Nawaza Tu: Ukimpata mpenzi wa hivi

Nawaza Tu: Ukimpata mpenzi wa hivi

Aisee, mi nikimpenda mtu na akaonyesha upendo sijui natoa wapi nguvu. Atavuliwa socks na kupikiwa daily ILA massage Ni kazi take. Karucee hujapenda ww. ILA akinipiss off, uwiii. Hata kumuangalia na macho naskia uvivu

Sema hakyamungu.....
 
Last edited by a moderator:
1-4 are unrealistic kwangu na intellectual level ya huyo mwanamke needs to be questioned. Unavyojiweka ndivyo mwanaume akuchukuliavyo... other numbers are ok
 
UKIMPATA MPENZI KAMA HUYU UTAWAZA KUMSALITI KWELI BOY.

1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)

2. Unajiandaa kwenda kazini khaa, nguo zishapigwa pasi

3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi acha tu raha sana!

4. Umejipunzisha kwenye kochi au kitandani mara kakukalia Mgongoni anakufanyia masaji, unaishia kusema "thanks baby".

5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia.

6. Anapenda ndugu zako.

7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu (anakwambia baby hayo ni maisha tu,usijali utafanikiwa tu)

8. Anajua unataka nn na kwa wakati gani. Full kuenjoy kidume.

He heee heee, ila wanaume hatuna dogo, unaweza fanyiwa yote hayo na kesho uka malizia, ingawa siyo kila mwanaume anaweza fanya hivyo.

uliye muelezea hapo ni ideal perfect lover lakini nobody is perfect.. hafu hapo kama vile haijaeleza mpango wowote wa muda mrefu na mpenzi wake na pia yeye hana kazi??
 
Halafu baada ya mwaka unapata ushahidi tosha usio na shaka yoyote kuwa kuna kasharobaro kanakoishi mtaa wa tatu kamekuwa kakiihudumia kwa umaridadi uliokubuhu kabisa papuchi adhimu tena unayoheshimu ya mkeo kipenzi unayemhusudu kuliko kiumbe chochote hapa duniani...... Hahahaha bunduki zingekuwa makalio kwamba kila mtu anayo basi hakuna ambaye angebaki hapa duniani.. Nami pia NAWAZA TU!
 
mie uyo ata simtakii....sijazoea mie ata kidogo...mie nataka hii hii mingarara yetu,,mara minuno mara make up sex yanii hadi raha..
sa uyo wakuwa bebiiii polee na mihangaikoo bebiii nimekuandalia maji ya kuoga...ata ukifukuzwa kazii anakuwa mpole mwee,,#bebii usihofu utapata nyinginee..khaa

Ntakutafuta
 
kwenye ndoto nishapata wanawake wengi kama hao.
Unampata kwenye ndoto tuu
 
Raha ya ndoa ni mume afanye majukumu ya mume na mke afanya majukumu ya mke. Raha ya misha mpeane wote,hasiwe mma ni mtumwa wa mwingine isipkuwa yale yanayomuhusu ama mume au mke.

Mke wangu ananifanyia zaidiya haya yaliyotajwa hapa,nami nawajibika kama mume.
 
UKIMPATA MPENZI KAMA HUYU UTAWAZA KUMSALITI KWELI BOY.

1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)

2. Unajiandaa kwenda kazini khaa, nguo zishapigwa pasi

3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi acha tu raha sana!

4. Umejipunzisha kwenye kochi au kitandani mara kakukalia Mgongoni anakufanyia masaji, unaishia kusema "thanks baby".

5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia.

6. Anapenda ndugu zako.

7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu (anakwambia baby hayo ni maisha tu,usijali utafanikiwa tu)

8. Anajua unataka nn na kwa wakati gani. Full kuenjoy kidume.

He heee heee, ila wanaume hatuna dogo, unaweza fanyiwa yote hayo na kesho uka malizia, ingawa siyo kila mwanaume anaweza fanya hivyo.
mkuu wanabadilikanga hiyo awezi kudumu mwaka baada ya hapo chamoto utakiana utatamani ukimbie nyumba yako
 
UKIMPATA MPENZI KAMA HUYU UTAWAZA KUMSALITI KWELI BOY.

1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)

2. Unajiandaa kwenda kazini khaa, nguo zishapigwa pasi

3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi acha tu raha sana!

4. Umejipunzisha kwenye kochi au kitandani mara kakukalia Mgongoni anakufanyia masaji, unaishia kusema "thanks baby".

5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia.

6. Anapenda ndugu zako.

7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu (anakwambia baby hayo ni maisha tu,usijali utafanikiwa tu)

8. Anajua unataka nn na kwa wakati gani. Full kuenjoy kidume.

He heee heee, ila wanaume hatuna dogo, unaweza fanyiwa yote hayo na kesho uka malizia, ingawa siyo kila mwanaume anaweza fanya hivyo.

Ukitaka wa kukufanyia 1-4 ulizotaja juu tangaza nafasi ya kazi na ujira kabisa. Na uhakikishe unamlipa ujira mzuri and on time, ili motivation yake isikwazike, otherwise atakuchoka haraka mno. We unataka kutumikiwa hivyo kwa sifa gani uliyonayo? Naanza kuamini kuna wanaume bado wako karne ya 17. Honestly sitamani mke wa aina hiyo, maana nitahisi kama nafanyiwa maigizo au nadanganywa. Mimi naridhika na mke wangu kwa sababu ya mutual love, trust na responsibility tunazofanyiana, tena zile zinazokuja kwa hiari na kwa kufurahiwa na pande zote, sio za mashinikizo ya kuambiwa au ya kuhisi kuwa "nisipofanya hivi sijui ataenda kule" nk.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kwamba dada zetu ni mahosigelo???


maana dd yk mliezaliwa nae anaweza kukufanyieni hayo mnayotaka, si mnajuana vema tng udogoni?

Asprini ukanifuate mie niliekulia samvulachole kutwa nzima kiguu na njia khanga kifuani!! Ratiba zote za midundiko na ngoma nazifahamu, unategemea nn???? zaidi ya kulishwa limbwata ubaki unakuna nazi!!! Msipende kufanyiwa fanyiwa, shauri zenu!!!!!
 
Back
Top Bottom