sawa lakini, najua sisi ndio tunadrive....Mkuu watoto wanapangwa by u and she
NajaZia hii ya sie walevi mwekundu :ikifika saa sita usiku..oooh beb naona utachelewa kdg leo,narudishia geti na mlango ukija usipate shida ya kugonga sana......mingine sasa;bado upo na hao mahawara zako?ulale ukuje asubuh kbs.....
Ukitaka wa kukufanyia 1-4 ulizotaja juu tangaza nafasi ya kazi na ujira kabisa. Na uhakikishe unamlipa ujira mzuri and on time, ili motivation yake isikwazike, otherwise atakuchoka haraka mno. We unataka kutumikiwa hivyo kwa sifa gani uliyonayo? Naanza kuamini kuna wanaume bado wako karne ya 17. Honestly sitamani mke wa aina hiyo, maana nitahisi kama nafanyiwa maigizo au nadanganywa. Mimi naridhika na mke wangu kwa sababu ya mutual love, trust na responsibility tunazofanyiana, tena zile zinazokuja kwa hiari na kwa kufurahiwa na pande zote, sio za mashinikizo ya kuambiwa au ya kuhisi kuwa "nisipofanya hivi sijui ataenda kule" nk.
usihofu mtaani kwetu wapo ila baba yao anamiliki bastola
miss u tooo dalalii vii mwaka huu umepanda matikiti au mseto wa maharage,mahindi na alizeti pamoja hahahaaadalaliiiiiiiiiiiiiii miss u
If a man is worth my time and love, I will do whatever it takes, to the best of my ability to make him happy.
But lets be realistic here. Shall I be enslaved in the name of love? Hell No.
You know where the bathroom is so dude drag your ass there and shower. We have to get going to beat traffic.
Need a massage? Well, so do I?
Remove your socks, I will kick off my heels and throw my ass on the couch for a peaceful moment.
I am a careee woman, you loved my independence among other things but like everything else it comes with a price.
This time round the price is compromise.
umenena dada,,, wakati we unamfanyia hayo wewe anakufanyia nini?
Oa mke akae ndani kama housewife. Atayaweza. Sisi career women tutaonyesha love in our own way, not yours.