Nimeku miss zaidi Mama Kijacho wangu .
Halafu baada ya mwaka unapata ushahidi tosha usio na shaka yoyote kuwa kuna kasharobaro kanakoishi mtaa wa tatu kamekuwa kakiihudumia kwa umaridadi uliokubuhu kabisa papuchi adhimu tena unayoheshimu ya mkeo kipenzi unayemhusudu kuliko kiumbe chochote hapa duniani...... Hahahaha bunduki zingekuwa makalio kwamba kila mtu anayo basi hakuna ambaye angebaki hapa duniani.. Nami pia NAWAZA TU!
Nipo kwenye ndoa. Chengine?
Mzee Es,
wangu hapa umetupa madongo kishenzi lakini utanisamehe kusema kwamba June Warioba kabuntas?... Noo bro, June darasani kichwa kile kimetulia na kasoma bila kulipiwa toka huko alikoanza. Sema ukitoka darasani hapo tena habari nyingine!..
Ame too bad ushaoa ,mana dahh,i dream of that