poppah
JF-Expert Member
- Dec 19, 2014
- 630
- 547
1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)
2. Unajiandaa kwenda kazini unakuta, nguo zishapigwa pasi
3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi acha tu raha xanaaa!
4. Umejipunzisha kwenye kochi au Au kitandani mara kakukalia Mgongoni anakufanyia masaji Mgongoni, unaishia kusema "thanks baby".
5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia.
6. Anapenda ndugu zako.
7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu (anakwambia baby hayo ni maisha tu,usijali utafanikiwa tu)
8. Anajua unataka nn na kwa wakati gani.
9. Hana tabia ya uchoyo na umbea
10. Anakukumbusha usome Neno la Mungu
2. Unajiandaa kwenda kazini unakuta, nguo zishapigwa pasi
3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi acha tu raha xanaaa!
4. Umejipunzisha kwenye kochi au Au kitandani mara kakukalia Mgongoni anakufanyia masaji Mgongoni, unaishia kusema "thanks baby".
5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia.
6. Anapenda ndugu zako.
7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu (anakwambia baby hayo ni maisha tu,usijali utafanikiwa tu)
8. Anajua unataka nn na kwa wakati gani.
9. Hana tabia ya uchoyo na umbea
10. Anakukumbusha usome Neno la Mungu