Nawaza Tu: Ukimpata mpenzi wa hivi

Nawaza Tu: Ukimpata mpenzi wa hivi

Hamna dogo wala kubwa mtu unamfanyia hivyo anakuona kama katoy si bora kuishi real life yaani kila mtu ajihudumie aaaaaah
Natafuta sana mwanamke wa hivi mkuu....WENYEWE WANASEMA "BORA UKOSEE KUJENGA NYUMBA KULIKO KUKOSEA KUOA MKE"....Najuuta!
 
UKIMPATA MPENZI KAMA HUYU UTAWAZA KUMSALITI KWELI BOY.

1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)

2. Unajiandaa kwenda kazini khaa, nguo zishapigwa pasi

3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi acha tu raha sana!

4. Umejipunzisha kwenye kochi au kitandani mara kakukalia Mgongoni anakufanyia masaji, unaishia kusema "thanks baby".

5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia.

6. Anapenda ndugu zako.

7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu (anakwambia baby hayo ni maisha tu,usijali utafanikiwa tu)

8. Anajua unataka nini na kwa wakati gani. Full kuenjoy kidume.

He heee heee, ila wanaume hatuna dogo, unaweza fanyiwa yote hayo na kesho uka malizia, ingawa siyo kila mwanaume anaweza fanya hivyo.

Huyo atakuwa hana kazi? Ninavyojua uchovu waa kila siku kwa mwanamke humfanya shughuli zingine asaidiwe na h/girl au yeyote anayeishi hapo nyumbani.
 
Huyo atakuwa hana kazi? Ninavyojua uchovu waa kila siku kwa mwanamke humfanya shughuli zingine asaidiwe na h/girl au yeyote anayeishi hapo nyumbani.

mkuu katika familia kuna majukumu ya kimsingi mke anatakiwa kuwajibika regardless anafanya kazi gani hiyo ni nature yetu Afrikans
 
so kukosea kuoa is a miserable thing na wanaume wote wako makini about that

Lakini sio wote....wengi wanajuta km mimi kwa kuona mapenzi kwenye maandiko au kwenye various movies kuliko uhalisia
 
Lakini sio wote....wengi wanajuta km mimi kwa kuona mapenzi kwenye maandiko au kwenye various movies kuliko uhalisia

teh teh hiyo ni mojawapo ya effect za mapenzi ya kidigital inaitwa spiritual(imagination) love (simply ni fiction thng) but utamaduni lazima uzingatiwe
 
UKIMPATA MPENZI KAMA HUYU UTAWAZA KUMSALITI KWELI BOY.

1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)

2. Unajiandaa kwenda kazini khaa, nguo zishapigwa pasi

3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi acha tu raha sana!

4. Umejipunzisha kwenye kochi au kitandani mara kakukalia Mgongoni anakufanyia masaji, unaishia kusema "thanks baby".

5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia.

6. Anapenda ndugu zako.

7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu (anakwambia baby hayo ni maisha tu,usijali utafanikiwa tu)

8. Anajua unataka nini na kwa wakati gani. Full kuenjoy kidume.

He heee heee, ila wanaume hatuna dogo, unaweza fanyiwa yote hayo na kesho uka malizia, ingawa siyo kila mwanaume anaweza fanya hivyo.
Huyo atakuwa mke au mtumishi wa Massage parlour?
 
mkuu katika familia kuna majukumu ya kimsingi mke anatakiwa kuwajibika regardless anafanya kazi gani hiyo ni nature yetu Afrikans

sasa mnaamka wote kwenda kazini - hayo atayafanya saa ngapi? au anahudumia miradi ya hapo nyumbani, huoni kwamba utamfanya kama mtumwa vile?
 
UKIMPATA MPENZI KAMA HUYU UTAWAZA KUMSALITI KWELI BOY.

1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)

2. Unajiandaa kwenda kazini khaa, nguo zishapigwa pasi

3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi acha tu raha sana!

4. Umejipunzisha kwenye kochi au kitandani mara kakukalia Mgongoni anakufanyia masaji, unaishia kusema "thanks baby".

5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia.

6. Anapenda ndugu zako.

7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu (anakwambia baby hayo ni maisha tu,usijali utafanikiwa tu)

8. Anajua unataka nini na kwa wakati gani. Full kuenjoy kidume.

He heee heee, ila wanaume hatuna dogo, unaweza fanyiwa yote hayo na kesho uka malizia, ingawa siyo kila mwanaume anaweza fanya hivyo.
Hii ndio raha ya kuoa kwa sababu umependwa...!
Note : Usikubali kumuoa kwa sababu umempenda, bali kwa sababu amekupenda....! Ukiweza hii utarudi hapa na kutoa shukrani zako kwa elimu hii kubwa...
 
kiongozi subiri! uishi maisha tofauti na uliyonayo sasa!!! hizo massage utazisikia kwenye MATANGAZO tu, tehe!tehe!tehe! hapana chezea mapenzi au ndoa!! maombi na sala ndo tiba! hayo mengine ni mbwembwe tu!
 
If a man is worth my time and love, I will do whatever it takes, to the best of my ability to make him happy.

But lets be realistic here. Shall I be enslaved in the name of love? Hell No.

You know where the bathroom is so dude drag your ass there and shower. We have to get going to beat traffic.

Need a massage? Well, so do I?

Remove your socks, I will kick off my heels and throw my ass on the couch for a peaceful moment.

I am a careee woman, you loved my independence among other things but like everything else it comes with a price.

This time round the price is compromise.

I kept telling upcoming teenagers on how to spot a material lady to marry.....this kind of species are only for a quick jab without a repeat......They are both unfit to be tamed or to be your second-half, lest you wish to end up full of unfortunates or worth-still a lunatic!
 
I kept telling upcoming teenagers on how to spot a material lady to marry.....this kind of species are only for a quick jab without a repeat......They are both unfit to be tamed or to be your second-half, lest you wish to end up full of unfortunates or worth-still a lunatic!
Your point is?
 
Back
Top Bottom