Malawi. Chakwera hakuwa kiongozi wa dini wa sadaka.

(h) Mlokole wa Kiadventista wa Sabato Hakainde Hichilema wa UPND aliitwaa Zambia baada ya kumshinda Edgar Lungu wa PF.

12. Tunahitaji muafaka wa kitaifa 100% kwenye mihimili yote na majukwaa yote ya kijamii. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Niendelee au mmechoka kusoma?
Kongole sana na Mungu Baba wa Mbinguni akubariki sana kwa andiko bora.
 
Umeandika mengi ila unapaswa kujua viongozi wa dini sio malaika..wao wanakupa neno ushike neno uende zako.

Kwanza unatakiwa uwapongeze kwa kuingia kwenye huo wajibu maana sote tunajua hakuna kazi inayodharaulika kama utumishi sababu haina mshahara. Hebu niambie yule mchungaji au padri kule mtambaswala anakula sadaka za kiasi gani.?

Yaani mpaka aanze kushika vihela anakuwa mahali fulani kwa levo fulani..nilimshuhudia mchungaji wangu miaka hiyo pale Mombo alikuwa na maisha magumu mno na familia yake..lakini alifanya kazi kwa moyo sana.
Sote tunakubaliana kwamba viongozi wa dini (kiroho) wanafanya kazi za Yesu na Mtume Mohammed SAW.

Maswali:-
1. Yesu alilipwa mshahara shg ngapi?

2. Mtume Mohammed SAW alilipwa mshahara shg ngapi?

3. Mitume na Manabii walikuwa kwy payroll?

4. Kama hao namba 1 - 3 hawakuwa na mishahara, iweje hawa wa leo wawe wa mishahara na sadaka kuliko kazi ya msingi waliyopakiwa mafuta ya kuokoa dunia kama walivyofanya BW Yesu, Mtume Mohammed SAW, Mitume na Manabii?

Ninashuhudiwa hujasoma andiko mwanzo mwisho verbatim.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Ni makala ndeefu imejaa hoja za kufikilika na ndoto za mchana.ni watu wenye akili zenye matobo tu ndio wanaweza kushanikia hii mada.

Unapodai eti hawakushiriki kupigania uhuru!?, hizo ni nadharia za watu wasio ielewa historia ya Tanganyika.ni dini gn ambayo haipokei sadaka?, ni dini zoote mpk mizimu.

Kwenye kudai uhuru kuna kikundi kilikuwa kina jiita AMNUT, hiki kilikuwa ni chama cha kisiasa chenye mrengo wa kiislamu,lengo lake kubwa ilikuwa ni kimpinga nyerere mkristu,kili kuwa kinasambaza chuki za kidini dhidi ya mwl nyerere mkristo,na kuwataka watanganyika wasimchague eti ni mkristo,lkn kwa uelewa wa watanganyika,nyerere alishinda.lkn pamoja na AMNUT kumpinga nyerere huwezi kusema waislamu woote walimpinga.nyerere aliungwa mkono pia na baadhi ya waislamu.

Hivyo kuwadharau maaskofu ni hoja ya kipuuzi na ni ya kijinga.
 
Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Imeendelea kuthibitika kwamba viongozi wa dini hususan wa Kikristo wamejaa unafiki, tamaa ya sadaka, madaraka, publicity, ubinafsi na hivyo kuchangia pakubwa kuikwamisha nchi kwa kupigia makofi na kusifia mapito ya nchi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hawana uchungu kwa sababu walishiriki kwa 0% tu kudai uhuru. Huduma za jamii wanazolisaidia taifa ndizo zimefanyika ngome kuu za maficho ya rushwa na ufisadi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanahubiri matendo ya Nabii Musa ilhali wanamuishi kwa 0% hususan kwy agenda nzima ya kuisimamia nchi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hawajijui kwamba wanaweza kubadili mfumo wa uendeshaji nchi, wanajuwa tu hiyo ni kazi ya Media na Bunge wakati wanaomiliki watu wa nchi ni serikali na dini. Media na Bunge hazimiliki watu. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wao wanajuwa matendo mafu ya mihimili yanakemewa mara moja tu katika kalenda ya mwaka yaani siku ya Pasaka na Eid al-Fitr baaas. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Serikali inawaibia wananchi kupitia kodi za dhuluma na mikataba ya kinyonyaji, Mahakama zinawahujumu wananchi kwa kupotosha hukumu kwa uchu mkali wa rushwa, viongozi wa dini nao wanatoka nyuma kupigilia msumari au kukaza nati kwenye jeneza la watwana (siyo tena waumini) na kuwazika jumla kiuchumi; baada ya kuwakamua sadaka na matoleo yasiyokuwa na idadi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hakuna wa kumkemea nani kwy pembe tatu hiyo hapo juu ambalo ni mafiga matatu ya kukamilisha kumzika Mtz mtwana. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Kama CAG angekagua mahesabu ya nyumba za ibada dunia ingesimama na watu wasingeabudu asilani. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Serikali haiwakemei, Mahakama haiwakemei, Bunge haliwakemei wamebaki kwy uhuru mkubwa wa kufanya watakalo pasina hofu kwa mungumtu na MUNGU Baba. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Baadhi ya mafisadi serikalini wanaficha ela zao kwa viongozi wa dini. Ndiyo maana nimesema kwy aya ya pili hapo juu kuwa nyumba za ibada zimefanyika ngome kuu za maficho ya rushwa na ufisadi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanachukuwa kikumi (zaka) 10% ya mapato ya watwana (siyo tena waumini) lakini wanarejesha maendeleo na ustawi kwa 0%. Taasisi zao za kutoa huduma zinatoza watwana waliozijenga kwa jasho lao la mwisho. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanatoza watwana (siyo tena waumini), serikali inawaruzuku, wazungu wanawapa fadhila lakini wanarejesha kwa watwana CSR kwa kiwango cha 0%.

Walianza kuwa wawekezaji tangu uhuru wa nchi 1961 katikati ya makatazo ya sera na sheria (mfumo haukuruhusu uwekezaji binafsi) lakini hadi leo miaka 62 wanatembeza mabakuli hata ya nauli ikiwemo mishahara.

Hayo yanafanyika katikati ya misamaha ya kodi, ushuru na tozo wanazonufaika nazo tangu uhuru hata sasa. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanaifisadisha serikali kupitia watwana wao (siyo tena waumini) wanaoiba serikalini na kuleta kwy nyumba za ibada kama matoleo na hawawezi kuwakemea, kuwakana wala kuwaweka "Chini ya Marudi ya Kanisa" kwa mujibu wa katiba zao za Kanisa.

Kuna mmoja alihonga rushwa kupata cheti cha Uviko 19 ili avuke mpaka kwenda kuhubiri Uganda, kwamba atatubia dhambi hiyo baadaye, kisa aweze kwenda kwy mnuso wa mapato ya sadaka Uganda. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Tukiishawapa wageni kila kitu kutokana na kwamba sisi tumeshindwa kuviendesha licha ya utaalam tulio nao, bajeti tunazotengewa kila mwaka na pia soko la uhakika kuwepo, tutajikuta tumebaki bila kitu tunachoendesha wenyewe. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hii maana yake ni kwamba serikali itakosa uhalali wa kuwepo kutokana na kwamba itakuwa haina tena kazi ya kufanya maana nchi yote itakuwa kwenye ugenishwaji. Ni dhahir shahir kwamba ukoloni mpya huu ndiyo utajipa uhalali wa kuwepo!? Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Tukiwapa wageni kila kitu maana yake tumeuza uhuru wa kiuchumi tumebakisha uhuru wa kisiasa kwa muda tu. Kitakachofuata mbeleni huko hawa wageni ndiyo watakaoamua nani awe kiongozi.
Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Tukifika hapo (na ni jirani sana kufika hapo) tutakuwa pia tumeuza uhuru wa kisiasa na sasa itakuwa ni ukoloni mpya 1000% ambao hautatanguka milele yote. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Nina uhakika serikali hii ikishindwa kuendesha bandari za Tanganyika haitoweza kamwe kuendesha SGR, MGR, CGR, JNHPP na ATCL. Hii ni miradi migumu sana kuendesha, hivyo Waarabu wajipange kuja kupewa.
Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanahudumu lakini kwa mporomoko mkubwa:-

1. Wanafungisha ndoa lakini zinavunjika kuliko Katiba inavyovunjwa. Ndoa siyo takatifu tena. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

2. Wanahudumu lakini familia za watwana (siyo tena waumini) wao zimejaa migogoro iliyotowesha amani ipitayo fahamu zote. Familia zingine kati ya hizo amani zimechukuliwa na ela za ufisadi makazini zinazoletwa nyumbani kwy ndoa takatifu. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

3. Serikali inapambana kutokomeza mimba za wanafunzi lakini kwy Kwaya na vikundi vya vijana ndiko zinapatikana pasina hofu, tena chini ya 30% ni za viongozi wenyewe wa Kiroho. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

4. Wanahubiri juu ya uweza wa MUNGU kuponya wasioweza lakini ndiyo mabingwa wa kujenga zahanati, vituo vya afya na hospitali hadi za rufaa. Wengine wana wodibubu kwy nyumba za ibada na wanazalisha humo humo watoto wa miujiza. Zaidi mapepo ndiyo yanatamalaki na kutesa watwana (siyo tena waumini). Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

5. Wanavizia agenda za nchi kama waaguaji ili watengeneze ukwasi mfano chaguzi, mitihani ya taifa, mabadiliko ya katiba nk. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

6. Maadili yameporomoka kwy jamii, mihimili yote hadi kwenye nyumba za ibada. Taifa linaangamia kidogo kidogo kwa msaada wa utendaji hafifu wa viongozi wa mihimili na wale wa dini. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

7. Tunao viongozi wa dini (wa Kiroho) jela ambao wamefikishwa huko kwa makosa ya ubakaji na ulawiti. Nyumba za ibada kunako ulawiti na ubakaji. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

8. Tunao viongozi wa dini jela ambao wanatumikia vifungo kwa makosa ya kusambaza mihadarati. Nyumba za ibada kunako mihadarati. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

9. Wanashindwa kukataa na kukemea udanganyifu kwy michakato ya chaguzi na kutangaza matokeo ili taifa liondokane na viongozi duni; kwa sababu ndani ya nyumba za ibada pia kuna ufisadi na ulozi kwy mifumo ya chaguzi za viongozi wa kidini kuanzia wa Shule za Jumapili na Madrasa hadi nafasi za ngazi za juu. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

10. Taifa litaponaje kama viongozi wa mihimili wanapatikana kwa ufisadi na ulozi na wale wa dini pia wanapatikana kwa ufisadi na ulozi? Viongozi wa dini wa sadaka (wanaopatikana kwa ufisadi na ulozi) hawawezi kuliokoa taifa.

11. (a) Tutawapataje tena kizazi adhimu na adimu cha viongozi wa dini aina ya Ask. John Henry Okullu wa Anglikana Dayosisi ya Maseno Kusini Jamhuri ya Kenya. Okullu siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

(b) Ask. Alexander Kipsang Muge wa Anglikana Dayosisi ya Eldoret Jamhuri ya Kenya. Muge siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

(a) na (b) walimnyoosha rais Moi kuacha utawala wa imla wa mkono wa chuma na kuruhusu demokrasia ya vyama vingi.

(c) Ask. Desmond Mpilo Tutu wa Anglikana Dayosisi ya Jo'burg Jamhuri ya Afrika Kusini alitumia kola yake kupambana na Pik Botha na Frederik Willem de Klerk hadi Mandela akatoka kisiwani Robben na ukombozi kupatikana. Tutu siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

(d) Ask Mkuu Pius Alick Mvundla Ncube wa RC Bulawayo aliisahihisha njia na mwelekeo wa Zimbabwe katikati ya chuki, matishio na makatazo ya rais jeuri Robert Mugabe na mkewe jahili Grace Mugabe hadi Mugabe akaruhusu vyama vingi na baadaye kuachia ikulu. Ncube siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

Hao Maaskofu walikuwa na ujasiri wa Nabii Musa aliyemkosoa na kumuadabisha yule Farao wa 40 bila kujali kuwa alilelewa (alihifadhiwa) kwa miezi 3 kwy Kasri la Farao huyo huyo. Amram na Jokebed (wazazi wa Musa) walimhifadhi mtoto wao kwa Faraoh.

(e) Rev. Canaan Banana alipambana na Gavana wa kikoloni wa mwisho kutawala Rhodesia ya Kusini (Zimbabwe) The Lord Soames hadi uhuru ukapatikana. Pia yeye na Robert Mugabe walimshikisha adabu Ian Smith wa UDI. Banana hakuwa kiongozi wa dini wa sadaka.

(f) Rev. Frederick Chiluba wa MMD aliking'oa UNIP cha Kenneth Kaunda na kuchukua hatamu za uongozi wa Zambia kwy uchaguzi wa kwanza chini ya demokrasia ya vyama vingi. Chiluba hakuwa kiongozi wa dini wa sadaka.

(g) Ask. Lazarus Chakwera kupitia MCP alimng'oa Arthur Peter Mutharika wa DPP na kutamalaki ikulu ya Malawi. Chakwera hakuwa kiongozi wa dini wa sadaka.

(h) Mlokole wa Kiadventista wa Sabato Hakainde Hichilema wa UPND aliitwaa Zambia baada ya kumshinda Edgar Lungu wa PF.

12. Tunahitaji muafaka wa kitaifa 100% kwenye mihimili yote na majukwaa yote ya kijamii. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Niendelee au mmechoka kusoma?
Pumba tupu!
 
Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Imeendelea kuthibitika kwamba viongozi wa dini hususan wa Kikristo wamejaa unafiki, tamaa ya sadaka, madaraka, publicity, ubinafsi na hivyo kuchangia pakubwa kuikwamisha nchi kwa kupigia makofi na kusifia mapito ya nchi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hawana uchungu kwa sababu walishiriki kwa 0% tu kudai uhuru. Huduma za jamii wanazolisaidia taifa ndizo zimefanyika ngome kuu za maficho ya rushwa na ufisadi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanahubiri matendo ya Nabii Musa ilhali wanamuishi kwa 0% hususan kwy agenda nzima ya kuisimamia nchi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hawajijui kwamba wanaweza kubadili mfumo wa uendeshaji nchi, wanajuwa tu hiyo ni kazi ya Media na Bunge wakati wanaomiliki watu wa nchi ni serikali na dini. Media na Bunge hazimiliki watu. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wao wanajuwa matendo mafu ya mihimili yanakemewa mara moja tu katika kalenda ya mwaka yaani siku ya Pasaka na Eid al-Fitr baaas. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Serikali inawaibia wananchi kupitia kodi za dhuluma na mikataba ya kinyonyaji, Mahakama zinawahujumu wananchi kwa kupotosha hukumu kwa uchu mkali wa rushwa, viongozi wa dini nao wanatoka nyuma kupigilia msumari au kukaza nati kwenye jeneza la watwana (siyo tena waumini) na kuwazika jumla kiuchumi; baada ya kuwakamua sadaka na matoleo yasiyokuwa na idadi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hakuna wa kumkemea nani kwy pembe tatu hiyo hapo juu ambalo ni mafiga matatu ya kukamilisha kumzika Mtz mtwana. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Kama CAG angekagua mahesabu ya nyumba za ibada dunia ingesimama na watu wasingeabudu asilani. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Serikali haiwakemei, Mahakama haiwakemei, Bunge haliwakemei wamebaki kwy uhuru mkubwa wa kufanya watakalo pasina hofu kwa mungumtu na MUNGU Baba. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Baadhi ya mafisadi serikalini wanaficha ela zao kwa viongozi wa dini. Ndiyo maana nimesema kwy aya ya pili hapo juu kuwa nyumba za ibada zimefanyika ngome kuu za maficho ya rushwa na ufisadi. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanachukuwa kikumi (zaka) 10% ya mapato ya watwana (siyo tena waumini) lakini wanarejesha maendeleo na ustawi kwa 0%. Taasisi zao za kutoa huduma zinatoza watwana waliozijenga kwa jasho lao la mwisho. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanatoza watwana (siyo tena waumini), serikali inawaruzuku, wazungu wanawapa fadhila lakini wanarejesha kwa watwana CSR kwa kiwango cha 0%.

Walianza kuwa wawekezaji tangu uhuru wa nchi 1961 katikati ya makatazo ya sera na sheria (mfumo haukuruhusu uwekezaji binafsi) lakini hadi leo miaka 62 wanatembeza mabakuli hata ya nauli ikiwemo mishahara.

Hayo yanafanyika katikati ya misamaha ya kodi, ushuru na tozo wanazonufaika nazo tangu uhuru hata sasa. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanaifisadisha serikali kupitia watwana wao (siyo tena waumini) wanaoiba serikalini na kuleta kwy nyumba za ibada kama matoleo na hawawezi kuwakemea, kuwakana wala kuwaweka "Chini ya Marudi ya Kanisa" kwa mujibu wa katiba zao za Kanisa.

Kuna mmoja alihonga rushwa kupata cheti cha Uviko 19 ili avuke mpaka kwenda kuhubiri Uganda, kwamba atatubia dhambi hiyo baadaye, kisa aweze kwenda kwy mnuso wa mapato ya sadaka Uganda. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Tukiishawapa wageni kila kitu kutokana na kwamba sisi tumeshindwa kuviendesha licha ya utaalam tulio nao, bajeti tunazotengewa kila mwaka na pia soko la uhakika kuwepo, tutajikuta tumebaki bila kitu tunachoendesha wenyewe. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Hii maana yake ni kwamba serikali itakosa uhalali wa kuwepo kutokana na kwamba itakuwa haina tena kazi ya kufanya maana nchi yote itakuwa kwenye ugenishwaji. Ni dhahir shahir kwamba ukoloni mpya huu ndiyo utajipa uhalali wa kuwepo!? Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Tukiwapa wageni kila kitu maana yake tumeuza uhuru wa kiuchumi tumebakisha uhuru wa kisiasa kwa muda tu. Kitakachofuata mbeleni huko hawa wageni ndiyo watakaoamua nani awe kiongozi.
Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Tukifika hapo (na ni jirani sana kufika hapo) tutakuwa pia tumeuza uhuru wa kisiasa na sasa itakuwa ni ukoloni mpya 1000% ambao hautatanguka milele yote. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Nina uhakika serikali hii ikishindwa kuendesha bandari za Tanganyika haitoweza kamwe kuendesha SGR, MGR, CGR, JNHPP na ATCL. Hii ni miradi migumu sana kuendesha, hivyo Waarabu wajipange kuja kupewa.
Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Wanahudumu lakini kwa mporomoko mkubwa:-

1. Wanafungisha ndoa lakini zinavunjika kuliko Katiba inavyovunjwa. Ndoa siyo takatifu tena. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

2. Wanahudumu lakini familia za watwana (siyo tena waumini) wao zimejaa migogoro iliyotowesha amani ipitayo fahamu zote. Familia zingine kati ya hizo amani zimechukuliwa na ela za ufisadi makazini zinazoletwa nyumbani kwy ndoa takatifu. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

3. Serikali inapambana kutokomeza mimba za wanafunzi lakini kwy Kwaya na vikundi vya vijana ndiko zinapatikana pasina hofu, tena chini ya 30% ni za viongozi wenyewe wa Kiroho. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

4. Wanahubiri juu ya uweza wa MUNGU kuponya wasioweza lakini ndiyo mabingwa wa kujenga zahanati, vituo vya afya na hospitali hadi za rufaa. Wengine wana wodibubu kwy nyumba za ibada na wanazalisha humo humo watoto wa miujiza. Zaidi mapepo ndiyo yanatamalaki na kutesa watwana (siyo tena waumini). Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

5. Wanavizia agenda za nchi kama waaguaji ili watengeneze ukwasi mfano chaguzi, mitihani ya taifa, mabadiliko ya katiba nk. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

6. Maadili yameporomoka kwy jamii, mihimili yote hadi kwenye nyumba za ibada. Taifa linaangamia kidogo kidogo kwa msaada wa utendaji hafifu wa viongozi wa mihimili na wale wa dini. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

7. Tunao viongozi wa dini (wa Kiroho) jela ambao wamefikishwa huko kwa makosa ya ubakaji na ulawiti. Nyumba za ibada kunako ulawiti na ubakaji. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

8. Tunao viongozi wa dini jela ambao wanatumikia vifungo kwa makosa ya kusambaza mihadarati. Nyumba za ibada kunako mihadarati. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

9. Wanashindwa kukataa na kukemea udanganyifu kwy michakato ya chaguzi na kutangaza matokeo ili taifa liondokane na viongozi duni; kwa sababu ndani ya nyumba za ibada pia kuna ufisadi na ulozi kwy mifumo ya chaguzi za viongozi wa kidini kuanzia wa Shule za Jumapili na Madrasa hadi nafasi za ngazi za juu. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

10. Taifa litaponaje kama viongozi wa mihimili wanapatikana kwa ufisadi na ulozi na wale wa dini pia wanapatikana kwa ufisadi na ulozi? Viongozi wa dini wa sadaka (wanaopatikana kwa ufisadi na ulozi) hawawezi kuliokoa taifa.

11. (a) Tutawapataje tena kizazi adhimu na adimu cha viongozi wa dini aina ya Ask. John Henry Okullu wa Anglikana Dayosisi ya Maseno Kusini Jamhuri ya Kenya. Okullu siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

(b) Ask. Alexander Kipsang Muge wa Anglikana Dayosisi ya Eldoret Jamhuri ya Kenya. Muge siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

(a) na (b) walimnyoosha rais Moi kuacha utawala wa imla wa mkono wa chuma na kuruhusu demokrasia ya vyama vingi.

(c) Ask. Desmond Mpilo Tutu wa Anglikana Dayosisi ya Jo'burg Jamhuri ya Afrika Kusini alitumia kola yake kupambana na Pik Botha na Frederik Willem de Klerk hadi Mandela akatoka kisiwani Robben na ukombozi kupatikana. Tutu siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

(d) Ask Mkuu Pius Alick Mvundla Ncube wa RC Bulawayo aliisahihisha njia na mwelekeo wa Zimbabwe katikati ya chuki, matishio na makatazo ya rais jeuri Robert Mugabe na mkewe jahili Grace Mugabe hadi Mugabe akaruhusu vyama vingi na baadaye kuachia ikulu. Ncube siyo kiongozi wa dini wa sadaka.

Hao Maaskofu walikuwa na ujasiri wa Nabii Musa aliyemkosoa na kumuadabisha yule Farao wa 40 bila kujali kuwa alilelewa (alihifadhiwa) kwa miezi 3 kwy Kasri la Farao huyo huyo. Amram na Jokebed (wazazi wa Musa) walimhifadhi mtoto wao kwa Faraoh.

(e) Rev. Canaan Banana alipambana na Gavana wa kikoloni wa mwisho kutawala Rhodesia ya Kusini (Zimbabwe) The Lord Soames hadi uhuru ukapatikana. Pia yeye na Robert Mugabe walimshikisha adabu Ian Smith wa UDI. Banana hakuwa kiongozi wa dini wa sadaka.

(f) Rev. Frederick Chiluba wa MMD aliking'oa UNIP cha Kenneth Kaunda na kuchukua hatamu za uongozi wa Zambia kwy uchaguzi wa kwanza chini ya demokrasia ya vyama vingi. Chiluba hakuwa kiongozi wa dini wa sadaka.

(g) Ask. Lazarus Chakwera kupitia MCP alimng'oa Arthur Peter Mutharika wa DPP na kutamalaki ikulu ya Malawi. Chakwera hakuwa kiongozi wa dini wa sadaka.

(h) Mlokole wa Kiadventista wa Sabato Hakainde Hichilema wa UPND aliitwaa Zambia baada ya kumshinda Edgar Lungu wa PF.

12. Tunahitaji muafaka wa kitaifa 100% kwenye mihimili yote na majukwaa yote ya kijamii. Viongozi wa dini wa sadaka hawawezi kuliokoa taifa.

Niendelee au mmechoka kusoma?
MKUU KUMBE NDIO WALE WAZEE WA HUSUDA NA CHUKI DHIDI YA WAKRSTO
😂🤣🤣🤣🤣
MATENDO YA NABII MUSA🤣🤣😂😂😂😂
WAISLAMU BHANA MNA SHIDA NA AFYA YA AKILI ,🤣🤣🤣
 
KUDAI UHURU WALIDAI WAISLAMU 100%
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😃
Kwahiyo rais awe muislam...
😂🤣🤣🤣🤣🤣Wanahubiri matendo ya nabii Musa 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hotuba za msikiti wa mtambani hizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom