Nawaza Tu: Ukimpata mpenzi wa hivi

Nawaza Tu: Ukimpata mpenzi wa hivi

kiongozi subiri! uishi maisha tofauti na uliyonayo sasa!!! hizo massage utazisikia kwenye MATANGAZO tu, tehe!tehe!tehe! hapana chezea mapenzi au ndoa!! maombi na sala ndo tiba! hayo mengine ni mbwembwe tu!

Say it again.....

Ndoa bila Mungu hata angekubeba mgongoni utaona karaha!

Wanawake wanaofanyakazi muda mwingi kama watumwa wanakosa mvuto ndiyo maana utakuta most of husbands of those wanatoka nje na mabinti warembo ambao hata kushika sahani kuosha hajui!

Nawapenda Arabs inapokuja kwenye issue ya ndoa/mke; yo them kazi kubwa ya mke ni kuzaa tu basi mengine yanafanywa na wafanyakazi....mama yeye kujiremba tu kwaajili ya mumewe. Ebu cheki wake zao wanavyovutia japo wamejisetiri kwa hijab... Wako so soft na wanaita ile mbaya!

Sasa njoo kwa hao wamama watumwa wa kiafrika.....

Ukimtazama tofauti na Tyson haipo kajaa msuli mikononi na miguuni kama bile mwanamasumbwi......Well I wont like that nyie pateni hizo huduma mm nikizihitaji nitazinunua lakini my wife nooo she is an apple of my eye hizo shuruba hawezi!
 
Mwanaume asietingisha ubongo wangu mie siwezu kuwa nae.
 
UKIMPATA MPENZI KAMA HUYU UTAWAZA KUMSALITI KWELI BOY.

1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)

2. Unajiandaa kwenda kazini khaa, nguo zishapigwa pasi

3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi acha tu raha sana!

4. Umejipunzisha kwenye kochi au kitandani mara kakukalia Mgongoni anakufanyia masaji, unaishia kusema "thanks baby".

5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia.

6. Anapenda ndugu zako.

7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu (anakwambia baby hayo ni maisha tu,usijali utafanikiwa tu)

8. Anajua unataka nini na kwa wakati gani. Full kuenjoy kidume.

He heee heee, ila wanaume hatuna dogo, unaweza fanyiwa yote hayo na kesho uka malizia, ingawa siyo kila mwanaume anaweza fanya hivyo.

Mimi mwanamke wa hivyo nitakosa amani.......naweza fikiria ametumwa kuniua..... hizo huduma ni ghali mno....hata Obama nafikiri anazisikia tu.
 
UKIMPATA MPENZI KAMA HUYU UTAWAZA KUMSALITI KWELI BOY.

1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)

2. Unajiandaa kwenda kazini khaa, nguo zishapigwa pasi

3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi acha tu raha sana!

4. Umejipunzisha kwenye kochi au kitandani mara kakukalia Mgongoni anakufanyia masaji, unaishia kusema "thanks baby".

5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia.

6. Anapenda ndugu zako.

7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu (anakwambia baby hayo ni maisha tu,usijali utafanikiwa tu)

8. Anajua unataka nini na kwa wakati gani. Full kuenjoy kidume.

He heee heee, ila wanaume hatuna dogo, unaweza fanyiwa yote hayo na kesho uka malizia, ingawa siyo kila mwanaume anaweza fanya hivyo.

Kumbe mume wangu ana raha sana ndo maana ananidekea sana...mi sioni kama ni utumwa,ni wajibu wangu hata kama mume wangu angekuwa muuza mitumba na mimi waziri.nikifika kwangu,cheo,kiburi,dharau n.k naviacha nje ya geti.

Nikiwa nasafiri naumia kichwa kwasababu nafikiria mume wangu ataishije wakati sipo so naacha nimeandaa kila kitu atakachotumia kwa wakati ambao sipo.sitaki apate shida wakati mimi ni msaidizi niliyeumbwa kwa ajili yake

Kwanza ukimfanyia hizo mambo mumeo huna hata haja ya kuomba akufanyie massage na wewe...ye mwenyewe atakwambia "haya sahv zamu yako,najua unachoka mke wangu" yani huwa nasisimka mpaka utumbo

Asante mama yangu kwa mafunzo uliyonipa juu ya kumlea mume
 
UKIMPATA MPENZI KAMA HUYU UTAWAZA KUMSALITI KWELI BOY.

1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)

2. Unajiandaa kwenda kazini khaa, nguo zishapigwa pasi

3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi acha tu raha sana!

4. Umejipunzisha kwenye kochi au kitandani mara kakukalia Mgongoni anakufanyia masaji, unaishia kusema "thanks baby".

5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia.

6. Anapenda ndugu zako.

7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu (anakwambia baby hayo ni maisha tu,usijali utafanikiwa tu)

8. Anajua unataka nini na kwa wakati gani. Full kuenjoy kidume.

He heee heee, ila wanaume hatuna dogo, unaweza fanyiwa yote hayo na kesho uka malizia, ingawa siyo kila mwanaume anaweza fanya hivyo.

Duh! aisee umenikumbusha mbali sana mkuu, kipindi cha mwanzo cha ndoa yangu hayo mambo yote nilifanyiwa, uliz sasa hivi kudadeki, hii ipo kwa kila mtu mpaka utajiona wewe pekee ndio uliyebahatika, subiri mzoeane utaimba aleluya
 
Duh! aisee umenikumbusha mbali sana mkuu, kipindi cha mwanzo cha ndoa yangu hayo mambo yote nilifanyiwa, uliz sasa hivi kudadeki, hii ipo kwa kila mtu mpaka utajiona wewe pekee ndio uliyebahatika, subiri mzoeane utaimba aleluya

pole mkuu mkumbushe labda atarudi kama awali
 
Kumbe mume wangu ana raha sana ndo maana ananidekea sana...mi sioni kama ni utumwa,ni wajibu wangu hata kama mume wangu angekuwa muuza mitumba na mimi waziri.nikifika kwangu,cheo,kiburi,dharau n.k naviacha nje ya geti.

Nikiwa nasafiri naumia kichwa kwasababu nafikiria mume wangu ataishije wakati sipo so naacha nimeandaa kila kitu atakachotumia kwa wakati ambao sipo.sitaki apate shida wakati mimi ni msaidizi niliyeumbwa kwa ajili yake

Kwanza ukimfanyia hizo mambo mumeo huna hata haja ya kuomba akufanyie massage na wewe...ye mwenyewe atakwambia "haya sahv zamu yako,najua unachoka mke wangu" yani huwa nasisimka mpaka utumbo

Asante mama yangu kwa mafunzo uliyonipa juu ya kumlea mume

ubarikiwe you are materially wife 100% perfect you know your roles for sure
 
ame anafanya toka moyoni na sio kuigiza kwa sababu fulani maana ma dada zetu ni nouma saaaana
 
Back
Top Bottom